Hii ni habari njema kwamba kumbe palipo na jitihada kubwa, hali inaweza kutengamaa. Nani hakuyasikia ya Italy, Spain nk?
edition.cnn.com
Ni wazi kuwa mpambano haukuwa bure, maisha yameokolewa na matumaini sasa yanasoma.
Mataifa mengine 11 wakiwamo Rwanda, rasmi sasa wanaweza kujivinjari back and forth EU kwa raha zao.
Bila shaka matokeo chanya ya matumizi ya chanjo.
Tunacho cha kujifunza hasa kutokea kwa huyu mwenzetu ndani ya EA.
"Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako. Ukitaka kwenda mbali, nenda na wenzako." -- Samia Suluhu.
Penye nia pana njia.
Travel news: EU to welcome US tourists, New York and California reopen
Check out CNN's latest weekly news update on pandemic travel. California and New York are open for business, while the EU is set to lift restrictions for 14 countries, including the United States.
edition.cnn.com
Ni wazi kuwa mpambano haukuwa bure, maisha yameokolewa na matumaini sasa yanasoma.
Mataifa mengine 11 wakiwamo Rwanda, rasmi sasa wanaweza kujivinjari back and forth EU kwa raha zao.
Bila shaka matokeo chanya ya matumizi ya chanjo.
Tunacho cha kujifunza hasa kutokea kwa huyu mwenzetu ndani ya EA.
"Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako. Ukitaka kwenda mbali, nenda na wenzako." -- Samia Suluhu.
Penye nia pana njia.