Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Copa America inaanza tarehe 20 June na kutamatika July 14.
Moja ya mashindano kongwe kabisa yakianza 1916
Mataifa 16 yatakiwasha kumpata mbabe kwa mwaka huu wa 2024.
argentina na Uruguay ndiyo nchi zilizobeba ubingwa huu mara nyingi zaidi, 15 kwa kila mmoja
Brazil wao wakibeba mara 9 tu.
Mechi zitapigwa katika viwanja 14 miji tofauti ndani ya USA.
Mechi ya ufunguzi ikianza kati ya Argentina dhidi ya Canada saa 9 usiku/ ukwiri😀
Muda wa mechi nyingi utakuwa ni saa 7 usiku na saa 10 usiku/alfajiri/ukwiri.
Yaan ni mechi ya mida ya wanga ila tutapeana yatakayojiri.
Moja ya mashindano kongwe kabisa yakianza 1916
Mataifa 16 yatakiwasha kumpata mbabe kwa mwaka huu wa 2024.
argentina na Uruguay ndiyo nchi zilizobeba ubingwa huu mara nyingi zaidi, 15 kwa kila mmoja
Brazil wao wakibeba mara 9 tu.
Mechi zitapigwa katika viwanja 14 miji tofauti ndani ya USA.
Mechi ya ufunguzi ikianza kati ya Argentina dhidi ya Canada saa 9 usiku/ ukwiri😀
Muda wa mechi nyingi utakuwa ni saa 7 usiku na saa 10 usiku/alfajiri/ukwiri.
Yaan ni mechi ya mida ya wanga ila tutapeana yatakayojiri.