Tuliokuamini na kukutetea kwenye janga la Corona umetuangusha. Nimepoteza rafiki na ndugu kwa janga la Corona. Serikali chukueni hatua - JamiiForumsMada kama hii yako ni ngumu mno kuiamini, na wala haiingii kabisa akilini.
Kukiwa na ukweli wowte juu ya haya uliyoandika hapa, basi hakuna serikali iliyowekwa madarakani na wananchi. Badala yake, kutakuwa na kitu kingine kabisa ambacho sina jina la kukipa.
Kuleta mada kama hii, halafu pasiwepo na aina yoyote ya ushahidi unaoipa mada uzito, angalau hata wa kimazingira tu, ni kulifedhehesha hili jamvi la JF.
Hii ni hatari sana kama kuna aina yoyote ya ukweli kwenye mada yako.
Tuliokuamini na kukutetea kwenye janga la Corona umetuangusha. Nimepoteza rafiki na ndugu kwa janga la Corona. Serikali chukueni hatua - JamiiForumsTembeleeni usiku wa manane sehemu zilizotajwa kama Buza makaburini mkajionee
Bahari beach eneo la kondo Buza na Mbweni acheni kusifia mapambio ya mwami wa kihutu anaetupeleka kuzimu
Tuliokuamini na kukutetea kwenye janga la Corona umetuangusha. Nimepoteza rafiki na ndugu kwa janga la Corona. Serikali chukueni hatua - JamiiForumsUsipowaamini viongozi wa nchi utakuwa una matatizo wewe! Mbona tunapewa updates za mara kwa mara!
Tuliokuamini na kukutetea kwenye janga la Corona umetuangusha. Nimepoteza rafiki na ndugu kwa janga la Corona. Serikali chukueni hatua - JamiiForumsUsipowaamini viongozi wa nchi utakuwa una matatizo wewe! Mbona tunapewa updates za mara kwa mara!
Tuliokuamini na kukutetea kwenye janga la Corona umetuangusha. Nimepoteza rafiki na ndugu kwa janga la Corona. Serikali chukueni hatua - JamiiForumsMakaburi hayajifichi. Ukweli utajulikana tu
Tuliokuamini na kukutetea kwenye janga la Corona umetuangusha. Nimepoteza rafiki na ndugu kwa janga la Corona. Serikali chukueni hatua - JamiiForumsNinamashaka kama hii idadi ya wagonjwa inayotajwa sasa haina uhusiano wowote na tamko la WB la kukopesha nchi zilizoathirika zaidi na corona.
Tuliokuamini na kukutetea kwenye janga la Corona umetuangusha. Nimepoteza rafiki na ndugu kwa janga la Corona. Serikali chukueni hatua - JamiiForumsMkuu, wewe umeshuhudia watu wakizikwa kwenye hayo makaburi au ni hisia tu? Watu wangapi? How ndugu zao wamemlalamikia nani? Kwamba milio ya ambulance ni ushahidi watu 'wengi' wanakufa?
Ni kweli Corona ni tatizo, lakini hatutaishinda kwa kutishana na kujazana hofu. Tutimize wajobu wetu kuishauri Serikali juu ya hatua za kuchukua kwenye mapambano haya huku kila mmoja wetu akichukua tahadhari. Uongo na vitisho kwa wananchi havina tija, vina madhara makubwa zaidi.
Tuliokuamini na kukutetea kwenye janga la Corona umetuangusha. Nimepoteza rafiki na ndugu kwa janga la Corona. Serikali chukueni hatua - JamiiForumsTatizo bavicha kutwa kuchwa mnawawazia mabaya watanzania. Dua zenu Mungu hatazikubali. Watanzania hawatakufa kama mnavyotamani. Bali hilo lichama lenu la kishetani ndilo litajifia lenyewe kwa watu kuwapuuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe mkuu, ukiangalia mada zote hizi tatu, kuanzia hii na zile alizorejea, yaani kufanya reference uandishi na maudhui ni ya mtu mmoja. Hapa kafungua akaunti mpya na lengo lake ni kuleta hofu na chuki kwa wananchiMada kama hii yako ni ngumu mno kuiamini, na wala haiingii kabisa akilini.
Kukiwa na ukweli wowte juu ya haya uliyoandika hapa, basi hakuna serikali iliyowekwa madarakani na wananchi. Badala yake, kutakuwa na kitu kingine kabisa ambacho sina jina la kukipa.
Kuleta mada kama hii, halafu pasiwepo na aina yoyote ya ushahidi unaoipa mada uzito, angalau hata wa kimazingira tu, ni kulifedhehesha hili jamvi la JF.
Hii ni hatari sana kama kuna aina yoyote ya ukweli kwenye mada yako.
Alikufa na kuzikwa kabla hata taarifa ya mwisho ya ummy so assumed kwenye vifo vilivyoongezeka aliwekwa pia.Mbona hata yule mgonjwa wa mkoa wa Mara nasikia kafa ila taarifa ya wizara sijaisikia. Nasubiri waziri athibishe
Walipaswa kuzikwa SAA ngapi ili isiwe siri?
Well According to My very credible source !!!! Raisi Magufuli akizungumza kwa Video conference kutoka Chato !!! Amepewa Ushauri na Kamati kuu Ya Covid19 Nchini Tanzania , inayoongozwa na Waziri mkuu Majaliwa kuwa the only Thing can save Tanzania Right now ni Herd immunity !!!! sorry kwa typo kwenye picture it’s Herd immunity “
.
.
Kwa Mapendekezo yao !!! Wanatumia Trick walioifanya Wingereza ikafail , ila wao wakkiamini Tanzania haita fail sababu wako na Jua la kutosha na Alternative medicine!!! .
.
.
Walichopendekeza Wataalamu wao since Hospital ziko out of Control , Wagonjwa wamejaa , Mochwari ndo usiseme !!!! basi Mgonjwa asiyeonesha Symptoms asiwekwe hospital !!! Warudishwe nyumbani miili yao ijitibishe yenyewe uku wakifata Ushauri wa kukaa juani na kujitibisha kwa Mitishamba !!!! .
.
.
Pia kuhusu risk ya wagonjwa hao kusambaza , Wamesema ni vizuri wagonjwa hao wasambaze huu Ugonjwa ili watu waupate , wapone na ugonjwa ukijirudia basi hauta kuwa na madhara , Antibodies zitakuwa strong !!! .
.
.
Kwa makadilio yao , Atleast watu 500,000 wanaweza fariki sababu ya Underlying medical Conditions !!! Na Taifa litabaki na watu Milion 50 strong !!! .
.
.
According to them in 3 months Tanzania Itakuwa na wagonjwa zaidi ya Milion 20 !!! But watakao kufa ni kama laki 5 tu !!! Hivyo kuachia Taifa la watu wenye Afya [emoji27][emoji27][emoji27][emoji27]
.
.
Targeted Group la watu wanaoweza Kufariki ni HIV+ , Asthma , Diabetic, Cancer , Hight Blood Pressure , Wenye Magonjwa ya Moyo , Sikocell etc !!!!!!! .
.
.
So Hakuna Plan ya Kulock down !!! Plan ni Kuambukizana, ili wenye strong Immune system wasurvive !!!!! .
.
.
I rest my case !!!! Who are we decide wakukufa na Kupona ili kusave Economy [emoji2376][emoji2376][emoji2376] Kwanini tusitumie Nguvu kubwa kusave watu wote ??? Kwanini tusitengeneze Ventilator zetu ??? Kwanini tusishone PPE za kutosha??? Kwanini tusiwatoe hofu na kuwapa training ya kutosha wahudumu wa Afya [emoji2302][emoji2302][emoji2302][emoji2302]
.
.
Anyway with that said Hao watu Mnaozika Moshi kila siku , Dar , Tanga , Zanzibar , Mara , TABORA , Mwanza etc !!!! Ndo kwanza Safari Imeanza !!!!! Am so down right now [emoji27][emoji27][emoji27] Na hao 500,000 watakao fariki , mtatangaziwa ni watu 50 wamefariki !!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Coronavirus ni ugonjwa mpya na baadhi ya wagonjwa wanaopata wanakufa lakini kinachochangia watu kufa kwa huu ugonjwa zaidi ni hali yake kiafya (uzito mkubwa, matatizo ya moyo, sukari, upungufu wa kinga....) na kikubwa zaidi huku kujistress na kustresiana kuhusu corona.Watu kila siku wanakufa mahospitalini kabla hata ya hiyo corona yenu!
Hao watu "wanaopukutika" kwa corona mbona siwaoni?
Hizo ambulance huwa zinapita mitaa gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikujibu?Hapana ngoja nikae kimya tu.Walipaswa kuzikwa SAA ngapi ili isiwe siri?
Hapo wanazikwa watu wangapi?
Hapo hakuna ndugu wanaoshiriki hayo maziko?
Aaaaghhh
Sent using Jamii Forums mobile app
Well According to My very credible source !!!! Raisi Magufuli akizungumza kwa Video conference kutoka Chato !!! Amepewa Ushauri na Kamati kuu Ya Covid19 Nchini Tanzania , inayoongozwa na Waziri mkuu Majaliwa kuwa the only Thing can save Tanzania Right now ni Herd immunity !!!! sorry kwa typo kwenye picture it’s Herd immunity “
.
.
Kwa Mapendekezo yao !!! Wanatumia Trick walioifanya Wingereza ikafail , ila wao wakkiamini Tanzania haita fail sababu wako na Jua la kutosha na Alternative medicine!!! .
.
.
Walichopendekeza Wataalamu wao since Hospital ziko out of Control , Wagonjwa wamejaa , Mochwari ndo usiseme !!!! basi Mgonjwa asiyeonesha Symptoms asiwekwe hospital !!! Warudishwe nyumbani miili yao ijitibishe yenyewe uku wakifata Ushauri wa kukaa juani na kujitibisha kwa Mitishamba !!!! .
.
.
Pia kuhusu risk ya wagonjwa hao kusambaza , Wamesema ni vizuri wagonjwa hao wasambaze huu Ugonjwa ili watu waupate , wapone na ugonjwa ukijirudia basi hauta kuwa na madhara , Antibodies zitakuwa strong !!! .
.
.
Kwa makadilio yao , Atleast watu 500,000 wanaweza fariki sababu ya Underlying medical Conditions !!! Na Taifa litabaki na watu Milion 50 strong !!! .
.
.
According to them in 3 months Tanzania Itakuwa na wagonjwa zaidi ya Milion 20 !!! But watakao kufa ni kama laki 5 tu !!! Hivyo kuachia Taifa la watu wenye Afya [emoji27][emoji27][emoji27][emoji27]
.
.
Targeted Group la watu wanaoweza Kufariki ni HIV+ , Asthma , Diabetic, Cancer , Hight Blood Pressure , Wenye Magonjwa ya Moyo , Sikocell etc !!!!!!! .
.
.
So Hakuna Plan ya Kulock down !!! Plan ni Kuambukizana, ili wenye strong Immune system wasurvive !!!!! .
.
.
I rest my case !!!! Who are we decide wakukufa na Kupona ili kusave Economy [emoji2376][emoji2376][emoji2376] Kwanini tusitumie Nguvu kubwa kusave watu wote ??? Kwanini tusitengeneze Ventilator zetu ??? Kwanini tusishone PPE za kutosha??? Kwanini tusiwatoe hofu na kuwapa training ya kutosha wahudumu wa Afya [emoji2302][emoji2302][emoji2302][emoji2302]
.
.
Anyway with that said Hao watu Mnaozika Moshi kila siku , Dar , Tanga , Zanzibar , Mara , TABORA , Mwanza etc !!!! Ndo kwanza Safari Imeanza !!!!! Am so down right now [emoji27][emoji27][emoji27] Na hao 500,000 watakao fariki , mtatangaziwa ni watu 50 wamefariki !!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenu huwa mnazika watu usiku madame?Walipaswa kuzikwa SAA ngapi ili isiwe siri?
Hapo wanazikwa watu wangapi?
Hapo hakuna ndugu wanaoshiriki hayo maziko?
Aaaaghhh
Sent using Jamii Forums mobile app