Yaani ni mwendo wa njaa tu kwa Wahasibu siku hizi. Sema wanatabia siku hizi ya kukuzungusha malipo mpaka uwatoe.Wale Vishoka mtaani na wahasibu wezi serikalin wanaisoma namba kwa vitendo. Hivi sasa mpaka Police Loss Report (Tsh. 500/=) Lazima ku-generate Control Number. Heko Awamu hii.
**Hakuna janja-janja kila mtu atafikiwa.
Nimepita Makumbusho juzi nikashangaa Sana, lami kila mtaaWale Vishoka mtaani na wahasibu wezi serikalin wanaisoma namba kwa vitendo. Hivi sasa mpaka Police Loss Report (Tsh. 500/=) Lazima ku-generate Control Number. Heko Awamu hii.
Hakuna janja-janja kila mtu atafikiwa.
NB:katika kuweka mgomo baridi wa kunyang'anywa ulaji. Watendaji wameamua kutoa huduma chini ya kiwango kupitiliza ila sawa tu Zama za pesa za bure zimekwishaaaa........
Kukusanya fedha ni nusu ya mlinganyo.Wale Vishoka mtaani na wahasibu wezi serikalin wanaisoma namba kwa vitendo. Hivi sasa mpaka Police Loss Report (Tsh. 500/=) Lazima ku-generate Control Number. Heko Awamu hii.
Hakuna janja-janja kila mtu atafikiwa.
NB:katika kuweka mgomo baridi wa kunyang'anywa ulaji. Watendaji wameamua kutoa huduma chini ya kiwango kupitiliza ila sawa tu Zama za pesa za bure zimekwishaaaa........
Ndege za umma. Awamu nyingine hatukua na ndege na makusanyo yaliishia mifukoni mwa wajanja wachacheKukusanya fedha ni nusu ya mlinganyo.
Nusu nyingine ni matumizi ya hizo fedha.
Kama ukusanyaji wa fedha unadhibitiwa, halafu mtu mmoja tu ananunua midege anavyotaka, bila bajeti, tenda ya wazi, wala ukaguzi wa vitabu, bado tuna tatizo kubwa sana.
Sasa hivi receipt zinatikwa ziwe za kumulika chini, mtu wa TRA akipiga tochi anaona mauzo, kama risiti feki itagoma tu.Ufafanuzi wa nn hakuna wizi wa maduhuli ya Serikali. Vijana wafunga tai sijui CPA holder namba wanaisoma
Zama za pesa bure hazijaisha bali zimepumzika, wizi serikalini hautaisha milele.....Wale Vishoka mtaani na wahasibu wezi serikalin wanaisoma namba kwa vitendo. Hivi sasa mpaka Police Loss Report (Tsh. 500/=) Lazima ku-generate Control Number. Heko Awamu hii.
Hakuna janja-janja kila mtu atafikiwa.
NB:katika kuweka mgomo baridi wa kunyang'anywa ulaji. Watendaji wameamua kutoa huduma chini ya kiwango kupitiliza ila sawa tu Zama za pesa za bure zimekwishaaaa........
Unaelewa kwamba bila kuwa na mpango unaweza kugharimika zaidi kwa kuwa na hizo ndege za umma kuliko fedha kuibiwa na wajanja wachache?Ndege za umma. Awamu nyingine hatukua na ndege na makusanyo yaliishia mifukoni mwa wajanja wachache
Kaguzi za awamu zilizopita ziliwafikisha wapi?Unaelewa kwamba bila kuwa na mpango unaweza kugharimika zaidi kwa kuwa na hizo ndege za umma kuliko fedha kuibiwa na wajanja wachache?
Unaelewa kwamba, bila ya ukaguzi wa mahesabu huwezi kusema kwamba hata sasa hivi fedha za umma haziishii mifukoni kwa wajanja wachache zaidi?
Na kweli, sasa kila kitu ni Chato!Wale Vishoka mtaani na wahasibu wezi serikalin wanaisoma namba kwa vitendo. Hivi sasa mpaka Police Loss Report (Tsh. 500/=) Lazima ku-generate Control Number. Heko Awamu hii.
Hakuna janja-janja kila mtu atafikiwa.
NB:katika kuweka mgomo baridi wa kunyang'anywa ulaji. Watendaji wameamua kutoa huduma chini ya kiwango kupitiliza ila sawa tu Zama za pesa za bure zimekwishaaaa........
Kwani walikuwa wanakula kwenye makusanyo au kwenye malipo (manunuzi)?Ufafanuzi wa nn hakuna wizi wa maduhuli ya Serikali. Vijana wafunga tai sijui CPA holder namba wanaisoma
Unaweza kujenga hoja kwa namba na kuacha maneno tu?Kaguzi za awamu zilizopita ziliwafikisha wap?