Tetesi: Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni

Una hamu ya kusikia taarifa mbaya za vifo

Dar ina watu karibia 6m, unaposema watu wanapukutika unamaanisha watu wangapi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkui huoni kinachoendelea ...hakuna taarifa zozote rasmi huku tunaskia watu wanakufa...Serikali yetu naona imebobea kwenye ujenzi tu lkn masuala ya kudeal na majanga..ni hopeless kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Issue ni muda Wa maziko au aina ya ugonjwa inachangia aina ya maziko?


Jikinge na uwapendao hizi porojo hapa hazimalizi ugonjwa, watu wanakufa na kuugua sana tu.
Sijaelewa hata umeandika nini madame
 
Mkui huoni kinachoendelea ...hakuna taarifa zozote rasmi huku tunaskia watu wanakufa...Serikali yetu naona imebobea kwenye ujenzi tu lkn masuala ya kudeal na majanga..ni hopeless kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninakubaliana na wewe mkuu.
Hilo sio nililolenga kulijibu kwenye bandiko hilo, ingawaje inaonekana kama ninaitetea serikali.
Kama waTanzania hawalioni hili kwenye serikali yao hii, basi tunalo tatizo kubwa sana kama taifa.
 
Ninakubaliana na wewe mkuu.
Hilo sio nililolenga kulijibu kwenye bandiko hilo, ingawaje inaonekana kama ninaitetea serikali.
Kama waTanzania hawalioni hili kwenye serikali yao hii, basi tunalo tatizo kubwa sana kama taifa.
We hujaona jana kwenye page za Mange na wengine imepostiwa video hakuna ruhusa ya picha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una hamu ya kusikia taarifa mbaya za vifo

Dar ina watu karibia 6m, unaposema watu wanapukutika unamaanisha watu wangapi??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mgonjwa mmoja akifa kwa dalili zote zinazoonyesha kauliwa na corona, halafu serikali ikaamua kuficha habari zake zisijulikane, tukisema 'wanapukutika' ni yaki yetu kusema hivyo.
 
Hata mgonjwa mmoja akifa kwa dalili zote zinazoonyesha kauliwa na corona, halafu serikali ikaamua kuficha habari zake zisijulikane, tukisema 'wanapukutika' ni yaki yetu kusema hivyo.
Mmmh
 
Tatizo teknolojia tunayotumia inahitaji muda mrefu kujua chanzo cha kifo, ivyo kuna wakati serikali inalazimika kuzika kabla haijapata majibu kama ni corona ama la, na ivyoivyo inalazimika kutoa taarifa kila baada ya siku 3.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…