Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumechoka sasa wapigwe tu. Kauli ya Pinda
lane, unaweza kuwa na point, hao wanaokupuuza ni wavivu tu wa kufikiri.
Vyombo vya habari vya magharibi vime capture hilo tukio mapema mno na katika hali ambayo inaweza kutafsiriwa kama wamekuwa appeased na hatua ya kupigwa risadi kwa Shehe ponda.
Inawezekana kabisa ikawa ghilba iliyopangwa kiustadi ili kuwapoza wamagharibi kufuatia kumwagiwa tindikali kwa watu wao.
angalau wewe umemuelewa mtoa mada, yote yanwezekana lakini humu sijui kuna watoto wa shule za msingiMtoa mada ana hoja.Kutokana na Nchi yetu kuwa Uchi ni rahisi kwa Majasusi wa Nchi zingine kuingia na kufanya hujuma.Mfano wale Mabinti waliomwagiwa Tindikali Zanzibar wana nasaba na Israel;Hujuma za Israel zinajulikana Duniani kote.Vilevile Rwanda ina watu Kibao humu nchini na Generali Kagame alishatoa lugha ya Vitisho kwa hiyo lolote linawezekana.
Umelewa ushabiki wa kushabikia ccm mpaka huwezi hata kufikiri. Unasema wangekuwa polisi wa kwrli tungeongea mengine, kwamba ulitamani Shehe Ponda auawe au?Kauli mujarab punda mkaidi hendi pasina kichapo: yoyote yule anayelenga kuleta uchochezi na ashughulikiwe ipasavyo; Ponda ashukuru tu polisi wenyewe voda fasta kama ingekuwa ni wale polisi wa kweli tungekuwa tunaongea mengine.
As far as the whole system is concerned in this issue, it is also my impression to say kupigwa kwa Ponda was planned!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
lane
Hivi Mjinga akitwa Mjinga anakuwa ametukanwa ?
au pinda alipoitwa --------, je alitukanwa au alisifiwa?
Wewe mimi nakuita MJINGA na ndicho unachostahili.
![]()
View attachment 106697View attachment 106698
Umelewa ushabiki wa kushabikia ccm mpaka huwezi hata kufikiri. Unasema wangekuwa polisi wa kwrli tungeongea mengine, kwamba ulitamani Shehe Ponda auawe au?
Wewe ndio mpuuzi kabisa.
Kama alipigwa riasasi na byunduki ya Policcm kwenye hilo tukio - swali ni je kuna ganda la risasi kwenye crime scene, na je hilo ganda la risasi liko compatible na aina za byunduki walizokuwa nazo askari wa policcm? Theory nyingine inaweza kuwa kwa vile Sheikh ni mpambanaji, yeye na wenzake inawezekana wakaona watumie mwanya huo kwa kumtandika risasi begani ili waamshe hamasa ya wafuasi! Mnakumbuka yule Sheikh wa UAMSHO aliyejiteka?
Ukimtazama vizuri sheikh poda machoni unagundua anaigiza, hii ni drama Kama ya babu wa loliondo. Yawezekana hamjui risasi ni kitu gani Afya mbovu kama ya ponda apogwe risasi huo mdenge usidondoke
cc RitzKauli mujarab punda mkaidi hendi pasina kichapo: yoyote yule anayelenga kuleta uchochezi na ashughulikiwe ipasavyo; Ponda ashukuru tu polisi wenyewe voda fasta kama ingekuwa ni wale polisi wa kweli tungekuwa tunaongea mengine.