Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TakurudiaMshana Jr Kaka naomba tafsiri ya hii ndoto yangu ya leo usiku!
1. Nilikua na HR Manager wa Company la zamani ambalo nilishawahi fanya kazi,alikua ananiuliza kuhusu ndagu,kwamba nimpeleke wapi akapate waganga wa jadi
2. Nikaota nipo na brother wangu mmoja hivi,hua hatupatani kabisa,tupo kwenye msiba wa kaka yake na huyo brother ambaye sipatani nae kabisa, tulikua tupo kwenye chumba flan hivi,mwili wa marehemu ukiwa mle ndani,eti marehemu akawa ananyanyua mguu juu, na pia anapumua!
3. Yule HR Manager wa Company la zamani,tulikua nae pia msibani anapika msosi wa msibani! Hii Ina maana gani mkuu wa idara ya mitishamba??
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
James ndio alikuja na hiyo idea ruge aliongopa hapo. Ila wao walisaidia kuisimamia. Kuna wakati mke wake pia aliisimamia yule mchagaNakumbuka Ruge alisema KTMA ni tuzo walianzisha watu watatu lakini waliamua kumuachia James sababu hawakutaka hiyo spotlight,
Sijui lina ukweli kiasi gani labda wakongwe mseme, maana wengine hizo 1990's tulikuwa tunakunywa uji wa ulezi [emoji16][emoji16]
Yule mke wake yupo wapi alikuwa kisu balaa?[][emoji1787][emoji1787]
Mbona inasemekana alikuwa chicha wakati wa ajaliInasemekana Sir Nature ndo alienda kwa maustaadhi wakapiga dua nzito na ndumba ili kulipa kisasi baada ya Dandu kumchukua Sinta
AiseeKulikuwa na rumours kuwa Juma Nature ndio alisababisha ile ajali baada ya kugundua Dandu alimmega Sinta wakati wanafanya shooting ya wimbo wa Dandu
Umezaliwa mwaka gani..?dandu ndio nani na ana mchango gani?