Cookies za bangi, Je huku kwetu zipo?

elixer of life

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
633
Reaction score
624
Habari wana jf
katika maisha yangu ya kujichanganya na wapishi na kufatilia makala ya wapishi nimepita sehemu mmoja nikakuta hizi cookies za bangi /cannabis sasa nikawa najiuliza hapa kwetu bongo kuna wapishi wa mambo kama hizi kweli.
 
Bashite aweza kusema kuwa haziruhusiwi hizo [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Zipo,kibongobongo wanakula wakishua zaidi,shida ya stimu ya edibles ni kwamba haiji gradualy/kidogkidogo kama stimu ya kuvuta,stimu yake inakuja yote kwa wakati mmoja,gafla,unaweza kaa hata lisaa limoja usihisi kitu,mara paap!!, ikija inakuja yoote.kama sio mzoefu unaweza pagawa
 
Nilichanganyikiwa siku nimekula hii kitu, sikua najua ilikua birthday party ya jamaa yangu
 
Lol! mbona mi sio wa kishua?
 
yeah its a bit expensive and classy! kuna super market moja kubwa tu zipo ila huuziwi kichwa kichwa! (staki maswali hapa!)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…