elixer of life
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 633
- 624
Acha kuropoka usiyo yajua!Bongo ni kesi
Sasa cha arusha kinahitajika pia kwenye mapishi hayo?nataka najaribu siku moja hili pishi
Nilichanganyikiwa siku nimekula hii kitu, sikua najua ilikua birthday party ya jamaa yanguZipo,kibongobongo wanakula wakishua zaidi,shida ya stimu ya edibles ni kwamba haiji gradualy/kidogkidogo kama stimu ya kuvuta,stimu yake inakuja yote kwa wakati mmoja,gafla,unaweza kaa hata lisaa limoja usihisi kitu,mara paap!!, ikija inakuja yoote.kama sio mzoefu unaweza pagawa
Lol! mbona mi sio wa kishua?Zipo,kibongobongo wanakula wakishua zaidi,shida ya stimu ya edibles ni kwamba haiji gradualy/kidogkidogo kama stimu ya kuvuta,stimu yake inakuja yote kwa wakati mmoja,gafla,unaweza kaa hata lisaa limoja usihisi kitu,mara paap!!, ikija inakuja yoote.kama sio mzoefu unaweza pagawa
Haha ikawaje? na wengi sana hulishwa kwwnye birthdays..Nilichanganyikiwa siku nimekula hii kitu, sikua najua ilikua birthday party ya jamaa yangu
Namaanisha wala ganja wa huku uswahilini kwetu hawana access nazo na asilimia kubwa hawajui kama bangi huchanganywa kwenye vitu vya kuoka na mlaji akapata stata.hata mie sio wakishua lakini nimekula.Lol! mbona mi sio wa kishua?
Tarime wanaiunga nakula na ugali! unashangaa hiyo? hushangai watu kukaanga upupu kama mboga? tembea uone mura!Kwa hiyo bhange ikipikwa bado inalewesha?
Ndio mkuu.na uleweshaji wake sio wa kitoto.Kwa hiyo bhange ikipikwa bado inalewesha?
yeah its a bit expensive and classy! kuna super market moja kubwa tu zipo ila huuziwi kichwa kichwa! (staki maswali hapa!)Namaanisha wala ganja wa huku uswahilini kwetu hawana access nazo na asilimia kubwa hawajui kama bangi huchanganywa kwenye vitu vya kuoka na mlaji akapata stata.hata mie sio wakishua lakini nimekula.
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Heheh hata mie napamanya,ngoja tusiandike humu tutakuwa tunawachongeayeah its a bit expensive and classy! kuna super market moja kubwa tu zipo ila huuziwi kichwa kichwa! (staki maswali hapa!)
Zipo sana, hadi chocolate