Mambaenock
JF-Expert Member
- Aug 7, 2013
- 427
- 107
Habari zenu wana jamvi napenda kujua jinsi ya kuomba mkopo loan board na gharama zinazohitajika kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo kwa mwaka 2014/2015.
asanteni
Kama uko mwaka wa 5 sawa lakini kama ni mwaka wa 2,3 au wa 4 wewe endelea na kitabu ila kama huhitaji tena mkopo ndo uwajulishe.
Kama uko mwaka wa 5 sawa lakini kama ni mwaka wa 2,3 au wa 4 wewe endelea na kitabu ila kama huhitaji tena mkopo ndo uwajulishe.