Conspiracy Theory (MIND SPINNING): Sheikh Ponda Issa Ponda hajapigwa na Polisi

Conspiracy Theory (MIND SPINNING): Sheikh Ponda Issa Ponda hajapigwa na Polisi

Hello Great Thinkers wa JF,

Kwanza natanguliza samahani kwa yeyote nitakayemkwaza na title yangu pamoja na content ya thread yangu. Niseme tu kwamba hilo sio kusudi langu. Lakini wanajamvi naomba mnivumilie na kunipa nafasi na kusikilizwa japo kidogo kwani nia na maudhui ya mada yangu pamoja na dhamira yangu ni njema kabisa, hasa kwa ajili ya amani ya nchi yangu na pia umoja, mshikamano na upendo kwa watanzania wote.

Sasa katika kutafakari swala zima linalohusu sheikh ponda, nimejikuta nina maswali yasiyo na majibu ambayo naomba niwashirikishe nanyi nyote, na kama kuna mwenye jibu anisaidie:

Kuhusu kupigwa "risasi" kwa sheikh ponda na "polisi", which is what made known to the public hadi sasa, Najiuliza ya kwamba;

1. Kulikuwa na sababu gani ya polisi kumpiga risasi sheikh ponda? je walishindwa kumkamata sehemu nyingine yeyote - mathalani nyumbani kwake, ofisini kwake au hata kumpa taarifa ya kwamba anatafutwa na polisi na hivyo ajisalimishe yeye mwenyewe? Je, ni kweli walikuwa hawajui alipo? Je, kama jibu la hili swali haliko wazi kwa nini tusiamini ya kwamba polisi am serikali kwa ujumla wana agenda nyingine nyuma ya hii? Na je agenda hiyo inaweza kuwa ni ipi?


2. Tukifanya assumption kwamba walikuwa hawajui alipo untill alipojitokeza Morogoro, which by itself ni ngumu kumeza; sasa swali ni kwamba kwanini polisi na maafisa usalama hawakumsubiri mpaka amalize mhadhara wake na pengine kwenda kule msikiti wa mungu moja dini moja huku wakimfuatilia kwa karibu hadi kumkamata kiurahisi pasipo kusababisha taharuki? Kwanini wamkamate mbele ya mashabiki na wafuasi wake? Badala yake waliamua kufanya in a public place tena operation iikiongozwa na afisa mkubwa wa jeshi la polsi kamamda shigolile ambaye naamni anafahamu fika impact ya uamuzi wake, kwa jeshi la polisi na serikali.


3. Toka jana jioni baada ya kupigwa risasi alikuwa wapi? huduma ya kwanza alipata wapi?. Kwa ufahamu wangu mimi a penetrating chest injury hasa ya risasi ina hatari ya kusababisha lung collapse, bleeding na hadi ashindwe kupumua vizuri na kifo kunyemelea fasta. Sasa mbona habari toka itoke kuanzia jana hadi leo ndio wanatuambia yupo muhimbili. And again muhimbili, note that, I said Muhimbili.


4. Inakuwaje mtu ambae anatafutwa na state organs na ambaye usalama wake uko hatarini, he is 'the most wanted' aamue tu kujipeleka muhimbili. Huko si ndo atakamatwa kiurahisi kabisa kama kuku anayesubiriwa arudi jioni baada ya kutwa nzima kuruka ruka na kukataa bosi wake asimle nyama?.


5. Je, hakuna hata mtu mwingine yeyote aliyejeruhiswa japo kiduchu tu au hata kuuwawa na risasi za polisi ambayo bila shaka walipiga risasi randomly ili kuwadhibiti wafuasi wa ponda ambao tunaambiwa na jeshi la polisi walikataa kiongozi wao asikamatwe? mbona hakuna, hakuna taarifa wala tetesi. Hii inawezekana kweli? maanake tunaambiwa kulikuwa na risasi za moto, mabomu ya machozi etc

6. Ndani ya muda mfupi (kumbuka tukio lilitoka mida ya saa kumii na mbili and ushee) vyombo vya habari vya ulaya hasa Uingereza vilipata taarifa ya kupigwa risasi sheikh ponda na to my surprise RPC shigolile alikubali kuhoji haraka na akathibitisha kwamba ni kweli wao polisi ndio waliokuwa wanamtafuta ponda na amepogwa risasi japo kakimbia. Lakini huku nyumbani, polisi kupitia msemaji wao advera wameshakataa hawahusiki. sasa sijui tumwamini advera ambaye yupo ofisini akisubiri taarifa au kamanda shigolile ambae alikuwa frontline.

7. haya mambo yametokea baada ya wale wasichana volunteers wa uingereza kumwagiwa tindikali, je serikali inataka kufanya hiki kiini macho ili kuwaridhisha wakubwa? may be be this is something again, but I dunno

8. Swali la mwisho na la kizushi ni kwamba toka lini seriali imekuwa against na ponda and the like? Je, hawa si wamekuwa wakitoa hate speech na kuhatarisha uvunjivu wa amani lakini serikali imeweka pamba masikioni? matokeo yake watu wamechomewa makanisa, mapadre, wachungaji kuumizwa na wengine kuuwawa at the same time hata pale ambapo evidence isiyo na shaka inaonesha kwamba chuki ya udini inasambaa bado serikali haikuchukua hatua. Sheikh ponda alitajwa moja kwa moja lakini bado yupo na anadunda. Leo imekuwaje tena serikali hiyo hyo ghafla iamuae kumpiga risasi kama jambazi sugu na hatari? mhhh hapa inakataa kuingia akilini


9. Mashuhuda wa tukio hili walionekana kutoa stori ndefu na detailed yenye kuelezea matukio kwa uafasaha tena wakipangilia na kuwasliasha mada vizuri. Katika hali ya panic ya tukio kama hili huwa unapata some sort of amnesia mpaka ukisha-cool off ndio unaanza kukumbuka matukio kidogo kidogo.


In summary maoni yangu ni kwamba Sheikh Ponda Issa Ponda - Hajapigwa risasi bali hii ni mind spinning ya dola ili kuondoa focus kwenye mambo ya msingi yanajitokeza kila uchwao mfano swala la madawa ya kulevya, usalama katika uwanja wetu wa JNIA, tindikali kwa wale binti wa volunteers wa Uingereza etc.

Na kwa kuwa tangia hapo tayari zipo tension ya kidini iliyobuniwa na kuratibiwa na serikali kama namna ya divide and rule machanism ya chama tawala na serikali yake wameona njia mojawapo ya kutuliza munkari upande mmoja wa dini ambao wanaona wanaonewa na serikali na dini nyingine kupendelewa ni kuratibu what I call a pure daytime bluff.

This whole saga is planned kati ya serikali na ponda mwenyewe anaweza akawa anajua kila kitu japo sina uhakika. Haya ni maoni yangu, nakubaliana na wewe kama hautakubaliana na maoni yangu lakini nakaribisha input, crtique na matusi

asanteni
ulipouliza swali la kizushi, nikajikuta naanza kuamini kuwa jamaa hajapigwa risasi, bali ni mchezo wa kupika story uliojitokeza hapa. big up kwa ufafanuzi wako.🙂
 
lane
Umetoa maelezo mengi ila mpaka sasa nashindwa kuelewa dola hii inanufaika vipi na hizi mind spinning unazoziongelea? Juzi tu makamu wa raisi wa Zanzibar alitoka kuongelea kauli za uchochezi na Ponda leo tena dola ifanye conspiracy kwa manufaa ya nani? Serikali inajua kabisa Ponda ni sumu ndani ya jamii ni mchohcezi wa kidini na hata tukio la kumwagiwa tindikali kwa wale wasichana wa Zanzibar limehusishwa na kauli zake; huyu mtu serikali walimchekea sana na si yeye tu wapo wengi wanaotumia dini; huu ni wakati muafaka wa kuondoa hizi fitina za kidini; anayetaka kuongea siasa na avue majoho ya kidini; huu upuuzi umeachiwa kwa muda mrefu; suala la alikiwa wapi lazima atakuwa alipata matibabu ya kuzuia kuvuja damu na ikibidi pia alazimishwe kusema wapi alikuwa.
siasa za hii nchi zinautata mkubwa hata lipumba aliwahi kuhoji iweje mtu alienyimwa dhamana aachiwe kifungo cha nje?. kimsingi hii ni cooked story. natambuwa uwepo wa photoshoped
 
Lane uko sawa, hii issue ya Ponda was planned b4.
Watu hapa wanashindwa kuelewa, fikiria zaidi ya hapo Ponda alivyopigwa risasi tatizo ni nini??
Walishindwa kumkamata kawaida bila kutumia nguvu zote hizo?? Kama kumkamata Ponda hawajashindwa siku nyingi hata hapo walipompiga risasi RPC aliluja na taarifa kwamba siyo polisi waliompigana hata wao hawajui alipo wanaomba wananchi wanaojua wawajulishe polisi mahali alipo Ponda.
Hii ni sawa kweli wananchi wamtoroshe Ponda kiasi kwamba Polisi wasijue alipo mpaka leo tena jioni ndiyo wakajua yuko Muhimbili?? Inawezekana kweli???
Sasa hapa ndiyo mahali pa kufikiria zaidi ya hili, hii ilipangwa na kama ni hivyo ilikusudia nini??
Tunajuaje kama ni wauza sembe walikuwa wanapita zao JNIA na mzigo wa kutosha wakaamua wajamishe watz wote kwenye suala la Ponda???
Au wahamishe mjadala tu wa Sembe uliokuwa unashika kasi ktk majadiliano kila sehemu hapa nchini, leo hii Ponda watu wote tumehama.
Ukiangalia suala la sembe serikali yenyewe(Serokali KUU) inadai ukiwakamata wauza sembe uchumi wa nchi utayumba, moja kwa moja unaona ni jinsi gani serikali inahusika ktk hili suala la sembe.

Na hii inaonyesha ni jinsi gani tunaendeshwa na matukio na anayetuendesha ni Serikali hii hii ya TZ
Jaribu kufikiria zaidi na zaidi, kuna vyombo vya habari vya nje jana viliripoti hili suala instantly sijui walitoa wapi taarifa ila wanadai walipata taarifa polisi, na walihusisha sana na suala la wadada wawili kumwagiwa tindikali Zanzibar.
Hebu fikiria zaidi hapo, Je ni wazungu walikuja kulipiza au ni JK alitaka kusafisha jina kwa Wazungu??
Tujaribu kufikiria zaidi na zaidi.

Kama ni kumuuwa Ponda, ndiyo iwe jana na kwa style hiyo??
Hivi Ponda na JK hawana uhusiano wowote ule hata ktk dini(ukimsaidia muislam mwenzako unapata thawabu kwa mwenyezi mungu).
JK anajulikana ni mnafiki sana, mtu wa kuuma na kupuliza, na mambo ya u. . .i yumo, kwanini asijionyeshe kwa wazungu kwamba anamshughulikia Ponda kama kuwaridhisha wazungu lkn in real sense Ponda ni jamaa yake kwa hiyo anafanya ambush kuonyesha alitaka kummaliza Pinda lkn akamkosakosa akampa ya bega kidogo, wazungu wanatulia wanaona jamaa kweli anafuatilia.
Tujiulize na kufikiri zaidi na zaidi.
splendid. wabongo tumekuwa watu wa kuamini taarifa za media kiasi kwamba wakitunga uongo tunahama moja kwa moja, ni marangapi tunaambiwa tuzime simu kuna mionzi ya sjui nini inapita saa sita usiku,tunazima mpaka kesho utasikia nchi nzima inajua. hii ni cooked story, inataka ku-balance na uhalisia, infact ukiondoa 'mapenzi' na kuweka logic, ni ngumu kukubali kama kuna kitu kama hiki kimetokea. jamaa yupo anakula bata, tuache kuamini picha za photoshoped.
 
Umejichanganya sana ndugu yangu!

Naomba utofauti kati ya serikali na polisi....Kama unakiri serikali ina mkono kwenye tukio la Sheikh Ponda basi polisi ndo wa kwanza kabisa kuhusika kwenye upigaji risasi. Na hili wamelithibitisha wenyewe kwamba walipiga risasi na mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi wa Sheikh Ponda.

Kutokana na matukio yaliyowahi kutokea polisi wakiwa "kazini" nashawishika kusema kuwa haihitaji akili ya chuo kikuu kubaini kuwa serikali kupitia jeshi la polisi iko nyuma ya tukio hili!

Cha ajabu kama wanamtafuta mtu ni kwa nini wasitoe taarifa rasmi kwa mhusika ili kama anaweza kujisalimisha ajisalimishe....Huu utaratibu wa polisi kusaka watu kama majambazi utawagharimu sana...
Jp Omuga na mtoa mada lane mnaongea lugha moja.
Swali je... hili lilikuwa planned na pande zote mbili? Au hata na upande mmoja na kupandikiza watu upande wa pili waliohakikisha Ponda anatoroshwa,anafichwa kwa mda fulani?
Bado kuna maswali zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtazamo wangu ponda kapigwa risasi na mtu ambaye alikuwa amepangwa,sema tu hakuwa sharp shooter,he/she missed the target...walichokosea police ni kumfukuzia ponda kwa nyuma..wangetaka kumpata vizuri wangemplant snipper maeneo ya pale alipokuwa anahutubia...
I guess the plan went quite well.
The proven sniper hit the very target, and probably is now settled happily in the waiting list for promotions!
 
Kwa maelezo na picha ya jeraha niliyoona hapa nakubaliana na mtoa mada, kuna kaujanja. Tena wamehakikisha jeraha halitishii maisha, yaani hili hata kwenye dispensary tu angepona. Nimemsikia msemaji wa Moi akiongea jana kwenye tv kuwa mgonjwa Ponda alifikishwa MOI akiwa ameshashonwa jeraha lake, na kwamba hawana uhakika ni risasi maana hawakuiona. Ninaamini kuwa madaktari kwa weledi wao wanaweza kutambua jeraha la risasi hata kama hawajaikuta mwilini hiyo risasi. Kwa hili wamesema ni "kitu chenye ncha kali" kwa mujibu wa Bw Almasi Jumaa wa hospitali ya MOI. Kwa mazingira haya nashawishika kuamini kuwa hakupigwa risasi. Tuendelee na mjadala.
 
kwa kiasi kikubwa naweza kukubaliana na hisia zako lane, kukimbia hospitali ya morogoro na kukimbilia muhimbili isingetosha kumfanya adui yako asikushike. na kwa wanaohoji kama ponda amejipiga mwenyewe, haina jibu la moja kwa moja, kwani lazima ajipige mwenyewe au apigwe na watu wengine? cha muhimu hapo ni lazima aumizwe. kwani wanaojilipua huwa wakoje? si wanajua kabisa kuwa na wenyewe wataumia au kufa kabisa!
hakuna mtu mwenye akili anayeweza kufurahia au kushabikia mtu mwingine anapodhuriwa, labda tu awe na roho yake tofauti, na pia hapa tusilazimishe wote tufikirie vile vile, tunatofautiaana katika kuona na kuchambua mambo na wakati huo huo kuna watu wanafiki, bendera fata upepo, waoga, wakatili, wakweli na hizi tabia jinsi zilivyo tofauti ndivyo na watu wanavyotofautiana. hapa kinachoendelea bila kuuma maneno na habari hii inapachikwa kwenye muendelezo wa udini, hata matamko yanayotolewa na watu mbali mbali yanaonyesha hivyo. all in all ni kwamba serikali ina walakini kwa namna nchi inavyoendeshwa, tutakutana na kila fedheha watanzania na kwa sababu wengi wetu ni wanafiki si rahisi kutoka kwenye shida tuliyonayo. kuna watu wanaangalia ni nani muhusika wa jambo hili, kama ni mtu asiye wa upande wake utaona tu tamko linavyokuwa. kuna wengine wanajitahidi kuonyesha kosa liko wapi bila kujali muhusika ni wa upande wake au la, tuacheni unafiki wataanzania, na ukiwa mnafiki ni lazima pia kuwa mwongo, huwezi kusema ukweli!
 
Wewe ndiyo mpuuzi Ponda atakuwa shekhe kwako wewe usiyeijua dini kwangu mimi Ponda ni mtu wa kawaida anayetafuta umaarufu wa kisiasa kwa kutumia dini; kwenu mtu akivaa kanzu nyeupe, kofia ya kitunga na kusoma surat al baqarah basi ndio amekuwa shekhe? Kama umekosa fikra na hekima huwezi kuwa shekhe hata siku moja na huyo mtu hana sifa hata moja ya kuwa shekhe; wewe mtu ni mpuuzi sana mtu anataka kulazimisha mauti yake mimi nimuonee huruma ya nini? huyo hafi shahidi hata siku moja hatetei uislamu ana ajenda zake binafsi hivi haya ni mapandikizi ya kihutu na kitusi yana ajenda nyingine wanataka tu kutumia dini kuvuruga amani yetu; haya ndiyo yale aliyozungumza Mtikila; jiulize amezukia wapi?

cc. njiwa, Ritz, kahtaan, FaizaFoxy
 
Lane to some extent umenifanya niache kuwaza navyowaza nakuanza kucheki other way Maana Kama Risasi why mmoja tuuh Kajeruhiwa na walikuwa wapi! Inabidi tukae tutafakari hili na kwakuwa wote watu wazima haikuwa na haja ya Matusi alichosema ni kweli Police watakuwa wamehusika but sio Planned kwamba iwe hivyo Kuficha Mambo mengne?
Ahsante Mkuu Lane
 
Hakuna ulevi mbaya kama kulewa DINI. Bora hata pombe waweza kuamkia supu ikakutoka. Kwa sababu ya ugumu wa maisha na uelewa mdogo watu wengi wamejiingiza kuwa wakereketwa wa DINI hali inayowafanya kushindwa kupambanua mambo kwa KINA. Hongera kwa kujaribu kusumbua akili mkuu na kufikiri kwa MANTIKI. Waache waliolewa katika ulevi wao.
ha ha ha ha:smile-big:
 
Ndugu aliyeleta picha nadhani kunatatizo katika uwekaji wa picha au picha haziendani. Namaanisha kuwa ukiangalia kidonda kinaonekana nyuma ya bega lakini picha nyingi ikiwemo ilopo hapo inaonesha amefungwa mbele ya bega sasa sijui ameumia mbele au nyuma! kama ni risasi ikapita mbele ikatokea nyuma lazima mfupa ungevunjika lakini naona ameugemea mkono huohuo kweli hiki kiini macho. Nimejua sababu za MOI kusema hawajaweza kugundua jeraha limetokana na nini na sababu za jamaa kupiga walinzi na kukimbia hosipitali ya morogoro.

Huyu ponda anahitaji mtu mgumu anayejua kuingiza unyasi kwenye kikojoleo ndio atasema ukweli lakini anapolelewa kiasi hiki atazoea na mwisho atakua kama chama fulani kinachojidai ndicho chenye nchi na wengine wote si viongozi ila mafisadi na wala rushwa tu.
 
lane

Hivi Mjinga akitwa Mjinga anakuwa ametukanwa ?

au pinda alipoitwa --------, je alitukanwa au alisifiwa?

Wewe mimi nakuita MJINGA na ndicho unachostahili.

attachment.php

View attachment 106697View attachment 106698

Ni ukweli hii picha yenye jeraha haina uhusiano na Ponda,kwani picha inaonyesha jeraha kama ni mkwa mbele
basi lipo mkono wa kushoto,kama ni mkono wa kulia kama wanavyotaka kutuaminisha ni nyuma ya bega si kwa mbele.
Na kama lengo lilikuwa ni kuonyesha watanzania kuwa Ponda amepigwa risasi kwa nini wasimuonyeshe sehemu yote ya
mbele yaani sura yake,pamoja na jeraha?!!! hapa kuna usanii
 
Hello Great Thinkers wa JF,

Kwanza natanguliza samahani kwa yeyote nitakayemkwaza na title yangu pamoja na content ya thread yangu. Niseme tu kwamba hilo sio kusudi langu. Lakini wanajamvi naomba mnivumilie na kunipa nafasi na kusikilizwa japo kidogo kwani nia na maudhui ya mada yangu pamoja na dhamira yangu ni njema kabisa, hasa kwa ajili ya amani ya nchi yangu na pia umoja, mshikamano na upendo kwa watanzania wote.

Sasa katika kutafakari swala zima linalohusu sheikh ponda, nimejikuta nina maswali yasiyo na majibu ambayo naomba niwashirikishe nanyi nyote, na kama kuna mwenye jibu anisaidie:

Kuhusu kupigwa "risasi" kwa sheikh ponda na "polisi", which is what made known to the public hadi sasa, Najiuliza ya kwamba;

1. Kulikuwa na sababu gani ya polisi kumpiga risasi sheikh ponda? je walishindwa kumkamata sehemu nyingine yeyote - mathalani nyumbani kwake, ofisini kwake au hata kumpa taarifa ya kwamba anatafutwa na polisi na hivyo ajisalimishe yeye mwenyewe? Je, ni kweli walikuwa hawajui alipo? Je, kama jibu la hili swali haliko wazi kwa nini tusiamini ya kwamba polisi am serikali kwa ujumla wana agenda nyingine nyuma ya hii? Na je agenda hiyo inaweza kuwa ni ipi?


2. Tukifanya assumption kwamba walikuwa hawajui alipo untill alipojitokeza Morogoro, which by itself ni ngumu kumeza; sasa swali ni kwamba kwanini polisi na maafisa usalama hawakumsubiri mpaka amalize mhadhara wake na pengine kwenda kule msikiti wa mungu moja dini moja huku wakimfuatilia kwa karibu hadi kumkamata kiurahisi pasipo kusababisha taharuki? Kwanini wamkamate mbele ya mashabiki na wafuasi wake? Badala yake waliamua kufanya in a public place tena operation iikiongozwa na afisa mkubwa wa jeshi la polsi kamamda shigolile ambaye naamni anafahamu fika impact ya uamuzi wake, kwa jeshi la polisi na serikali.


3. Toka jana jioni baada ya kupigwa risasi alikuwa wapi? huduma ya kwanza alipata wapi?. Kwa ufahamu wangu mimi a penetrating chest injury hasa ya risasi ina hatari ya kusababisha lung collapse, bleeding na hadi ashindwe kupumua vizuri na kifo kunyemelea fasta. Sasa mbona habari toka itoke kuanzia jana hadi leo ndio wanatuambia yupo muhimbili. And again muhimbili, note that, I said Muhimbili.


4. Inakuwaje mtu ambae anatafutwa na state organs na ambaye usalama wake uko hatarini, he is 'the most wanted' aamue tu kujipeleka muhimbili. Huko si ndo atakamatwa kiurahisi kabisa kama kuku anayesubiriwa arudi jioni baada ya kutwa nzima kuruka ruka na kukataa bosi wake asimle nyama?.


5. Je, hakuna hata mtu mwingine yeyote aliyejeruhiswa japo kiduchu tu au hata kuuwawa na risasi za polisi ambayo bila shaka walipiga risasi randomly ili kuwadhibiti wafuasi wa ponda ambao tunaambiwa na jeshi la polisi walikataa kiongozi wao asikamatwe? mbona hakuna, hakuna taarifa wala tetesi. Hii inawezekana kweli? maanake tunaambiwa kulikuwa na risasi za moto, mabomu ya machozi etc

6. Ndani ya muda mfupi (kumbuka tukio lilitoka mida ya saa kumii na mbili and ushee) vyombo vya habari vya ulaya hasa Uingereza vilipata taarifa ya kupigwa risasi sheikh ponda na to my surprise RPC shigolile alikubali kuhoji haraka na akathibitisha kwamba ni kweli wao polisi ndio waliokuwa wanamtafuta ponda na amepogwa risasi japo kakimbia. Lakini huku nyumbani, polisi kupitia msemaji wao advera wameshakataa hawahusiki. sasa sijui tumwamini advera ambaye yupo ofisini akisubiri taarifa au kamanda shigolile ambae alikuwa frontline.

7. haya mambo yametokea baada ya wale wasichana volunteers wa uingereza kumwagiwa tindikali, je serikali inataka kufanya hiki kiini macho ili kuwaridhisha wakubwa? may be be this is something again, but I dunno

8. Swali la mwisho na la kizushi ni kwamba toka lini seriali imekuwa against na ponda and the like? Je, hawa si wamekuwa wakitoa hate speech na kuhatarisha uvunjivu wa amani lakini serikali imeweka pamba masikioni? matokeo yake watu wamechomewa makanisa, mapadre, wachungaji kuumizwa na wengine kuuwawa at the same time hata pale ambapo evidence isiyo na shaka inaonesha kwamba chuki ya udini inasambaa bado serikali haikuchukua hatua. Sheikh ponda alitajwa moja kwa moja lakini bado yupo na anadunda. Leo imekuwaje tena serikali hiyo hyo ghafla iamuae kumpiga risasi kama jambazi sugu na hatari? mhhh hapa inakataa kuingia akilini


9. Mashuhuda wa tukio hili walionekana kutoa stori ndefu na detailed yenye kuelezea matukio kwa uafasaha tena wakipangilia na kuwasliasha mada vizuri. Katika hali ya panic ya tukio kama hili huwa unapata some sort of amnesia mpaka ukisha-cool off ndio unaanza kukumbuka matukio kidogo kidogo.


In summary maoni yangu ni kwamba Sheikh Ponda Issa Ponda - Hajapigwa risasi bali hii ni mind spinning ya dola ili kuondoa focus kwenye mambo ya msingi yanajitokeza kila uchwao mfano swala la madawa ya kulevya, usalama katika uwanja wetu wa JNIA, tindikali kwa wale binti wa volunteers wa Uingereza etc.

Na kwa kuwa tangia hapo tayari zipo tension ya kidini iliyobuniwa na kuratibiwa na serikali kama namna ya divide and rule machanism ya chama tawala na serikali yake wameona njia mojawapo ya kutuliza munkari upande mmoja wa dini ambao wanaona wanaonewa na serikali na dini nyingine kupendelewa ni kuratibu what I call a pure daytime bluff.

This whole saga is planned kati ya serikali na ponda mwenyewe anaweza akawa anajua kila kitu japo sina uhakika. Haya ni maoni yangu, nakubaliana na wewe kama hautakubaliana na maoni yangu lakini nakaribisha input, crtique na matusi

asanteni

Nadiliki kusema .... NI MAONI YAKO. Narudia ..... Ni Maoni Yako. For Gods sake no vision in it- Ni maoni yangu pia
 
Very disturbing...nimependa mno comment za lemutuz tunaacha mambo ya msingi kabisa tunadili na Ponda what a shame...!
 
Mtoa mada ana hoja.Kutokana na Nchi yetu kuwa Uchi ni rahisi kwa Majasusi wa Nchi zingine kuingia na kufanya hujuma.Mfano wale Mabinti waliomwagiwa Tindikali Zanzibar wana nasaba na Israel;Hujuma za Israel zinajulikana Duniani kote.Vilevile Rwanda ina watu Kibao humu nchini na Generali Kagame alishatoa lugha ya Vitisho kwa hiyo lolote linawezekana.

hahahaha mkuu bado kazi ya ulinzi wa nchi hii ipo mikononi mwa serikali yetu!
 
Hello Great Thinkers wa JF,


This whole saga is planned kati ya serikali na ponda mwenyewe anaweza akawa anajua kila kitu japo sina uhakika. Haya ni maoni yangu, nakubaliana na wewe kama hautakubaliana na maoni yangu lakini nakaribisha input, crtique na matusi

asanteni
mkuu mwenyewe nakubaliana na wewe polisi hawajafanya haya ila mamluki kafanya!
 
Kuna taarifa ambazo bado nafuatilia kuzithibitisha, nasikia ponda anatuchezea tu akili nae ni mwenzie na rama wa TISS, ingawa yy ana operate nje ya organ
 
hiii consipirasi hii.
Lakini kama vile kuna ka ukweli....
haya endeleeni umiza vichwa.
 
Back
Top Bottom