Hili gonjwa mpaka lichomoke na mawaziri 6 hivi, manaibu waziri 9, wabunge 20, na makatibu wakuu 8. Ndio serikali yetu itapata akili.
Nchi hii raia akipiga kelele jambo lolote linalokandamiza, kama vile kodi kubwa, wale wenye misamaha ya kodi utawasikia wanapiga domo TULIPENI KODI KWAAJILI YA KUJENGA NCHI YETU, tulipe kodi vipi wakati nyinyi mna msamaha wa kodi? Huu si uboya.
Raia wa hali ya chini wasio na bima ya afya wala hela ya kununua panadol wakipiga kelele Corona ipo mtaani na inamaliza ndugu zetu, wale wenye bima za afya za kiserikali na misafara ya ulinzi, utasikia wanapiga domo CORONA NI GONJWA LA KISHETANI, TANZANIA HALIPO. Wakati serikali imejaa mashetani.