imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Sasa hata uwajibikaji wa viongozi wa juu? Ni kwanini Magufuli na baraza lake la Mawaziri wasijiuzulu?Maji yameshamwagika mkuu, cha msingi ni kupambana na tatizo kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hata uwajibikaji wa viongozi wa juu? Ni kwanini Magufuli na baraza lake la Mawaziri wasijiuzulu?Maji yameshamwagika mkuu, cha msingi ni kupambana na tatizo kwa sasa.
Hauna tiba lakin nafas ya kupona ipo kwa sababu wapo walioponaKwa nini wajipeleke mapema? Ugonjwa hauna tiba then unaenda hospital kufanya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo chanika hii corona haijafika ila ipo kwenye hiyo mitaa yenu tu?inawezekana haupo Dar wewe. na kama upo Dar basi Chanika huko!
Watalamu gani wakuu wa majeshi na usalama wa taifa sababu Jana ndo walikua wamemzunguka rais
Ishu ya Ulimboka na Lisu na hii tunayojadili hapa zinafanana?Mkuu hivi ndugu wa dk Ulimboka, Lissu na wengine walilalamika wapi? Mie sikumbuki eti
Unapaswa ujipeleke Magufuli hostel! Be fairMim na mtu anaumwa korona na amelezwa, ameniambia watu wanao umwa ni wengi yeye akiwa mmojawapa aliyelazwa acha uzwazwa
Ajasema hawafi acha kumlisha manenoUko sawa kabisa
Capitalist hawafi na wamekabili kabisa covid19 na wanatoa takwimu sahihi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sifi bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu wangu.View attachment 1427439
Twafaa!! HAKUNA HAJA YA KUFICHA
Are you sure Kama naishi nae, namjua Ila si ishi nae na atujaonana mda
Na kwamba Tz kuna maambukizi zaidi ya 300k na vifo zaidi ya 42k kuzidi USA?CIA wanajua ukweli unaofichwa na viongozi wetu ndio maana wakaamua kuondoa wamarekani wote juzi
Mkuu ukienda usisahau picha hata mojaTembeleeni usiku wa manane sehemu zilizotajwa kama Buza makaburini mkajionee
Bahari beach eneo la kondo Buza na Mbweni acheni kusifia mapambio ya mwami wa kihutu anaetupeleka kuzimu
Mara ya mwisho kuangalia takwimu zilionyesha hakuna mtu wa kuanzia mwaka 0 mpaka 19 aliyefariki kwa corona. Hivi hii haitakiwi kumaanisha kitu? Najua hii ni off topic ila how come kirusi kinachoitrick seli nyeupe na kujificha ndani mpaka immunity system haikioni kwa watu wa umri huo kwao iwe tofauti?
Sijawah kuona humu JF mtu anayeulizaga maswali ya kijinga na kipumbavu kama wewe hata Bia yetu ana uafadhali
Hata waliosema mabasi yawe disinfected kila baada ya safari ni wataalamu.
Ile kauli ya Bashite 'watu wanapukutika dar' , bado naitafakarii...
Yani hata picha za hayo makaburi hakuna!Watu wanaokufa ni wengi sana aisee anakoongelea mfano Makaburi ya Kondo kila siku usiku wanazika zaidi ya watu wanne ......jana kuna mtu ndugu yao kazikwa pale Wachimbaji wakawaambia washazika zaidi ya 30 hadi jana ....sasa acha hayo makaburi mengine yakiwamo ya Mloganzila ...watu wanaotangazwa ni wale ambao ni public figure.
Lakini pia kuna kashfa ya watu wanaokufa kwa CONVID19 na ndugu zao wanafanya ujanja ujanja wanaachiwa wakazike wenyewe ......kuna ex IGP kapewa mke wake akazike na wengine wengine
Wengi wangapi? Hiyo wodi aliyolazwa ina uwezo wa kubeba watu kama elfu 2 hivi eti ee?Mim na mtu anaumwa korona na amelezwa, ameniambia watu wanao umwa ni wengi yeye akiwa mmojawapa aliyelazwa acha uzwazwa
Amana inatema Mochwari imejaa mpaka hakukaliki Wagonjwa na wazima wameamua kuondokaMkuu ukienda usisahau picha hata moja