Controversial Cure For AIDS Discovered

no-wanasema kinakosa misamiati ya kukokotoa hoja za kisayansi kama hii,...ila ndio tujitaidi tu

Itakuwaje sijui maana shule zote hadi vyuo vikuu vitaanza kufundisha masomo yote kwa kiswahili😕

I can't imagine kwenye masomo kama Biology, Chemistry na physics itakuwaje???
 
Yeah-hivyo ndivyo nilivyoelewa hata mimi mkuu,..sasa wewe unapinga kwa hoja zipi kiongozi wangu..!

Mimi sijapinga.
Nimesema wanaipromote.

Bangi si mzuri, unaweza kupona Ukimwi ukaugua kichaa!!

After all hakuna mtu waliemtaja hapo kwamba kapona kabisa kwa sababu ya bangi.

Even kitaani kuna Panya (too much smoker) wengi tu na bado wanaugua miwaya.
 

I get you right....!
 
Itakuwaje sijui maana shule zote hadi vyuo vikuu vitaanza kufundisha masomo yote kwa kiswahili😕

I can't imagine kwenye masomo kama Biology, Chemistry na physics itakuwaje???

Lets wait and see mkuu,....
 
Itakuwaje sijui maana shule zote hadi vyuo vikuu vitaanza kufundisha masomo yote kwa kiswahili😕

I can't imagine kwenye masomo kama Biology, Chemistry na physics itakuwaje???

Force of Gravity nadhani ndio Nguvu ya Ulimwengu au?
 

Hakuna scientific prove ambaye amewahi thibitisha kuvuta bang kunasabisha kichaa, kama unazo zilete tuzione
 
Hello Deception

we are enjoying the banter while waiting for invaluable presentations.
 
Last edited by a moderator:
DECEPTION, Sasa mkuu, na hawa watoto wanazaliwa cjui na aids ama hiv, huwa inakuaje??? Haya umesema aids iko na cure, haya nini tiba yake na pia hivo virus vya hiv nini tiba yake...
 

Sasa mkuu, na hawa watoto wanazaliwa na HIV AMA AIDS inakuwaje, maana wengi hawafiki 10 years, wanakufa
Then hii aids unasema dawa yake inaexist for long time, je dawa yake nini, na hio HIV dawa yake nini, na inakuwaje, Hivo virus vinatokana na nini, how come it's transmitted thru sex, I really need to know the fact about this please.
 
Hakuna scientific prove ambaye amewahi thibitisha kuvuta bang kunasabisha kichaa, kama unazo zilete tuzione
BAADA ya kuwepo kwa baadhi ya tafiti
zilizokuwa zikiruhusu uvutaji wa bangi
kwa madai kwamba ilisaidia wagonjwa
waliosumbuliwa na msongo wa
mawazo, hali hiyo imesababisha baadhi
ya nchi kuruhusu matumizi yake.
Pamoja na mawazo ya wengi kufikiria
kuwa kutokana na nchi ya Jamaica
ndiyo ilikuwa mstari wa mbele kwa
watumiaji wengi ingekuwa ya kwanza
kuruhusu bangi, lakini ukweli ni kwamba
nchi ya Canada
ndiyo ilikuwa ya kwanza kukubali bangi
kutumiwa kama dawa ya maradhi.
Baada ya utafiti huo wa awali hivi
karibuni watafiti wengine wamegundua
kuwa matumizi ya bangi kwa muda
mrefu yanasababisha kujiongezea
madhara badala ya kutibu kama
ilivyokuwa ikisemekana hapo awali.
Watafiti hao wamekwenda kinyume na
wale wa kwanza kwa kusema kuwa
matumizi yake yana uwezekano
mkubwa wa kumletea mtumiaji
magonjwa ya kupungua uzito mara kwa
mara, magonjwa ya figo, ini na ugonjwa
wa akili.
Watafiti waliogundua athari hizo ni wale
wanaotokea nchini Australia ambao
katika utafiti wao wamegundua kuwa
zaidi ya vijana 3,100 walio katika umri
wa miaka 20 ndio wamekuwa watumiaji
wakubwa wa bangi.
Utafiti wao umekwenda mbali na
kubaini kwamba asilimia 18 ya vijana
hao ni wale waliojiingiza katika
matumizi ya dawa hizo za kulevya kwa
muda wa miaka miwili au mitatu.
Asilimia nyingine 16 ya vijana wa umri
huo wamebainika kutumia kwa muda
wa kati ya miaka minne hadi mitano.
65 kati ya watumiaji wamegundulika
wameshaathirika na maradhi ya
ugonjwa wa akili.
Wakati hao wakisumbuliwa na tatizo
hilo wengine 233 wamebainika
kuathirika kwa figo na ini.
Watafiti wamebaini vijana wengine kati
yao wanasumbuliwa na tatizo la kupata
uchizi (wehu).
Baada ya kubaini hayo watafiti
wametoa ushauri kwa vijana kutotumia
dawa hizo za kulevya kwa vijana kwa
zaidi ya miaka sita au zaidi tangu pale
siku ya kwanza alipoanza kutumia.
Wanasema kuwa kwa wale ambao sasa
wamevuta kwa muda mrefu kati ya
miaka 15 na zaidi wengi wao
wamekumbwa na tatizo la kiakili.
Kwa mujibu wa Dk. John McGrath, wa
kituo cha uchunguzi wa afya ya
wagonjwa wenye mtindio wa ubongo
cha Queensland, nchini Marekani,
anasema: "Wengi wa wagonjwa ambao
wamekumbwa na matatizo hayo
tumegundua ni wale waliowahi kutumia
bangi kwa muda mrefu na hatimaye
kujikuta wakipata tatizo la akili."
Daktari huyo anasema kuwa ni nadra
sana kukutana na wagonjwa wa akili
vijana halafu wakawa hawajawahi
kutumia bangi, iwe mwaka mmoja au
zaidi.
Anasema kuwa iwapo matumizi ya
bangi yatakomeshwa tatizo la vijana
kupata matatizo ya utaahira
yatapungua kwa kiasi kikubwa duniani...

Nimekopi kwa post ya MziziMkavu

https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/288102-madhara-ya-bangi.html
 
Last edited by a moderator:
I am sorry folks,I was running out of internet bundle.
The HIV/AIDS discussion is not new in JF ground.It has been presented here by different people in different topics,the only problem is that people are not ready to switch their brains to get new knowledge which you will never get it via mainstream media,let it be TV,Radio,Newspapers,Journals etc for some very strong reasons.Information like this can only be extracted outside mainstream such as books,special internet links,direct from mouth.
I don't know where to start,but I find it better if people would ask a specific question and I answer the question and provide data/proof if needed/available easily.Marijuana/Marihuana/hemp(bangi) is another very broad topic people never realise.Besides its many uses as fuel,paper making,vehicle body making,texiles,ropes making,methanol etc,marijuana can also be prepared to cure many diseases like cancer.Lets jump to the main topic.
First we need to understand the meaning of AIDS(UKIMWI) as refered to this topic so as to be in the same boat.
AIDS=Acquired Immune Deficiency Syndrome,UKIMWI=Upungufu wa Kinga Mwilini.As per this topic and as many people know is that AIDS is caused by NEW pathogenic virus called HIV and is transmitted through blood and some other body fluids,and common way of transmission is through SEX.The bolded words are WRONG.
In order to know/understand the fact it is important to know the following;

1.History of HIV/AIDS,
2.HIV/AIDS hypothesis,
3.HIV/AIDS tests used such as PCR,
4.HIV/AIDS medication such as AZT/ARVs,
5.Why they lied to us that HIV causes AIDS?
6.Who are the leading HIV/AIDS dissidents?and why they stand firm to their scintific arguments?

To start with,listen to this dissident talking about 10 scintific arguments,why HIV does not cause AIDS.

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0

When you watch that video you will find many related videos,don't hesitate to ask if you find to be confused.I welcome specific questions now.

Remmember; OFFICIAL LIES ARE ALWAYS GREATEST LIES OF ALL.
 
Hakuna scientific prove ambaye amewahi thibitisha kuvuta bang kunasabisha kichaa, kama unazo zilete tuzione

hapa ninapoandika hivi nipo hospitali...juzi mdogo wangu alivuta bange baada ya kurudi home alikuwa aeleweki eleweki kabisa nikamuuliza nini tatizo ndio akaniambia amevuta bange na anasikia kichwa kinamuuma mno..akavua nguo na kufanya vituko vikubwa mno ikiwemo kuvua shati na kubaki kifua wazi huku akilalamika anasikia baridi...tukambeba kumpeleka hospital mpaka leo nipo hapa namsikilizia pengine akili itarudi sawasawa
 
cc mzaramo,mavado na wengine:

Niliwahi kudokeza kwamba marijuana/cannabis/bangi ni somo pana sana,watu wanahitaji muda wa kufuatilia ili kufahamu ukweli,vinginevyo mtu anaweza akawa na uelewa tofauti kabisa na ukweli ulivyo.

Kuhusu kuchanganyikiwa(psychoactive):
Kuchanganyikiwa kunategemea mambo mengi sana,ila ukweli ni kwamba kuna uwezekano wa kuchanganyikiwa endapo utatumia bangi kwa kuvuta au kuila baada ya kuichoma/kupika.Ila ni asilimia chache sana ya watu hutokewa na hili sababu ni kwamba hutegemea mambo mengi sana kama vile kiwango cha bangi,mtumiaji mwenyewe,muda,aina ya bangi(sativa,indica),kiwango cha THC kwenye bangi yenyewe nk.
Bangi ina aina kuu mbili za kemikali,THCA(Tetrahydrocannabinolic acid) na CBD(Cannabidiol).Kemikali ambayo inaweza kukusababisha uwe psychoactive/high au uathirike akili(kumbuka kuathirika akili si lazima uchanganyikiwe) ni THC.THC ni kemikali inayotokea baada ya kuichoma bangi ambapo THCA huvunjwa na kubadilika kuwa THC ambayo ndiyo psychoactive,THCA sio psychoactive.Viwango vya THC kwenye bangi hutofautiana kutegemea na aina,strain.
Scientific proof zipo ambazo hufafanua jinsi THC inavyoathiri akili kama itatokea hivyo,ambapo hutegemea uwepo wa cannabinoic receptor kwenye ubongo.Kumbuka,si wote wanaochanganyikiwa,ni asilimia chache tu.

Tufahamu ya kwamba matumizi ya bangi yenye faida si kuvuta.Walioweka sheria ya kuharamisha bangi wameegemea kwenye uvutaji ili kutimiza malengo yao ya kiuchumi na kurubuni na kudanganya watu ili wakubaliane nao.Bangi ina matumizi mengi yenye faida ambayo ni threat kwa waliotudanganya.Baadhi ya matumizi hayo ni:

1.Fuel kwa mfano biodiesel ambayo ni threat kwa makampuni ya mafuta,umeona hiyo?

2.Medicine kwa mfano tiba ya cancer/saratani ambayo ni threat kwa viwanda vya madawa na taasisi za cancer,umeona hiyo?

3.Textiles(mambo ya nguo) ambayo ni threat kwa soko kama vile la pamba,umeona hiyo?

4.Ropes(very strong ropes)

5.Paper(high quality papers)

6.Housing/vehicle bodies

na mengineyo madogodogo.
Namba 1 na 2 ndio hasa sababu za msingi zilizowafanya wakataze bangi.Hebu funguka upate kuelewa dunia inavyokwenda na ujue jinsi ulivyodanganywa.
Ford na Rudolf Diesel walitengeneza Engine za kwanza zinazotumia diesel miaka ya 1890's lengo lao kubwa ni kuziendesha engine hizo kwa kutumia biodiesel kutoka kwenye bangi,umeipata hiyo?

Haya ni machache tu,kuna mengi tunahitaji kuyafahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…