kwa messi ntakujibu kiufupi! Messi ni greatest player of all time kuwahi kutokea, sasa usitegemee mabeki watamwacha alone muda wote never, chunguza mechi kubwa kubwa kwa miaka ya hivi karibuni to now utaona kazungukwa na mabeki wangapi,ni wengi!, messi asipowepo uwanjani hakiharibiki kitu na timu nzima itacheza vizuri kama kawaida yao..kwa namna nyingine akiwepo atazidisha mashambulizi zaidi na kuscore, na hata ukifuatilia timu ambazo amekutana nazo GERMANY,SPAIN,BRAZIL,PARAGUAY,SWITZEALAND NK..Utaona alivyowanyanyasa mabeki wanaojulikana
Kuhusu Angel Di Maria ni bonge la mchezaji nakubaliana na wewe 100%..hata Neimar mwenyewe hafiki hata robo kwa huyu jamaa, nilitamani sana wakati yupo man u wamnunue pale baserona yaani angewafaa sana kuliko neimar kazi yake kuruka ruka tu na kujiangusha pasipo na sababu,Dybala pia anafaa lkn hawakumpanga ktk kikosi na hata mechi za nyuma hakuwepo lkn ni striker hatari sana.Argentina ina majembe bwana sio mchezo, hata timu yenyewe inacheza kitimu basi tu except kocha ndiye anatuangusha mkuu, ni heri tukapata new kocha..huyu hatufai kabisa. Argentina sio timu ya kukosa makombe ya dunia miaka yote hii since 1986, hili ni tatizo la makocha tu.hata 2010 maradona alijiamini akasema watafanya mashambulizi zaidi ya difence, wakapigwa 4 na mjerumani.