Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh and you are a Dr?! Kwamba wachague tu mimi Kariakoo mwingine Machi Machi guest house kinondoni sio?
Waliambiwa ukija huku unakaa karantini siku 14 kwa gharama zako. Wangebaki huko huko wangeokoa nauli yao na wangekaa hotel za $5
HIVI MPAKA HAPO SI AMESHAWAAMBUKIZA WATU KADHAA CORONA KAMA ANAYO? SERIKALI YA BASHITE NA MSHIKAJI WAKE HAIPO SERIOUSBaadhi ya Wasafiri waliofika Uwanja wa Ndege wa Dar na kutakiwa kujiweka Karantini kwa gharama zao wakilalamika kuwa wametakiwa kukaa hoteli zenye gharama
Wasafiri hao wameomba msaada kwa Mamlaka hususan Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kwani wametakiwa kukaa katika hoteli za Southern Sun, Rungwe, Dar Palace na Peacock Hotel
Wenzetu walikuwa wanaweka kwenye kambi za jeshi sbb zilikuwa ni bure nadhani,. Hizi za kwetu kwa gharama yao kwa hiyo sehemu muafaka ni hotelini so kambi ya jeshi. I stand to be corrected.
Hii ndio serikali ya wanyonge, Makonda ametengeza deal akijua Babake Meko hawezi mfokea.Wenzetu walikuwa wanaweka kwenye kambi za jeshi sbb zilikuwa ni bure nadhani,. Hizi za kwetu kwa gharama yao kwa hiyo sehemu muafaka ni hotelini so kambi ya jeshi. I stand to be corrected.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii serikali ni shida sana SkyHawa wageni wameachwa kwenye corridor sasa kama wamekuja na virusi si ndiyo vinasambaa holela.
Kwani wewe ulipoombiwa watawekwa quarantine tena kwa gharama zao ulihisi ni nini? Ulidhani serikali inawajengea nyumba enhee? Watu pekee wanaogharamiwa na serikali ni wale waliogundulika wana maambukizi tayari.Hii video inayomuonesha mama aliyetoka nje ya nchi akilalamika kupelekwa hotel za ajabu zenye gharama kubwa ina ukweli?
Hivi kweli hizo ndo karantini zilizotengwa na Serikali? Rais umepataje nguvu ya kutalii juu mawe ili hali nchi haina karantini na tunategemea mahotel ya mabepari?
Mimi ninaisi huu ni mchongo wa baadhi ya watendaji wa Serikali. Dada njoo manzese ukae guest.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ni Watanzania, ukirudi nchi yoyote sasa hivi unakaa karantini siku 14.Usidhani wote wanaorudi, wanarudi kwa kupenda.. Kuna wengine walikuwa wamemaliza muda wa kukaa nje na masurufu yao pdiem yakaishia siku hiyo ambayo walirudi.. Sasa unasema wangebaki huko huko, wangebakia wapi kwa mfano..? Wangeishi vpi na wangepata wapi fungu la kujikimu muda wote huo ambao wangekuwa wamekaa huko..? Ni watanzania hao, na hapa ndo kwao..
Tofauti yako na kunguni ni mwili... otherwise unafikiri kama kunguni.Unaweza kwenda ulaya kutumia ndege ,ushinde kulipia hotel siku 14 bongo?,acha masihara,
Unatakaje?
Karantini huwa ni wapi?sifi leo, Karantini hotelini ?! Maajabu hayajawahi kuisha nchi hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Elfu 25 kwa siku bado parefu hapo,wawapeleke guest za kwa mtogole za buku 5Wangepewa options kutokana na mifuko yao, Kariakoo zipo hotel za 25,000
Kwahiyo waliogundulika tayari na wao wanawekwa karantini kwenye hayo mahoteli?Kwani wewe ulipoombiwa watawekwa quarantine tena kwa gharama zao ulihisi ni nini? Ulidhani serikali inawajengea nyumba enhee? Watu pekee wanaogharamiwa na serikali ni wale waliogundulika wana maambukizi tayari.
Walisema ni siri hawatazitaja majina ili watu wasienfe kuwaangalia, imekuwaje siri ya sirikali kuwa si siri?Baadhi ya Wasafiri waliofika Uwanja wa Ndege wa Dar na kutakiwa kujiweka Karantini kwa gharama zao wakilalamika kuwa wametakiwa kukaa hoteli zenye gharama
Wasafiri hao wameomba msaada kwa Mamlaka hususan Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kwani wametakiwa kukaa katika hoteli za Southern Sun, Rungwe, Dar Palace na Peacock Hotel