CORD wafanya mkutano Uhuru Park kumchagua Raila Odinga na Kalonzo Musyoka kama viongozi.

CORD wafanya mkutano Uhuru Park kumchagua Raila Odinga na Kalonzo Musyoka kama viongozi.

This time around, lazima itakula kwa Raila. Ruto is so strong, sio kama watu wanavyo m-fikiria. Kwenye kupitisha katiba almost alikuwa peke yake alikini alivuna kura za kotosha.

................he was trading himself, alikuwa akiwaonyesha nguvu ya block yake ! .........Augustino Mrema alikuwa akiita "mtaji"
 
................he was trading himself, alikuwa akiwaonyesha nguvu ya block yake ! .........Augustino Mrema alikuwa akiita "mtaji"

Ndiyo hapo, ukijumlisha block ya uhuru na block ya Balala pwani, nafikiri lazima ile kwa Raila.
 
Back
Top Bottom