#COVID19 Corona bado inafikirisha sana

#COVID19 Corona bado inafikirisha sana

Leverage

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
2,125
Reaction score
3,150
Moja kwa moja kwenye mada. Kwanini wanamichezo hasa wachezaji mpira, riadha n.k hawasumbuliwi na Covid -19?

Wengi wamekutwa na virusi lakini hawalazwi wanaendelea na mazoezi au kucheza mechi pia kama vile hawana chochote kwenye miili yao.

Wengi pia hupona bila kutumia dawa yoyote maana hawaoneshi dalili yoyote.

Hoja yangu:

1. COVID-19 inaweza kuondoka kwa mazoezi tu? Mazoezi yanaweza kuondoa virusi kwenye mapafu?
Mbona HIV hawaondoki kwa mazoezi?

2. Nahisi kuna vitu vingi vinapindishwa kuhusu huu ugonjwa na wataalamu wetu hawataki kujisumbua kutafuta majibu ya kina.

Tunahitaji ukweli na taarifa zaidi kuhusu COVID-19 kuliko propaganda.
 
Hapo ndio umefikia mwisho wa kufikiri!? [emoji3]
 
Hapo ndio umefikia mwisho wa kufikiri!?
emoji3.png

Hapo ndio umefikia mwisho wa kufikiri!? [emoji3]
Unafahamu mchezaji yeyote kuanzia wa ndondo hadi wa kimataifa aliyekufa kwa Covid?
 
Moja kwa moja kwenye mada. Kwanini wanamichezo hasa wachezaji mpira, riadha n.k hawasumbuliwi na Covid -19?

Wengi wamekutwa na virusi lakini hawalazwi wanaendelea na mazoezi au kucheza mechi pia kama vile hawana chochote kwenye miili yao.

Wengi pia hupona bila kutumia dawa yoyote maana hawaoneshi dalili yoyote.

Hoja yangu:

1. COVID-19 inaweza kuondoka kwa mazoezi tu? Mazoezi yanaweza kuondoa virusi kwenye mapafu?
Mbona HIV hawaondoki kwa mazoezi?

2. Nahisi kuna vitu vingi vinapindishwa kuhusu huu ugonjwa na wataalamu wetu hawataki kujisumbua kutafuta majibu ya kina.

Tunahitaji ukweli na taarifa zaidi kuhusu COVID-19 kuliko propaganda.
It's a newer/recent disease. More and More research is still needed.
 
Moja kwa moja kwenye mada. Kwanini wanamichezo hasa wachezaji mpira, riadha n.k hawasumbuliwi na Covid -19?

Wengi wamekutwa na virusi lakini hawalazwi wanaendelea na mazoezi au kucheza mechi pia kama vile hawana chochote kwenye miili yao.

Wengi pia hupona bila kutumia dawa yoyote maana hawaoneshi dalili yoyote.

Hoja yangu:

1. COVID-19 inaweza kuondoka kwa mazoezi tu? Mazoezi yanaweza kuondoa virusi kwenye mapafu?
Mbona HIV hawaondoki kwa mazoezi?

2. Nahisi kuna vitu vingi vinapindishwa kuhusu huu ugonjwa na wataalamu wetu hawataki kujisumbua kutafuta majibu ya kina.

Tunahitaji ukweli na taarifa zaidi kuhusu COVID-19 kuliko propaganda.

Mkuu hata machangudoa hakuna anayesumbuliwa na Corona.

Hali ni hivyo hivyo kwa ma beki 3, michepuko, vichaa, vibaka, wezi, majambazi, wafungwa, mahabusu, wachimba chumvi, mabaa medi nk.

Kwani wewe hujui kwanini takwimu zinafichwa?

Lengo ni kukupa maswali kama yako ili kufungua mlango wa siasa badala ya facts.
 
It's a newer/recent disease. More and More research is still needed.
Sijui kwanini tumekimbilia kwenye chanjo kama mtu akichanja bado ana uwezo wa kuambukiza na kuambukizwa Covid 19.
Kuna mengi hatuyajui au yamefichwa kwa makusudi.
 
Mkuu hata machangudoa hakuna anayesumbuliwa na Corona.

Hali ni hivyo hivyo kwa ma beki 3, michepuko, vichaa, vibaka, wezi, majambazi, wafungwa, mahabusu, wachimba chumvi, mabaa medi nk.

Kwani wewe hujui kwanini takwimu zinafichwa?

Lengo ni kukupa maswali kama yako ili kufungua mlango wa siasa badala ya facts.
Mtu mwenye Covid ila haonyeshi dalili hupewa tiba gani?
 
Mtu mwenye Covid ila haonyeshi dalili hupewa tiba gani?

Mtu mwenye covid ila haonyeshi, bado huambukiza. Wakiambukizwa walio hatarini zaidi ndiyo yanapotukuta ya kupoteza watu.

Usisahau kuwa kirusi kikiachwa kupuyanga kitakavyo kinabadilika. Delta kinaathiri hata waliokuwa hawaathiriki na vile vya mwanzo.

Suala la Corona, Chanjo na tahadhari zake ni la kitalaamu zaidi. Kwa nini hatuzungumzii ujenzi wa maghorofa, kurusha madege angani au kusaka madini ardhini?

Kila mtu amekuwa fundi au researcher wa Corona?

Nisiache kukumbusha:

"Mbona umeyakwepa yale ya machangudoa, vibaka, majambazi, wanywa gongo, wavuta bangi, mafundi saa, mafundi makoroboi, wapika gongo nk, kutosikika kuathirika na Corona?"

Au lengo ni lile lile la kudanganya watu kama watoto wadogo tu, kuwa karibu chanjo ya Corona kutoka Tanzania inakuwa tayari?

Kwani tunaweza kutengeneza hata sindano ya kushonea nguo tu?

#COVID19 - Chanjo isiwe Siasa, Vigezo na Masharti vizingatiwe

Ya nini kufanyia siasa ugonjwa huu?
 
Moja kwa moja kwenye mada. Kwanini wanamichezo hasa wachezaji mpira, riadha n.k hawasumbuliwi na Covid -19?

Wengi wamekutwa na virusi lakini hawalazwi wanaendelea na mazoezi au kucheza mechi pia kama vile hawana chochote kwenye miili yao.

Wengi pia hupona bila kutumia dawa yoyote maana hawaoneshi dalili yoyote.

Hoja yangu:

1. COVID-19 inaweza kuondoka kwa mazoezi tu? Mazoezi yanaweza kuondoa virusi kwenye mapafu?
Mbona HIV hawaondoki kwa mazoezi?

2. Nahisi kuna vitu vingi vinapindishwa kuhusu huu ugonjwa na wataalamu wetu hawataki kujisumbua kutafuta majibu ya kina.

Tunahitaji ukweli na taarifa zaidi kuhusu COVID-19 kuliko propaganda.
wanachama watakuambia "kachanje"
 
Mtu mwenye covid ila haonyeshi, bado huambukiza. Wakiambukizwa walio hatarini zaidi ndiyo yanapotukuta ya kupoteza watu.

Usisahau kuwa kirusi kikiachwa kupuyanga kitakavyo kinabadilika. Delta kinaathiri hata waliokuwa hawaathiriki na vile vya mwanzo.

Suala la Corona, Chanjo na tahadhari zake ni la kitalaamu zaidi. Kwa nini hatuzungumzii ujenzi wa maghorofa au kurusha madege angani au kusaka madini ardhini?

Kila mtu amekuwa fundi au researcher wa Corona?

Nisiache kukumbusha:

"Mbona umeyakwepa yale ya machangudoa, vibaka, majambazi, wanywa gongo, wavuta bangi, madini saa, madini makoroboi, wapikama uongo nk kutosikika kuathirika na Corona?"

Au lengo ni lile lile la kudanganya watu kama watoto wadogo tu, kuwa karibu chanjo ya Corona kutoka Tanzania inakuwa tayari?

Kwani tunaweza kutengeneza hata sindano ya kushonea nguo tu?

#COVID19 - Chanjo isiwe Siasa, Vigezo na Masharti vizingatiwe

Ya nini kufanyia siasa ugonjwa huu?
Sijakwepa swali lolote.
Hapo tunaenda sawa. Kama unavyosema wewe ndio hivyo basi ilitakiwa kabla ya kuchanjwa watu wapimwe kinga/immunity yao kisha wenye uhitaji wachanjwe na wenye kinga ya kutosha waachwe.
 
Sijakwepa swali lolote.
Hapo tunaenda sawa. Kama unavyosema wewe ndio hivyo basi ilitakiwa kabla ya kuchanjwa watu wapimwe kinga/immunity yao kisha wenye uhitaji wachanjwe na wenye kinga ya kutosha waachwe.

Ni hivi:

1. Suala zima la Corona na tahadhari zake zikiwamo chanjo ni suala la kitaaluma sana kitu ambacho ni muhimu sana kukizingatia.
2. Vipimo vinavyotakiwa kabla ya kuchanjwa havina maana ya kupima immunity au kinga ya mtu kama unavyotaka kudhani wewe.
3. Kumbuka hayupo mwenye kinga wala immunity dhidi ya Corona kabla ya kuchanjwa.
4. Hudhani kuwa mambo haya ya kitalaamu wangeachiwa wataalamu kushauri badala ya kuyafanyia siasa?
5. Kumbuka kufanya siasa ni kujaribu kuingiza porojo zozote kwenye suala ambalo hauna ufahamu nalo wa kutosha.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Moja kwa moja kwenye mada. Kwanini wanamichezo hasa wachezaji mpira, riadha n.k hawasumbuliwi na Covid -19?

Wengi wamekutwa na virusi lakini hawalazwi wanaendelea na mazoezi au kucheza mechi pia kama vile hawana chochote kwenye miili yao.

Wengi pia hupona bila kutumia dawa yoyote maana hawaoneshi dalili yoyote.

Hoja yangu:

1. COVID-19 inaweza kuondoka kwa mazoezi tu? Mazoezi yanaweza kuondoa virusi kwenye mapafu?
Mbona HIV hawaondoki kwa mazoezi?

2. Nahisi kuna vitu vingi vinapindishwa kuhusu huu ugonjwa na wataalamu wetu hawataki kujisumbua kutafuta majibu ya kina.

Tunahitaji ukweli na taarifa zaidi kuhusu COVID-19 kuliko propaganda.
Wewe, korona ni propaganda......ni mradi wa mabeberu kupitia makampuni yao ya madawa kupiga hela...
 
Moja kwa moja kwenye mada. Kwanini wanamichezo hasa wachezaji mpira, riadha n.k hawasumbuliwi na Covid -19?

Wengi wamekutwa na virusi lakini hawalazwi wanaendelea na mazoezi au kucheza mechi pia kama vile hawana chochote kwenye miili yao.

Wengi pia hupona bila kutumia dawa yoyote maana hawaoneshi dalili yoyote.

Hoja yangu:

1. COVID-19 inaweza kuondoka kwa mazoezi tu? Mazoezi yanaweza kuondoa virusi kwenye mapafu?
Mbona HIV hawaondoki kwa mazoezi?

2. Nahisi kuna vitu vingi vinapindishwa kuhusu huu ugonjwa na wataalamu wetu hawataki kujisumbua kutafuta majibu ya kina.

Tunahitaji ukweli na taarifa zaidi kuhusu COVID-19 kuliko propaganda.
Hao wanamichezo unaowa refer wana umri wa miaka mingapi? na katika watu wote uliowahi kusikia wamelazwa au wamekufa kwa Covid wana umri wa miaka mingapi? Ukiweza kupata majibu halisi kwenye haya maswali, utakua umepata na jibu la swali lako!
 
Ni hivi:

1. Suala zima la Corona na tahadhari zake zikiwamo chanjo ni suala la kitaaluma sana kitu ambacho ni muhimu sana kukizingatia.
2. Vipimo vinavyotakiwa kabla ya kuchanjwa havina maana ya kupima immunity au kinga ya mtu kama unavyotaka kudhani wewe.
3. Kumbuka hayupo mwenye kinga wala immunity dhidi ya Corona kabla ya kuchanjwa.
4. Hudhani kuwa mambo haya ya kitalaamu wangeachiwa wataalamu kushauri badala ya kuyafanyia siasa?
5. Kumbuka kufanya siasa ni kujaribu kuingiza porojo zozote kwenye suala ambalo hauna ufahamu nalo wa kutosha.

Au nasema uongo ndugu yangu?
Kuna watu wanapata virusi na kupona bila dawa yeyote halafu wewe unasema hakuna mwenye kinga ya Corona.
Acha kujibu kisiasa
 
Back
Top Bottom