Container za 45ft zinafika Tanzania? Je, kuna magari ya kubeba?

Container za 45ft zinafika Tanzania? Je, kuna magari ya kubeba?

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,449
Shipping container zipo za sizes tofauti kuanzia
60ft

60-ft-container-1.png

53ft
53-ft-container.jpg


48ft
O1CN01tWdxN11kcw77y2BWB_!!6000000004705-0-tbvideo.jpg_720x720q50.jpg

45ft
45-high-cube-pallet-wide-voorzijde.png

43ft
Screenshot_20241010_231923_Google.jpg

40ft
40-ft.png

35ft
Screenshot_20241010_232922_Google.jpg


20ft
Screenshot_20241010_232545_Google.jpg


15ft
Screenshot_20241010_232323_Google.jpg

10ft
Container-10-foot_side-Measure-Fix.png

7ft
7FT-Grey-Doors-LS-600x800-1 (1).jpg

Swali langu jee, Container za angalau 45ft bongo zinafika? Kama ndio, napata wapi? kama hazifiki inaweza kuwepo option ya kuagiza, jee kuna semi trailer truck zenye chassis ndefu size hio ili kulibeba? Wapi napata?

Mara chache naonaga Sem trailer imebeba container Bila shaka 40ft lakini kuna nafasi kidogo nyuma imebaki, jee ndio hayo?
 
Shipping container zipo za sizes tofauti kuanzia
60ft

View attachment 3121333
53ft
View attachment 3121336

48ftView attachment 3121370
45ftView attachment 3121373
43ftView attachment 3121374
40ft
View attachment 3121377
35ft
View attachment 3121385

20ft
View attachment 3121381

15ft
View attachment 3121378
10ftView attachment 3121382
7ft
View attachment 3121383
Swali langu jee, Container za angalau 45ft bongo zinafika? Kama ndio, napata wapi? kama hazifiki inaweza kuwepo option ya kuagiza, jee kuna semi trailer truck zenye chassis ndefu size hio ili kulibeba? Wapi napata?
Containers nyingi zinazoletwa Tanzania zina urefu wa maximum 40ft, wala siyo zaidi ya hapo.
Aidha, hata trailers nyingi za kusafirisha hayo ma-container zina chasis zenye urefu wa juu kabisa mwisho kipimo hicho hicho cha 40ft, Wala siyo zaidi ya hapo.

Ma-container yenye urefu wa zaidi ya 40 ft Mimi binafsi kwa uzoefu wangu niliwahi kuyaona yakishushwa au kupakiwa kwenye Meli na/au kwenye Magari ya mizigo (trailers) niliyashuhudia katika bara hili la Afrika yakiwa kwenye Bandari za Miji ya Cape Town na Bandari ya Durban nchini Afrika ya Kusini. Kwenye nchi zingine sikuwahi kubahatika kuyaona ma-container Wala magari ya kubeba mizigo yenye chasis ndefu za namna hiyo ya zaidi ya 40ft.
 
Shipping container zipo za sizes tofauti kuanzia
60ft

View attachment 3121333
53ft
View attachment 3121336

48ftView attachment 3121370
45ftView attachment 3121373
43ftView attachment 3121374
40ft
View attachment 3121377
35ft
View attachment 3121385

20ft
View attachment 3121381

15ft
View attachment 3121378
10ftView attachment 3121382
7ft
View attachment 3121383
Swali langu jee, Container za angalau 45ft bongo zinafika? Kama ndio, napata wapi? kama hazifiki inaweza kuwepo option ya kuagiza, jee kuna semi trailer truck zenye chassis ndefu size hio ili kulibeba? Wapi napata?
Zipo huwa naziona zimepakia mabomba makubwa sana marefu ya kijani kama 6 hivi
 
Containers nyingi zinazoletwa Tanzania zina urefu wa maximum 40ft, wala siyo zaidi ya hapo.
Aidha, hata trailers nyingi za kusafirisha hayo ma-container zina chasis zenye urefu wa juu kabisa mwisho kipimo hicho hicho cha 40ft, Wala siyo zaidi ya hapo.
Fanya uchunguzi vizuri mkuu.
 
Nilishaonaga Container Mbili zinapitishwa Maeneo ya External, Zile HAZIWEZI Kua 40ft wala 43ft, Zilikua ndefu mno, tofauti yao ilikua noticeable bila mashaka kiasi kwamba watu walikuepo waliona sio kawaida na nahisi walikua na CAUTION.
 
Nilishaonaga Container Mbili zinapitishwa Maeneo ya External, Zile HAZIWEZI Kua 40ft wala 43ft, Zilikua ndefu mno, tofauti yao ilikua noticeable bila mashaka kiasi kwamba watu walikuepo waliona sio kawaida..
Zilikuwa na urefu gani?
Ulibahatika kusoma Maelezo yaliyopo kwenye containers hizo kuhusu suala la vipimo vya urefu au upana wake ??
 
Mizani Si wanapima uzito wazee? Au na pia wana Futi ya kupima urefu?
Mtoa mada hajazungumzia mzigo,
Labda uniambie traffic
Ni kweli kwamba mizani wanapima uzito, lakini hata Askari Polisi wa Usalama wa Barabarani pia nao Wana mamlaka ya kudhibiti mizigo isiyotakiwa kubebwa au kusafirishwa. Aidha, over-sized loads are not allowed to be transported, unless kwa sababu maalum, au kwa kibali maalumu tena mizigo hiyo inaposafirishwa ni LAZIMA iwekewe Mazingira maalumu ili kulinda usalama wa Barabara pamoja na watumiaji wengine wa barabara.
 
Bongo zipo. Kuna mwamba anaitwa raphael logistics.. ana vifaa vya kubeba vitu virefu kuliko hizo kontena.

Hata treni za umeme SGR alizibeba yeye kutoka bandarini na kwenda kuziweka kwenye reli pugu yeye mwenyewe.

Kuna mizigo ya mashine za migodini ni ndefu kuliko hizo contena ulizozitaja. Ila mwamba raphael anazibeba mpaka geita na kahama na anazishusha bila shida.

Na hapo huyo mwamba hata la saba hajamaliza. Ila ana kampuni ya logistics inayobeba kila kitu
 
Hayo kwakweli yasije, wabongo wanavyopenda Sifa watayajaza, nenda kibaha Superdoor wakakuchongee.

Haya ya 40ft tuu yanatutisha, juzi nipo kwenye boda yametubananisha katikati moja huko, jingine huku, Foleni ikaruhusiwa ukisikiliza ma engine yanavyotetema, unamuona kabisa unaenda kuungana na Magu Motoni,
Nyuma hamna gap, mbele hamna, kushoto na kulia ukigeuka kdg ni tairi kubwa kama ist,
 
Nitafuatilia

Hata Mimi nashangaa, utapitisha wapi hayo makasha yenye urefu huo?
Hizi containers zipo ila mara nyingi ni trip town hazitoki nje ya mji kwenye hizi ICDs & ECDs za karibu na Terminal utaziona hizo containers just fuatilia tu.
 
Bongo zipo. Kuna mwamba anaitwa raphael logistics.. ana vifaa vya kubeba vitu virefu kuliko hizo kontena.

Hata treni za umeme SGR alizibeba yeye kutoka bandarini na kwenda kuziweka kwenye reli pugu yeye mwenyewe.

Kuna mizigo ya mashine za migodini ni ndefu kuliko hizo contena ulizozitaja. Ila mwamba raphael anazibeba mpaka geita na kahama na anazishusha bila shida.

Na hapo huyo mwamba hata la saba hajamaliza. Ila ana kampuni ya logistics inayobeba kila kitu
Si masharti kama ya p did tu wa uswafani.........mbeya huko
 
Kwanza hata anuani zao tu zinaonyesha kwamba hawapo kabisa Tanzania, na wala hata hawana Branch Office hapa Tanzania. Chunguza vizuri Maelezo yao.
Nime-google tu bila ku-pay attention other factors kama wapo nchini ama la ila ukienda chini kule Quick link, unabonyeza "service area" then "Tanzania" kuna detail wanazo japokuwa ni kweli hawapo Tanzania, it seem like kuna arrangement zinafanyika za kusafirisha hizo new and used containers (long process though kuna email ya kuulizia uzuri)
 
Shipping container zipo za sizes tofauti kuanzia
60ft

View attachment 3121333
53ft
View attachment 3121336

48ftView attachment 3121370
45ftView attachment 3121373
43ftView attachment 3121374
40ft
View attachment 3121377
35ft
View attachment 3121385

20ft
View attachment 3121381

15ft
View attachment 3121378
10ftView attachment 3121382
7ft
View attachment 3121383
Swali langu jee, Container za angalau 45ft bongo zinafika? Kama ndio, napata wapi? kama hazifiki inaweza kuwepo option ya kuagiza, jee kuna semi trailer truck zenye chassis ndefu size hio ili kulibeba? Wapi napata?

Mara chache naonaga Sem trailer imebeba container Bila shaka 40ft lakini kuna nafasi kidogo nyuma imebaki, jee ndio hayo?
Habari Mkuu,
Mimi binafsi nikijihusisha na biashara ya new and used containers kwa almost miaka 6 sasa

Nina haya machache ninayoweza kusaidia

1. Container zaidi ya 40Ft kwa sheria zetu za Barabarani zinawekwa as Abnormal Load, hivyo bila kujali ya uzito uliobeba utapaswa kulisafirisha kwa escort ya magari mawili.

Moja liwe mbele ya gari lililobeba Container na jingine liwe nyuma
Yote yakiwa na bango litakalosomeka "Abnormal Load"

2. Magari ya kubebea container zaidi ya 40Ft yapo japo si mengi.
Kuna kampuni chache zenye huduma mfanano na hiyo na gharama zao hazina afueni kwa mteja wa matumizi ya kawaida

Eg. Raphael Logistics hutoza Tsh 1.5M kubeba 40Ft kwa Boxloader toka Kurasini: Temeke hadi Kibaha

Wakati huo huo kwa Flatbed ya kampuni ya kawaida hawatokutoza zaidi ya Tsh 500 000 ukijumuisha na gharama za crane offloading ni Tsh 100k kwa container.

Jumla unakuwa umetumia Tsh 600k badala ya ile ya Tsh 1.5M kutoka kwa kampuni zinazofanya heavy lifting as Raphael Logistics, Mariam Hauliers, Mainline Carrie etc

3. Bei ya Sasa ya containers kwa 40Ft na 20Ft

40Ft Container (HQ/HC)
New (Jipya): Tsh 17M (inclusive)

Used: (Exclusive VAT)
Grade A: Tsh 7.5M
Grade B: Tsh 7.3M
Grade C: Tsh 7M
Lower Grade C: Tsh 6.85M

Used 20Ft (Standard)(Exclusive VAT)
Grade A: Tsh 4.5M
Grade B: Tsh 4.3M
Grade C: Tsh 4M
Lower Grade C: Tsh 3.85M
Grade D: Tsh 3.6M (huwa zinakuwa chache)
 
Back
Top Bottom