Corona: Dar kama Dubai vile tunaelekea kubaya zaidi

Corona: Dar kama Dubai vile tunaelekea kubaya zaidi

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Moja kwa moja kwenye mada. Itifaki yote imezingatiwa.

Nchi nyingi duniani zilipokea wagonjwa wa mwanzo wa Corona tokea Dubai. UAE wenyewe walikuwa na wameendelea kuwa wagumu kukubali kiwango cha maambukizi nchini mwao.

Dar tumekuwa kama Dubai tu kila anayetoka kwetu ana Corona. No wonder hata mbuzi na kondoo wetu hawawezi kukosa Corona. Hatimaye tumekuwa epicenter ya hilo dubwana.

Tunapowaunga mkono wabunge wetu shupavu hawa bila kujali vyama vyao:

"People are Dying, Give us the Actual COVID-19 Report" MP Dares Magufuli

ipo haja ya kukabiliana na merchant mwenyewe wa vifo vitokanavyo na ugonjwa huu.

Kwa hakika hawa wengine wanatetea matumbo yao tu. Mwenye lake jambo yuko vijijini kajituliza kikasuku.
 
Serikali yetu ina visingizio vya kizamani!
Eti imeshindwa kutoa taarifa sahihi za vifo, maambukizi na hata waliopona kama hapo mwanzo, kisa wanafanya marekebisho kwenye maabara yao iliyotoa majibu ya positive mpaka kwenye sampuli zisizo eleweka!!
 
Moja kwa moja kwenye mada. Itifaki yote imezingatiwa.

Nchi nyingi duniani zilipokea wagonjwa wa mwanzo wa Corona tokea Dubai. UAE wenyewe walikuwa na wameendelea kuwa wagumu kukubali kiwango cha maambukizi nchini mwao.

Dar tumekuwa kama Dubai tu kila anayetoka kwetu ana Corona. No wonder hata mbuzi na kondoo wetu hawawezi kukosa Corona. Hatimaye tumekuwa epicenter ya hilo dubwana.

Tunapowaunga mkono wabunge wetu shupavu hawa bila kujali vyama vyao:

"People are Dying, Give us the Actual COVID-19 Report" MP Dares Magufuli

ipo haja ya kukabiliana na merchant mwenyewe wa vifo vitokanavyo na ugonjwa huu.

Kwa hakika hawa wengine wanatetea matumbo yao tu. Mwenye lake jambo yuko vijijini kajituliza kikasuku.

Akili nyingine sijui zimelogwa!!!
Yaani Corona itatokomea nchini pale serikali itakapotoa data za waathirika na vifo?????
 
Ungefungua UZI tu kumhusu Magufuri!! tukaelewa
 
Serikali yetu ina visingizio vya kizamani!
Eti imeshindwa kutoa taarifa sahihi za vifo, maambukizi na hata waliopona kama hapo mwanzo, kisa wanafanya marekebisho kwenye maabara yao iliyotoa majibu ya positive mpaka kwenye sampuli zisizo eleweka!!

Maisha ya watu kwao hayana thamani. "Watu wa ajabu kabisa".

Walianza na ugonjwa wa wazungu, ugonjwa wa nchi za baridi, kaupepo katapita, mwisho mbuzi, kondoo, oil nk.

Hata aibu hakuna!
 
Moja kwa moja kwenye mada. Itifaki yote imezingatiwa.

Nchi nyingi duniani zilipokea wagonjwa wa mwanzo wa Corona tokea Dubai. UAE wenyewe walikuwa na wameendelea kuwa wagumu kukubali kiwango cha maambukizi nchini mwao.

Dar tumekuwa kama Dubai tu kila anayetoka kwetu ana Corona. No wonder hata mbuzi na kondoo wetu hawawezi kukosa Corona. Hatimaye tumekuwa epicenter ya hilo dubwana.

Tunapowaunga mkono wabunge wetu shupavu hawa bila kujali vyama vyao:

"People are Dying, Give us the Actual COVID-19 Report" MP Dares Magufuli

ipo haja ya kukabiliana na merchant mwenyewe wa vifo vitokanavyo na ugonjwa huu.

Kwa hakika hawa wengine wanatetea matumbo yao tu. Mwenye lake jambo yuko vijijini kajituliza kikasuku.
Tupe takwimu mkuu ya maambukizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupe takwimu mkuu ya maambukizi

Sent using Jamii Forums mobile app

Tokea Apr 29

Maambukizi mapya 0
Vifo 0
Wagonjwa hospitalini 0
Wanaofuatiliwa 0
Quarantine 0

Corona State.jpg


Tokea Namanga, Horohoro, Mutukula, Rusumo, na Nakonde hizo asiye na macho haambiwi tazama.
 
Akili nyingine sijui zimelogwa!!!
Yaani Corona itatokomea nchini pale serikali itakapotoa data za waathirika na vifo?????

Kwa akili yako takwimu za kweli zikiwapo Corona itaongezeka. Hongera Mwi**lu ndiyo maana uwaziri umeufuma.

Hiii bagosha!
 
Tokea Apr 29

Maambukizi mapya 0
Vifo 0
Wagonjwa hospitalini 0
Wanaofuatiliwa 0
Quarantine 0

View attachment 1450943

Tokea Namanga, Horohoro, Mutukula, Rusumo, na Nakonde hizo asiye na macho haambiwi tazama.
Kwani mnatakaje? Lockdown, vifo
vitangazwe vingi? Watu wapone wengi au watu wote wapimwe,mipaka ifungwe,maana inabidi mzee Magu achanganyikiwe hajui aanze na lipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana yeyote anayejudge na ku reason kwa mihemko ya kisiasa namuona takataka tu
Moja kwa moja kwenye mada. Itifaki yote imezingatiwa.

Nchi nyingi duniani zilipokea wagonjwa wa mwanzo wa Corona tokea Dubai. UAE wenyewe walikuwa na wameendelea kuwa wagumu kukubali kiwango cha maambukizi nchini mwao.

Dar tumekuwa kama Dubai tu kila anayetoka kwetu ana Corona. No wonder hata mbuzi na kondoo wetu hawawezi kukosa Corona. Hatimaye tumekuwa epicenter ya hilo dubwana.

Tunapowaunga mkono wabunge wetu shupavu hawa bila kujali vyama vyao:

"People are Dying, Give us the Actual COVID-19 Report" MP Dares Magufuli

ipo haja ya kukabiliana na merchant mwenyewe wa vifo vitokanavyo na ugonjwa huu.

Kwa hakika hawa wengine wanatetea matumbo yao tu. Mwenye lake jambo yuko vijijini kajituliza kikasuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali yetu ina visingizio vya kizamani!
Eti imeshindwa kutoa taarifa sahihi za vifo, maambukizi na hata waliopona kama hapo mwanzo, kisa wanafanya marekebisho kwenye maabara yao iliyotoa majibu ya positive mpaka kwenye sampuli zisizo eleweka!!
Nchi yetu imekua ya uhakiki endelevu wa kila kitu tangu 2016, kuanzia ajira, mishahara, wafanyakazi hewa, kodi, vyama vya wakulima, mifugo, madeni, korosho, Ufuta mpka sasa tupo kwenye uhakiki wa vipimo vya corona. Na hatutapata majawabu nakwambia. Korosho mpka leo wengine hawajalipwa mwezi ulopita mwanzoni walirejeshewa korosho na wanadaiwa gharama za utunzaji stoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunavyojikinga na Corona, tungekuwa tunajikinga na Magonjwa mengine kama Ukimwi,Malaria n.k, Hii Tz ingekuwa zaidi ya mataifa unayoyasifia wewe msoma comment. am out.
 
Back
Top Bottom