CORD Raises Credibility Concerns Of Results Being Released.

IEBC mnarudisha nyuma demokrasia East Africa, Pamoja na maandalizi yote yale achia mbali tume kuwa huru lakini bado matatizo yaleyale! Aisee zoezi la kura lilikamilika Jumatatu leo Alhamisi hata kura millioni kumi hazijahesabiwa. Shame on you!
 

Soma hapa chini... Uhuru Kenyatta pia amelalamika...

As the vote counting in Kenya enters a third day, and a run-off begins to look more likely, Uhuru Kenyatta's party has reportedly lashed out at the British High Commissioner.


Source: http://african.howzit.msn.com/kenya-awaits-election-results

Kenya Awaits Election Results - Howzit MSN Africa

 
Chadema(Raila) V/S UHURU(CCM) kama kawa kama dawa 2015
 
Mara ya kwanza walisema tatizo ni safaricom kudoctor the results. Sasa katika hii manula work wanamlaumu nani?

Uhuru Kenyatta akishindwa ataulaumu ubalozi wa Uingereza...

As the vote counting in Kenya enters a third day, and a run-off begins to look more likely, Uhuru Kenyatta's party has reportedly lashed out at the British High Commissioner.


Source: http://african.howzit.msn.com/kenya-awaits-election-results

Kenya Awaits Election Results - Howzit MSN Africa

 
Waswahili walinena kuwa....'mfa maji haishi kutapatapa'
Daima nitadumisha semi hizi za waswahili.


.......

Mfano halisi ni huu hapa...

As the vote counting in Kenya enters a third day, and a run-off begins to look more likely, Uhuru Kenyatta's party has reportedly lashed out at the British High Commissioner.


Source: http://african.howzit.msn.com/kenya-awaits-election-results

Kenya Awaits Election Results - Howzit MSN Africa
 
Wale wapinzani wao ni MAFIA hatari.Najua pamoja na ujanja wa Odinga lakini lazima watamchakachua tu
 
Delaying the results is always the sign of manipulations, whats so ever
 
Tatizo la Raila anafikiri alizaliwa awe rais wa Kenya. Zitokea fujo this time ndiye atakuwa amesababisha.

lakini wana hoja maana haiwezekani mtu kituo umepiga kura wewe na familia yako lakini matokeo ni zero, ina maan hata wewe mwenyewe hujajipigia?
 
Anaeweza kukataa ushindi wa Uhuru basi hajui takwimu na hajui stronghold za wagombea hao wawili.
Ushindi kwa Uhuru ulikuwa wazi sana


Watu wanaibuka wanaanza kusema bila hata utafiti wowote, UHURUTO kwenye ngome zao(central and Rift valley) kuna karibu 45% ya wapiga kura wote na ndo wahanga wa the hague(Angalia F. Muthaura, Uhuru, Ruto, Arap Sang & Kosgey). Maeneo hayo tu ukiongeza na maeneo mengine inatosha kumpa Uhuru ushindi ukizingatia kua kura zinapigwa kikabila.
 
Tatizo la Raila anafikiri alizaliwa awe rais wa Kenya. Zitokea fujo this time ndiye atakuwa amesababisha.
yaani tangu niko kindagateni namsikia tu raila raila hivi hawa watu hawachoki kugombea wakapumzika.

Nakumbuka alivyoparangana mpaka akaupata Uwaziri Mkuu kw mbinde.
 
Is it true that apart from the Kenyans understood of International Issues they can opt to vote for Uhuru Kenyatta as their favourite in the Presidential post while knowing that he is facing International criminal charges in the Hague?.Let we think twice when discussing 04/03 Kenya Polling results.
 


Akina Stephen Kalonzo Msyoka wanajua wazi kua wameshatanguliza pua sasa wanataka kuwachanganya wakenya. Walianza kulalamikia Teknologia tume ikaamua kutumia mikono kuhesabu kura. Kama kura zingekua zinaibiwa nadhani Kibaki angahakikisha anachakachua za Mwakilishi wa Othaya aliyemfukuza kwenye msafara wake na akashiliki kumnadi mpinzani wake.
 
yaani tangu niko kindagateni namsikia tu raila raila hivi hawa watu hawachoki kugombea wakapumzika.

Nakumbuka alivyoparangana mpaka akaupata Uwaziri Mkuu kw mbinde.
To cut it short, the Kenyans have spoken. Everyone including Raila should respect their voice. Aache kulialia kila anaposhindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…