Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Usiku wa leo, Katika dimba la Maracana pale Brazil, kutapigwa mchezo wa kukata na shoka kati ya Argentina Vs Brazil kuanzia saa 9:00 Usiku kwa masaa ya Afrika Mashariki.
Mara ya mwisho Argentina kutwaa ubingwa huo ni mwaka 1993 wakati Brazil ni bingwa mtetezi.
Brazil imeandaa michuano hiyo mara 5 na imefanikiwa kushinda mara zote 5 iliyoandaa.
Lionel Adreas Messi, nahodha wa Argentina, Mchezaji bora kabisa katika michuano hii, je ataweza kuiongoza Argentina kutwaa michuano hii? Ikumbukwe katika mechi zote walizocheza katika michuano hii, Messi amefunga au kutoa assist katika kila mechi.
Hii ni nafasi ya mwisho kwa Lionel Messi kuweza kutwaa ndoo akiwa na Argentina, je ataweza? Tusubirie tuone.
NB:
Fuatilia mechi hii kupitia Hesgoal.com
Muda ni saa 9:00 Usiku
Tukutane hap muda huo...
Mara ya mwisho Argentina kutwaa ubingwa huo ni mwaka 1993 wakati Brazil ni bingwa mtetezi.
Brazil imeandaa michuano hiyo mara 5 na imefanikiwa kushinda mara zote 5 iliyoandaa.
Lionel Adreas Messi, nahodha wa Argentina, Mchezaji bora kabisa katika michuano hii, je ataweza kuiongoza Argentina kutwaa michuano hii? Ikumbukwe katika mechi zote walizocheza katika michuano hii, Messi amefunga au kutoa assist katika kila mechi.
Hii ni nafasi ya mwisho kwa Lionel Messi kuweza kutwaa ndoo akiwa na Argentina, je ataweza? Tusubirie tuone.
NB:
Fuatilia mechi hii kupitia Hesgoal.com
Muda ni saa 9:00 Usiku
Tukutane hap muda huo...