Cookies za bangi, Je huku kwetu zipo?

Cookies za bangi, Je huku kwetu zipo?

61c4546874ff28d92048bf9179d8ad2e.jpg
 
Zipo,kibongobongo wanakula wakishua zaidi,shida ya stimu ya edibles ni kwamba haiji gradualy/kidogkidogo kama stimu ya kuvuta,stimu yake inakuja yote kwa wakati mmoja,gafla,unaweza kaa hata lisaa limoja usihisi kitu,mara paap!!, ikija inakuja yoote.kama sio mzoefu unaweza pagawa
[emoji23] [emoji23] hahahaa wataalam!
 
Jang'ombe Zenji kuna KASHATA za bangi, ziko safi sana kashata zako tatu tu full stimu na hunuki moshi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Back
Top Bottom