Moja kwa moja kwenye mada. Kwanini wanamichezo hasa wachezaji mpira, riadha n.k hawasumbuliwi na Covid -19?
Wengi wamekutwa na virusi lakini hawalazwi wanaendelea na mazoezi au kucheza mechi pia kama vile hawana chochote kwenye miili yao.
Wengi pia hupona bila kutumia dawa yoyote maana hawaoneshi dalili yoyote.
Hoja yangu:
1. COVID-19 inaweza kuondoka kwa mazoezi tu? Mazoezi yanaweza kuondoa virusi kwenye mapafu?
Mbona HIV hawaondoki kwa mazoezi?
2. Nahisi kuna vitu vingi vinapindishwa kuhusu huu ugonjwa na wataalamu wetu hawataki kujisumbua kutafuta majibu ya kina.
Tunahitaji ukweli na taarifa zaidi kuhusu COVID-19 kuliko propaganda.
Wengi wamekutwa na virusi lakini hawalazwi wanaendelea na mazoezi au kucheza mechi pia kama vile hawana chochote kwenye miili yao.
Wengi pia hupona bila kutumia dawa yoyote maana hawaoneshi dalili yoyote.
Hoja yangu:
1. COVID-19 inaweza kuondoka kwa mazoezi tu? Mazoezi yanaweza kuondoa virusi kwenye mapafu?
Mbona HIV hawaondoki kwa mazoezi?
2. Nahisi kuna vitu vingi vinapindishwa kuhusu huu ugonjwa na wataalamu wetu hawataki kujisumbua kutafuta majibu ya kina.
Tunahitaji ukweli na taarifa zaidi kuhusu COVID-19 kuliko propaganda.