Chezea Uhuru Kenyatta! Raila anasema CORD inajipanga kwenda. MahakamanI! Raila sasa amekua Raia! Wazee wa Chadema Mpooooooo???? Aibu yenu hiyo! Kenyans has decided!
Hivi CHADEMA wanaingiaje katika hili? Toka juzi naona hii commentary..........somebody help me please!
Hivi CHADEMA wanaingiaje katika hili? Toka juzi naona hii commentary..........somebody help me please!
Akiongea na waandishi wa habari mgombea mwenza wa urais wa muungano wa CORD nchini Kenya Kalonzo Musyoka amedai kuwa wanaoushaidi kuwa wameibiwa kura.Kalonzo ambaye alikuwa makamo wa pili wa rais ktk serIkal iliyomaliza muda wake .
CHANZO: DW
These fellows, CORD, are given to blatant lying. two weeks ago, the accused senior civil servants of political bias. terming normal administrative meeting, political meetings. The Police investigated and found the said reports to be false. Even the IEBc has warned CORD that they risk being prosecuted by the said senior civil servants.
Waswahili walinena kuwa....'mfa maji haishi kutapatapa'
Daima nitadumisha semi hizi za waswahili.
Its amazing! Five days to count 10m votes????? Shame
NEW DEVELOPMENT FROM KENYA ELECTION
''Raila Odinga's CORD says it will take legal action if dissatisfied with the presidential results.''
more than a shame, kumbe hata katiba mpya bila kuwa na watu ambao wanajitolea kutenda haki hakuna kitu aisee.