Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Aamen!Kama "Mpumbavu" ni jambo la kawaida ; inshaallah,...
Mkuu kama corona inakutisha kaa ndani acha kutisha watu.
Senti bai yuzingi tecno T301
Na Karume......Kila MTU utamsikia anasema najisikia sikia homa vile sijui hili jua LA juzi na Leo.....!!!Kwa sasa epicenter ni Kariakoo kwa mkoa wetu
We MPUMBAVU inatakiwa ujibu swali ndio uniulize huo utopolo. Inawezekanaje kila mtu awe na ushahid wa KUAMBIWA?Wewe mbigwa, maiti zote za wanaokufa unaletewa kwenu kuzihakiki?
Mkuu kama sio njaa hakuna anaetoka aisee!Kama mnajua mnakufa kwanini msijifungie ndani?
kwani kuna mtu kalazimishwa atoke nje ya nyuma yake? Au kiherehere tu
Huko makaburini ndiyo mtakako enda kushiba...
Hata lile lory la manispaa lililoandikwa Dar City Council burial services sio la serikali, hata Kama Lina namba SU.
Hapana si mtaani kwetu, mtaani kwetu sijawahi kuziona ndg yangu uongo mbaya. Naziona barabarani tu. Mfano barabara ya Mwananyamala- Kinondoni, alafu barabara ya Kawawa kuelekea Keko mpk Tmk, maana ofc yangu ipo Chan'gombe. Ndiyo maana nikasema pamoja na idadi zake kuwa nyingi haithibitishi kuwa zinahudumia corona, kama umenielewa vzr.
Hujanielewa ndg yangu nimesema zimekuwa nyingi ila haithibitishi kuwa zinahudumia watu wa corona.
Prondo hukunielewa, nimesema zilikuwepo na kuna zingine mpya pamoja na magari ya huduma za maziko ila haithibitishi kuwa zipo kwaajili ya corona.Kama ni dereva utanielewa, siku gari yako ikiwa na kasoro utawaona traffic police wengi sana. Sio kwamba siku zote hawapo la hasha unawaona sana kwasababu unakishtukia. Ambulance zipo vile vile tu ila sasa hivi kila ukiiona unaihusisha na Corona.
😂😂🤣🤣😂
Happening now at Kondo bahari beach; merehemu wa watu tofauti kama 10 wanakuja kuzikwa hapa Kondo - JamiiForumsProndo hukunielewa, nimesema zilikuwepo na kuna zingine mpya pamoja na magari ya huduma za maziko ila haithibitishi kuwa zipo kwaajili ya corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Happening now at Kondo bahari beach; merehemu wa watu tofauti kama 10 wanakuja kuzikwa hapa Kondo - JamiiForumsMada kama hii yako ni ngumu mno kuiamini, na wala haiingii kabisa akilini.
Kukiwa na ukweli wowte juu ya haya uliyoandika hapa, basi hakuna serikali iliyowekwa madarakani na wananchi. Badala yake, kutakuwa na kitu kingine kabisa ambacho sina jina la kukipa.
Kuleta mada kama hii, halafu pasiwepo na aina yoyote ya ushahidi unaoipa mada uzito, angalau hata wa kimazingira tu, ni kulifedhehesha hili jamvi la JF.
Hii ni hatari sana kama kuna aina yoyote ya ukweli kwenye mada yako.
Happening now at Kondo bahari beach; merehemu wa watu tofauti kama 10 wanakuja kuzikwa hapa Kondo - JamiiForumsWamekufa kumi tu. Hizo picha na videos mtandaoni mzipuuze, ni za mabeberu wanaotaka nchi isitawalike.
Hata lile lory la manispaa lililoandikwa Dar City Council burial services sio la serikali, hata Kama Lina namba SU.
Mkiliona linaranda randa maeneo ya makaburi mlipuuze
Happening now at Kondo bahari beach; merehemu wa watu tofauti kama 10 wanakuja kuzikwa hapa Kondo - JamiiForumsMkuu, wewe umeshuhudia watu wakizikwa kwenye hayo makaburi au ni hisia tu? Watu wangapi? How ndugu zao wamemlalamikia nani? Kwamba milio ya ambulance ni ushahidi watu 'wengi' wanakufa?
Ni kweli Corona ni tatizo, lakini hatutaishinda kwa kutishana na kujazana hofu. Tutimize wajobu wetu kuishauri Serikali juu ya hatua za kuchukua kwenye mapambano haya huku kila mmoja wetu akichukua tahadhari. Uongo na vitisho kwa wananchi havina tija, vina madhara makubwa zaidi.
Happening now at Kondo bahari beach; merehemu wa watu tofauti kama 10 wanakuja kuzikwa hapa Kondo - JamiiForumsseedfarm,
Kwani wewe ulitakaje? Nahicho unahitaji si umejibiwa jana? Mbona mnapoteza muda wa watu kwa kurudia same quiz?
Mkuu usibishe sana..weka akiba ya maneno.
Hili dude linapiga sii mchezo.
Kama wewe hujashuhudia basi mshukuru Mungu na mwombe azidi kukuepusha. Siasa haina nafasi kabisa kwa hili dude.
Niko mkoani huku..rafiki yangu aliumwa akapelekwa hosipitalini juzi asubuhi, jana ninapewa taarifa amefariki usiku wa kuamkia hiyo jana na amezikwa na manispaa saa moja asubuhi. Hakuna taarifa zaidi!
Tumebaki tumeduwaa na kujaribu tu kuunganisha doti bila jibu la uhakika.
Hali sio salama.
Umezungumza vyema.COVID-19 inaua mtu ambaye alishakuwa njiani. Magonjwa mengine na low immunity.
Ahsante mkuu, mimi ninakubali unachoandika hapa hata bila ya picha. Huwezi ukawa mwenda wazimu na kuongoka kwa jambo kama hili.