Tetesi: Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni

Yani hata picha za hayo makaburi hakuna!

Dah.. Watz mna matatizo makubwa sana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app


Wewe unataka picha za makaburi ....watu wamefiwa wamewakilisha familia zao kuzika ..wameyashuhudia , hairuhusiwi kupiga picha na hata unaona picha zinazo leak zinachukuliwa kwa mbali......ila kama unataka kushuhudia wewe nenda tu pale makaburini wakianza kuzika wakiiita ndugu wewe jichomeke uende maana kuna marehemu wengi tu huwa wanazikwa bila uwakilishi wa ndugu hata mmoja ....watu huwa sio wengi wanaotaka kwenda ......
THIS ISSUE IS SERIOUS BROTHER
 
Sitamsahau huyo magufuli Mimi pamoja na watu wa bukoba.

Jinsi alivyosema serikali haikuleta tetemeko huku watu zaidi ya watu 20 warifariki na nyumba zaidi ya 10000 kubomoka.tena hakuishia hapo akasema bukoba kila kitu ni nyie katerero,MV bukoba, ukimwi na MTO ngono tena Kwa kejeli kuu.nilikuwepo uwanjan pale ihungo na niliondoka Kwa uzuni kuu huku nyumba yetu ikiwa imesambaratika kabisa

Wengi ndo tulijua huyu ni mtu wa aina gan.


Sasa mtaona na Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yawezekana ni kweli maana hakuna takwimu zilizosahihi kutokana na maneno ya Magufuli. Anasema waliopona ni 100, ina maana wagonjwa ni zaidi ya 284 na waliokufa ni zaidi ya 11
 
Jambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kocha David mwamaja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi bado nina mshangao tu kuwa Rais amesema tujifukize sijui kawaza nini mheshimiwa
Inawezekana pia anamaanisha kuwa hali ni mbaya na kwa kuwa hakuna dawa ya corona basi bora tutumie hata njia mbadala kujikinga.
 
Jambo zito unatumia akili za makengeneza ku comment, unasema kuwa eti tutumie wajibu wetu kuishauri serikali.
Magufuli anashaurika?
Anaongoza nchi kwa akili zake mwenyewe, hashauriani na Baraza la Mawaziri na Bunge liko mfukoni mwake.
Kagoma kui lockdown Dar, huyu ni Rais mpumbavu hasa anayependwa na wapumbavu wenzake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli unakuweka katika nafas ya kupambana na tatizo na sio kupata msaada world bank, jifunze kutumia mantiki

Umeelewa ulichojibu na ulielewa nilomjibu?
Endelea kuchukua tahadhari dhidi ya corona, usinichoshe na hisia zako bila kuelewa.
 
Hii ngoma bado mbichi sijui itafika kileleni lini
 
Upo kwenye baraza la mawaziri?
 
Ambulance sio gari ya kubeba maiti.
Ambulance hupiga kelele pale tu inapowahi kuchukua mgoniwa mwenye hali mbaya au ikiwa imebeba mgoniwa mwenye hali mbaya.
 
Wajinga kama nyie ndio mnampa wakati mgumu kweli Melo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wewe unaambiwa ni usiku sasa hata mtu atachukuaje picha ya kuibia bila ya flash

Leo usiku itabidi kuwahonga wahusika ili kuchukua picha kadhaa
Mtu asiye na Imani huwezi kumuaminisha kwa picha...Mtu mwenye mtazamo wake ni kumuacha tu abaki hivyo hivyo...Maana amini amini nakuambia hata ukiweka picha atasema ni photoshop au imeeditiwa nk nk. Na sio vyote alivyoamini alishuhudia...Mtu akitoa ujumbe inatosha suala la kuamini au laa libaki kwa mpokeaji taarifa.
 
Picha zipi zina leak? Yani kabisa kwa tz ya saaa hivi jambo kama hili litokee bila hata picha kuchuliwa? Watz wanavyopenda picha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Huyuu jamaa sijui anaroho ya aina gani angewapa ata matumaini lakini sio kejeli. Msaada kagoma kutoa nakuwapa MAUMIVU.
 
Picha zipi zina leak? Yani kabisa kwa tz ya saaa hivi jambo kama hili litokee bila hata picha kuchuliwa? Watz wanavyopenda picha?

Sent using Jamii Forums mobile app
SASA hiyo ni asumption lakini nakuambia hivyo kwa kuwa nimeyashuhudia ....kuna picha chache zime leak wakizika lakini sio ustaarabu kuziweka nadhani ilichukuliwa video na mmoja wa ndugu ....ilikuwa usiku ....inasikitisha ..sio jambo tu la kufurahia kuangalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…