Tetesi: Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni

We mchawi umetumwa kuua watu, eeh? Unaambiwa watu wanakufa wewe unaleta ubishi, Bashite naye anadanganya shwaini wewe?
Watu wanaokufa kuna ndugu, rafiki au jamaa yako?Au ndio story za UNAAMBIWA?Unaambiwa na nani?Kwanini kila mtu anakuja na story za UNAAMBIWA?

Senti bai yuzingi tecno T301
 
Anayetamani WaTz wafe humjui ?!. Anafanya nini kuwasaidia WaTz ?!

Odhis *

Corona Ni Mimi na wewe. Kaa home. Fuata masharti. Kama kuna mtu kachukua Malory kukufunga na kamba Utoke. Usafiri. Usivae mask. Then utakuwa Sawa. Na Pole. Otherwise hata huku ulaya masharti Ni hayo anayowaambia waziri mkuu Toka kwa kuwa una ulazima wa kutoka. Safiri kama una ulazima. Mwisho wa siku Sio kiongozi atakayetuua Bali Ni mtu Kama wewe. Una access na taarifa Zote kuhusu corona Lakini unasubiri uambiwe na kusukumwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaotaka ushahidi au picha kuthibitisha kuwa watu wanapuputika wasubiri. Si muda mrefu atazikwa nduguyo, rafiki au jirani katika mazingira tatanishi na hapo ndo utapata ushahidi!
We kuna nduguyo, rafiki au jirani yako kazikwa huko?

Senti bai yuzingi tecno T301
 
Watu wanaokufa kuna ndugu, rafiki au jamaa yako?Au ndio story za UNAAMBIWA?Unaambiwa na nani?Kwanini kila mtu anakuja na story za UNAAMBIWA?

Senti bai yuzingi tecno T301
Mbona unatumia nguvu kubwa sana kupinga?
 
Mbona kila comment inasema ‘watakufa wengi’ kila mtu mbona anasema wale! Je member wa JF wana immunity ya kufa na corona? Tunakuwa wabinafsi sana
Hakuna hata mtu mmoja atakuambia ndugu,jamaa au rafiki amekufa corona au anaumwa corona. Wote ni Story za UNAAMBIWA unaambiwa hahahahahahah

Senti bai yuzingi tecno T301
 
Wewe mbona hujafa?
 
Omba Mungu afe ndugu yako kipindi hichi ndipo utaamini anayoyasema mleta Mada, naona unaubishi wa asili, sijui ulitaka akuletee video??
We kafa ndugu yako?Au nawe una ushahid wa UNAAMBIWA?

Senti bai yuzingi tecno T301
 
aiseeee !!
 

Attachments

  • Wagonjwa wa Corona Amana, Hospital kabla hawajatoroka wakimbeba mwenzao alief ( 600 X 480 ).mp4
    1.1 MB
Lisemwalo lipo ila watz wengi wapuuzi na wazushi sielewi wanafanya kwa nia IPI zaidi ya kuleta taharuki kwa jamii, Dar INA watu 5M+ hivi kabla ya corona watu walikuwa hawafi hivi population yote hio MTU kufa ni ajabu kuna magonjwa chungu nzima yanayoua watu ila sababu kuna corona basi kila kifo ni corona tuache upumbavu, na suala LA kuzika maiti na watu wa jiji ni kutokana na sababu hizi moja ni kweli vifaa vya kupima corona vipo kwa uchache hivyo sometimes they guess kwamba huenda corona anahusika pili wanazuia mikusanyiko ya mazishi ambayo ni hatari kwa kuenea kwa corona.
Watanzania tuko na mzaha sana huu ujinga utatucost corona tunaongelea kimasihara tujikinge jamani tuchukue tahadhari ndani ya family level kwenye jamii pia kipindi hichi panic ya kujaribu alternative tofouti ni sawa sijui kujifukiza n.k kwa sababu hakuna dawa hivyo kujiongeza kama jamaa wa Madagascar hakuna ubaya nashangaa wanaokejeli hivyo kwa kuwa hakuna dawa tufe sio au tusubiri mabeberu wapate dawa wakati wao hali tete paka wamepanic tujiongeze sisi kama sisi tuombe kila MTU na imani yake Mungu ni muweza ya yote atupe wepesi na kutuokoa na hili Janga.Amina
 
We kuna nduguyo, rafiki au jirani yako kazikwa huko?

Senti bai yuzingi tecno T301
Mkuu usibishe sana..weka akiba ya maneno.
Hili dude linapiga sii mchezo.
Kama wewe hujashuhudia basi mshukuru Mungu na mwombe azidi kukuepusha. Siasa haina nafasi kabisa kwa hili dude.

Niko mkoani huku..rafiki yangu aliumwa akapelekwa hosipitalini juzi asubuhi, jana ninapewa taarifa amefariki usiku wa kuamkia hiyo jana na amezikwa na manispaa saa moja asubuhi. Hakuna taarifa zaidi!

Tumebaki tumeduwaa na kujaribu tu kuunganisha doti bila jibu la uhakika.

Hali sio salama.
 
Siku hizi humu ndani kuna watu wako so immature.......Zamani kabla ya hizo instagram na tweet huku tulikuwa tunakata Issues kweli kweli , very serious , na mambo mengi muhimu yalianzia huku ...... leo mtu anaongea lugha chafu bila hata sababu yeyote ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…