King klax
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 4,307
- 2,754
Ndiyo uchumi gani huo?, kama mnaubavu jengeni nchi nzima ndiyo mtakuwa na uchumi,, hela zenyewe si mmekopa!!Si huu wa Bwawa na SGR.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo uchumi gani huo?, kama mnaubavu jengeni nchi nzima ndiyo mtakuwa na uchumi,, hela zenyewe si mmekopa!!Si huu wa Bwawa na SGR.
Kuna jambo halitajwi kabisa, tabia ya watu kujichokonoachokonoa puani nayo si nzuri, mtu amepokea chenji dukani, kwenye daladala anaweka mfukoni anaanza kujichokonoa pua, tutasalimika kweli?Ndugu wananchi wenzangu napenda kuwaambia tu na huko mitandaoni kumejaa habari na jipya,jamaa amepata chanjo za dozi mbili kasafiri amerudi kupimwa ameoneka positive almanusura azimie....
Hatujaomba kumbe tumekopa?Ndiyo uchumi gani huo?, kama mnaubavu jengeni nchi nzima ndiyo mtakuwa na uchumi,, hela zenyewe si mmekopa!!
...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]...!!!Tahadhari ya kazi gani wakati Tanzania tunamtegemea Mungu?
Kwa uelewa wangu mbovu nnavyojua chanjo yoyote ni virus hivyo hivyo unachomwa lakini hivi vinakuwa weak kidogo.Ndugu wananchi wenzangu napenda kuwaambia tu na huko mitandaoni kumejaa habari na jipya,jamaa amepata chanjo za dozi mbili kasafiri amerudi kupimwa ameoneka positive almanusura azimie...
Mwambie Joni Chanjo haizuii kuambukizwa ila zinaufanya mwili kuwa uwezo wa kupambana na maambukizi. Kwa watakao nusurika awamu hii bila chanjo wajiandae kwa 3rd wave.Ndugu wananchi wenzangu napenda kuwaambia tu na huko mitandaoni kumejaa habari na jipya,jamaa amepata chanjo za dozi mbili kasafiri amerudi kupimwa ameoneka positive almanusura azimie...
Hii ni vita dhidi ya yale ma bombardier, ma SGR na ma stiggler's gorge yetu tu.Ndugu wananchi wenzangu napenda kuwaambia tu na huko mitandaoni kumejaa habari na jipya,jamaa amepata chanjo za dozi mbili kasafiri amerudi kupimwa ameoneka positive almanusura azimie...
Wewe na mzungu aliyegundua "ASTALEZIKA" nani zaidi? Yaani unataka kutuambia wazungu hawajafanyia huo utafiti? Inawezekana ukipata chanjo hata ukipata havina athari kwako ,ni sawa na kupata chanjo ya tetenus inamaanisha ukijichoma msumari wenye tetenus ndio haupati bacteria wa tetenus ingawa una chanjo? Think Big Mkuu.Ndugu wananchi wenzangu napenda kuwaambia tu na huko mitandaoni kumejaa habari na jipya,jamaa amepata chanjo za dozi mbili kasafiri amerudi kupimwa ameoneka positive almanusura azimie...