Corneille Nangaa Kiongozi Mkuu vikundi vya waasi DR Congo asema shetani aliyemtengeneza mwenyewe amemgeuka na sasa anakwenda kumuondoa pale Kinshasa

Corneille Nangaa Kiongozi Mkuu vikundi vya waasi DR Congo asema shetani aliyemtengeneza mwenyewe amemgeuka na sasa anakwenda kumuondoa pale Kinshasa

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?
nangaa.jpg

Siyo Mimi ni maneno ya Kiongozi Mkuu waasi congo kamanda nangaa alihojiwa karibuni

Anasema kuwa malengo yao ya kivita yatatimia kwa kuitwaa kishansha na kuwa wamejiandaa kikamilifu

Kwamba Dr congo ni failed state haitawaliki na taasisi zote za kiutawala, kijeshi, kipolisi na Usalama zimekufa ndiyo maana mataifa mbalimbali yamepeleka majeshi yao huko

Anafahamu kila kinachoendelea kama anavyomfahamu rafikiye wa zamani ambaye anadai alishiriki.kumuweka madarakani

Kwakuwa alimuumba shetani huyo yeye mwenyewe basi ameamua kwenda kumng'oa kwenye kiti cha enzi alichomuweka

Muwe na sabato njema
 
Wadau hamjamboni nyote?

Siyo Mimi ni maneno ya Kiongozi Mkuu waasi congo kamanda nangaa alihojiwa karibuni

Anasema kuwa malengo yao ya kivita yatatimia kwa kuitwaa kishansha na kuwa wamejiandaa kikamilifu

Kwamba Dr congo ni failed state haitawaliki na taasisi zote za kiutawala, kijeshi, kipolisi na Usalama zimekufa ndiyo maana mataifa mbalimbali yamepeleka majeshi yao huko

Anafahamu kila kinachoendelea kama anavyomfahamu rafikiye wa zamani ambaye anadai alishiriki.kumuweka madarakani

Kwakuwa alimuumba shetani huyo yeye mwenyewe basi ameamua kwenda kumng'oa kwenye kiti cha enzi alichomuweka

Muwe na sabato njema

Kwa kuwa Utawala wa DRC ni dhaifu Sana kupita kiasi Basi hili linawezekana
 
Felix hakumuchonga Nanga, Nanga alikuwa kiongozi wa tume huruma ya uchaguzi ambayo Felix hakuwahi kuiteua maana alikuwa Bado hajawa Rais na Joseph Kabila ndiyo amefanya kazi muda mrefu na Nanga ila siyo Felix. Tshekedi ndiyo alishuhudia Nanga akijihuzuru nyazifa zake na kujiunga na wafuasi.
 
Hivi huyu Nàngaa ni Mcongo Man halisi, ama ndo wale Watutsi...!?
 
Hivi huyu Nàngaa ni Mcongo Man halisi, ama ndo wale Watutsi...!?
Ukimuangalia haendani na Watusi, lakini lazima anatokea huko huko Mashariki ndio maana alipoenda akawa na kiongozi kabisa.
 
Atakatwa kichwa huyu bwege [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukimuangalia haendani na Watusi, lakini lazima anatokea huko huko Mashariki ndio maana alipoenda akawa na kiongozi kabisa.
Watutsi wanawatumia Wacongoman wenyewe kuharibu Nchi Yao....!

Mtu kama huyu ndo akashika Nchi anakua Kibaraka wa Kagame.
 
Back
Top Bottom