Tetesi: Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni

Saa tisa usiku unakuwaga macho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara ya mwisho lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku 4 nyuma. Ila nilikua naongea na mama watoto juu ya hili swala leo akasema Japan kuna watoto 40 wamekutwa na corona wameambukizwa na nesi aliyekua akiwahudumia. Na hao watoto wote ni vichanga.

Sijaprove hii wala sijdoublecheck statistics tena.
 
Watafanya siri lakini wakumbuke NY walikosa sehemu za kuzikia hadi wakawa wanazika watu kwenye parks.
 
Mkuu,hoja yako ingeeleweka sana kama hili jukwaa lingekuwa lile la mwaka 2006-2010.Sahizi Jamiforums watu hawatoi Facts,bali mihemko.HAKUNA ALIYEPINGA KUWA DATA ZIMEFICHWA,BALI UNACHOHITAJI NI USHAHID WA HII HOJA.Bado wanakubishia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Omba Mungu afe ndugu yako kipindi hichi ndipo utaamini anayoyasema mleta Mada, naona unaubishi wa asili, sijui ulitaka akuletee video??
 
Hivi viongozi wetu, Ummy, Majaliwa na Magufuli mnatuchukuliaje sisi wananchi kwa kutudanya na kutupatia takwimu za uongo kiasi hicho?.

Hivi mnadhani mnafanya kazi peke yenu?, mnafikili hao mnaofanyanao kazi ndugu zetu hawatuambii ukweli juu ya yanayoendelea.

Endeleeni kudanganya mchana kweupe ili muendelee kujivua nguo kwa ujinga usiofichika!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jans nimemuona jamaa ksangika mbele ya kituo cha polisi central na kulikuwa na polisi kama 40 wamemzunguka kwa mbali sana!
 
Watu wenye midomo mirefu bila kuthibitisha kama wewe hua nawachukulia kama ni WEHU,sijui umetumwa na wanasiasa!!! hv kwa nini waTanzania hua mnapenda kuongea ongea tu?au nyie wengine siyo waTanzania mko huko nje ila mnalipwa na wanasiasa ili mje mropoke chochote kama kuichafua serikali

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Mkuu, watu kama huyu mtoa post ndio Rais Magufuli amewaagiza TCRA na Polisi wawachukulie hatua. Wakikamatwa labda ndio watatuonesha hayo makaburi na hizo familia zinazolia.

Kama huna ndugu au rafiki aliyekufa ni busara kufunga mdomo wako......
Hata kama uko kazini tumia busara ..watu wana machungu....
 

Jana Tena nilipishana na ambulance inaenda maeneo hayo hayo nilikuwa busy sikufwatilia kilicho jiri ila ambulance yenye wahudumu huwa haiendi mahali bila kuitwa na Kama nimtu kaziidiwa huwa magari yapo ata Kama mgonjwa Hana gari jirani anajitolea. Ukiona mtu kwake anayo magari anaumwa anakuja kuchukuliwa na ambulance na week iliyopita wawili walienda eneo Hilo Hilo unajiongeza tuu .
 

Nimesoma hii post yako..
Wakati nasoma nikategemea utasema familia ya fulani wa sehemu fulani, walikuwa na mgonjwa..fulani.. kwenye hospitali fulani. Amefuatiliwa na taarifa zinaonesha amefariki na kuzikwa katika makaburi unakotaja.

Ni post inasema kitu kikubwa lakini ni hisia tu.
Sasa mkichukuliwa mkathibitishe inakuwa shida baadae, shida ya kutosha tu.
 
Ukweli inatakiwa uwe 100%.Ukweli hautakiwi kuwa pungufu

Senti bai yuzingi tecno T301
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…