Corona ipo,tuchukue tahadhari

Makatibu wakuu8??? Mnyika na mtoto wa mzee Ally hawapon
 
Corona yenyewe kama mafua tu.....idadi ya wanaopata na wanaokufa ni tofauti kabisa.
Wanawezaipata wa 1000,wakafa 10.....sifurahii watu kufa..ila haitishi kama baadhi ya watu wanavyotaka tuamini kuwa inatisha.
Cha ajabu hapa Tanzania,ni kikundi kidogo tu cha watu wanaotaka dunia ihamie Tanzania kuwa tunaisha na corona na serikali imekaa kimya.

Zito,na Chadema ndo wanataka nchi isimame. Ndugu zangu,lazima tujiulize kwanini kuna watu wanataka kufurahia kila baya ndani ya nchi yetu?
Kwanini kuna watu wanafurahia mambo ya hovyo kuliko ya msingi?
Watu hao bado tunaishi nao,tunakutana nao,wengine ni watumishi ndani ya serikali,why wasiende kuishi kwenye hizo nchi ambazo wao wanaamini tahadhari dhidi ya corona inachukuliwa vya kutosha?

Mh.Rais alituasa,corona ipo,na nilazima tujifunze kuishi nayo. Na watanzania tulimuelewa. Ni rai yangu.....tuendelee kuchukuwa tahadhari za magonjwa yote ikiwemo Malaria,UKIMWI,TB,Kipindupindu na mengine. Yota haya yanaua.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…