Tetesi: Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni

Upo kwenye baraza la mawaziri?
CCM mmetufanyia vibaya sana was Tz mwaka 2015. Msirudie kosa hilo tena 2020!


Naona unaongea na katibu mwenezi kupitia Mimi.
 
Kama corona sio issue basi kiranja atarudi Dar.

Pia hii ya kuzika kimya kimya inaweza kuwa na ukweli kumbuka kiranja ni hapendi kulaumiwa.

Niliwahi sikia eti lisu angekufa angezikwa siku ileile.

Kwa namna ninavyo ona tutapoteza watu wetu.wengi sana.


Kitakacho tuokoa ni pale viongozi wakuu wa siasa watakapo anza kupukutika kwa corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchunguzi anza wewe kwenye kaya yako, majirani, ndugu, marafiki na wafanyakazi/waateja wako au madukani/sokoni unakonunua bidhaa iwapo kuna mwathirika au marehemu.
Mkuu Yale makaburi ya Kinondoni yamejazwa na ndugu zako au watu unaowafahamu?
 
Mleta mada hii ni muongo, kama zipo familia zimelalamika ni kupitia chombo au taasisi gani nchini.

Wewe kama nani na umekaa mnara gani juu ya Dar es salaam hadi kuyaona yoote haya kwa wakati mmoja.?

Acheni ujinga basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kila comment inasema ‘watakufa wengi’ kila mtu mbona anasema wale! Je member wa JF wana immunity ya kufa na corona? Tunakuwa wabinafsi sana
 
Do your homework, umepewa pakuanzia tafuta ukweli ndugu sio unasema sio kweli bila uchunguzi,kwani hii ndio mara ya kwanza kwa serikali kusema uongo?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais na amiri jeshi ameshatoa maelekezo .
 
Mbona kila comment inasema ‘watakufa wengi’ kila mtu mbona anasema wale! Je member wa JF wana immunity ya kufa na corona? Tunakuwa wabinafsi sana
Ulishamsikia isis humu? Nilihoji January mkanipuuza na mods wakafuta Uzi.
 

Hakuwekwa Mkuu ,ningekuwa mmoja wa waliotakiwa kushiriki Mazishi yake lakini Mwili hawakupewa Ndugu na alizikwa na Serikal.
 
Hovyo kabisa. Mtoa mada kapendekeza uchunguzi ufanyike na serikali na vyombo vya habari. Unaropoka kama tabia yenu ya mtawala wa kiimla
 
Do your homework, umepewa pakuanzia tafuta ukweli ndugu sio unasema sio kweli bila uchunguzi,kwani hii ndio mara ya kwanza kwa serikali kusema uongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapoleta mada nzito kama hii, hupaswi kuachia wanaokusoma wakfanye 'homework'. Kama hulielewi hilo utakuwa umepungukiwa.

Hakuna sehemu yoyote niliposema serikali haisemi uongo, again, that is a conclusion that make you look like..., (I almost wrote an unreasonable word, and I do not want to do that to you)! This is my first time reading you!
 
Hakuwekwa Mkuu ,ningekuwa mmoja wa waliotakiwa kushiriki Mazishi yake lakini Mwili hawakupewa Ndugu na alizikwa na Serikal.
Hadi sasa tunatangaziwa kwamba watu 10 pekee ndio waliokwishafariki kutokana na COVID-19; lakini kwa mjibu wa yanayoandikwa kwenye mada hii, kuna watu wengi zaidi ya hao 10 ambao serikali imeamua kuchukua jukumu la kuwazika bila ya kushirikisha ndugu zao, ikiwa na maana kwamba kilichowaua ni COVID-19; lakini serikali haitaki ieleweke hivyo kwa sababu wanazozielewa wenyewe!

Huku kuficha kunaisaidia serikali kwa vipi?
Na hawa raia wanaofichwa taarifa hizi, lakini huko mitaani wanaona hali halisi, waichukulie serikali kivipi? Kwamba inalinda maslahi ya wananchi?

Hizi taarifa zinazofichwa, huko baadae haziwezi kufichuka; na kama zitafichuka na ukweli ukawekwa wazi, tutaendelea kuisifu serikali yetu kwa kusimamia maslahi ya nchi yetu?
Kuna viongozi watakaotakiwa kuwa 'accountable'kwa upuuzi wa aina hii? Sasa hivi wao wanaamini watakuwa kwenye madaraka milele na hata ikilazimu kuondoka, watawaweka wanaowajua kuwa watalinda maslahi yao.

Maswali ni mengi.
 
Lkn pamoja fake IDs zote hizi mnashindwa kutuma hata picha tu za misiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…