Mkapa anapoelekea kutimiza mwaka 1 tangu kututoka yafuatayo ni baadhi ya mawaidha kutokea Mkapa foundation:
Your browser is not able to display this video.
1. Wanathamini msukumo wa Mama Samia kupambana na janga hili la Corona kisayansi
2. Wanathamini msukumo mpya wa serikali kuelekea chanjo
3. Wanaelezea umuhimu wa chanjo
4. Wanaelezea manufaa ya chanjo
5. Nk
Ikumbukwe wengi wa wanaopinga msukumo mpya wa serikali kuhusiana na Corona ikiwamo chanjo, pia ni katika wengi wa wale wanaopinga uwapo wa katiba mpya.
Tusaidiane kujua kinagaubaga. Hivi:
1. hawa wanaopinga jitihada za serikali kuhusu Corona zikiwamo kuchukuliwa kwa hatua kisayansi, hoja zao hasa ni zipi?
2. hawa wanaopinga uwepo wa katiba mpya hoja zao hasa ni zipi?
Hakuna wakati ambao wajinga, wabishi, wehu, wendawazimu na wanafiki waliwahi kukosekana katika jamii yoyote ile. Hawa wanaokataa mbinu za kukabiliana na corona kwa mbinu za kisayansi, wapo kwenye haya nakundi.
Tangu kuumbwa kwa Ulimwengu matatizo ya kiafya na mengije mengu yameshughulikiwa kwa mbinu za kisayansi ambazo zimekuwa zikiboreka mwaka baada ya mwaka. Hivyo ndivyo Dunia ilivyoweza kuikabili ndui, tetekuwanga, surua, kipindupindu, malaria, tauni, dysentry, kifua kikuu, n.k.
Dunia hii ipo hivi ilivyo kwa sababu ya Sayansi. Unamshamgaa mjinga, anapinga kukabiliana na corona kisayansi huku mtandao wa internet, kipaza sauti, gari anayotumia, nyumba yake, pikipiki yake, nguo zake, n.k. ni zao la Sayansi. Sasa mtu wa namna hiyo, utasema ana akili timamu?
Mabibi na mabwana kumekuwa na kasumba ya kuwafungamanisha wajumbe mitandaoni na vyama vya siasa labda kulingana na maudhui ya mabandiko yao. Dhana hii kwa hakika ni potofu sana, hasa pale wajumbe husika wanapokuwa hawajijitanabaisha hivyo wazi wazi na kwa IDs zilizokuwa verified. Itoshe kusema...
www.jamiiforums.com
Hao Chadema unawaona wapi wewe?
Acha maneno weka Muziki!
Hoja zenu ni zipi nyie mnao pinga Corona au katiba?
Hakuna wakati ambao wajinga, wabishi, wehu, wendawazimu na wanafiki waliwahi kukosekana katika jamii yoyote ile. Hawa wanaokataa mbinu za kukabiliana na corona kwa mbinu za kisayansi, wapo kwenye haya nakundi...
(1) kushughulikia Corona (priority) kwa mustakabala mwema wa maisha yetu sasa
(2) katiba mpya kwa mustakabala mwema wetu sisi, watoto tu na watoto watoto wetu.
Naona kuna kuna tofauti ndogo kati ya wale wanaopinga Corona na Katiba Mpya.
Hawa wote wanatoka chama kimoja cha siasa, tatizo lao, wapo wanaopinga hatua dhidi ya Corona ili kulinda "legacy" ambapo hili ni kundi dogo ndani ya lile kundi kubwa linalopinga Katiba Mpya kwa maslahi ya chama chao wote.
Hawa jamaa ikizungumziwa Katiba Mpya wote huipinga, coz wanalindwa na hii Katiba mbovu iliyopo, lakini ikizungumziwa habari ya kujikinga na Corona, wana - divert, kama ni mto unatengeneza tawi, hawa wanalinda legacy hawataki tujikinge, huku wale wengine wanataka tujikinge hawa ndio wale wa "mama"
Naona kuna kuna tofauti ndogo kati ya wale wanaopinga Corona na Katiba Mpya.
Hawa wote wanatoka chama kimoja cha siasa, tatizo lao, wapo wanaopinga hatua dhidi ya Corona ili kulinda "legacy" ambapo hili ni kundi dogo ndani ya lile kundi kubwa linalopinga Katiba Mpya kwa maslahi ya chama chao wote.
Hawa jamaa ikizungumziwa Katiba Mpya wote huipinga, coz wanalindwa na hii Katiba mbovu iliyopo, lakini ikizungumziwa habari ya kujikinga na Corona, wana - divert, kama ni mto unatengeneza tawi, hawa wanalinda legacy hawataki tujikinge, huku wale wengine wanataka tujikinge hawa ndio wale wa "mama"
1. CCM wote wanapinga katiba mpya. Hii ni kwa sababu ya ujinga, unafiki na pia kutokana na kunufaika binafsi na kama kundi kutokana katiba iliyopo.
2. Wanaopinga vita dhidi ya Corona ni CCM wote kuondoa wale walioko kwa Mama. Hawa wa mama ni wachache zaidi kuliko wale wa yule bwana wa legacy.
Wale wa yule jamaa wa legacy sehemu kubwa ni machinga, wapiga debe, vibaka, sungu sungu nk. Pamoja na kuwa na elimu duni, ni brainwashed hawajui wanataka nini au hawataki nini.
Kufanikisha agenda zao za kupinga vita ya Corona na/au katiba mpya wanatumia sababu na mbinu zozote hata kama ni za kijinga au hata kipumbavu tu.
Hawa ni wa ku face head on.
Vita dhidi ya Corona ni priority. Katiba mpya ni next.
dunia ya binaadamu huru,ila ina wapumbavu wanaohubiri uhuru wa mitizamo,lakini hawataki kuona wala kusikia mitizamo ya wengine.
kuna wakati nyumbu mnatafakarisha sana.
kwanini mnaamimi mitizamo yenu ni sahihi wakati wote,na haitakiwi kupingwa wakati wowote!!!
hoja zao zipo makundi yote,labda useme huzipendi,unazidharau,hazikufurahishi wala huoni kama zinakufaa wewe.
kwenye swala la katiba kelele ni katiba mpya,ila wenye akili huru wanahoji ni katiba mpya ama katiba yenye maamuzi ya wananchi ambayo yataheshimiwa na biongozi!!!!lakini ajenda ya vibaka imeeendelea kubaki ile ile katiba mpya.
kwenye corona kelele zimekuwa ni chanjo na tahadhali,wenye upeo huru wanahoji ufanisi wa chanjo na tahadhali inayotazamwa kuwa ni barakoa na kunawa mikono,maisha yetu haya ya kila siku hakuna kiumbe angekuwa anatembea saa hizi.
wakati watu wanatumia akili za kawaida tu kuhoji mambo,nyinyi hamtizamii katika uhuru wao.huu nao ni upimbi.
1. CCM wote wanapinga katiba mpya. Hii ni kwa sababu ya ujinga, unafiki na pia kutokana na kunufaika binafsi na kama kundi kutokana katiba iliyopo.
2. Wanaopinga vita dhidi ya Corona ni CCM wote kuondoa wale walioko kwa Mama. Hawa wa mama ni wachache zaidi kuliko wale wa yule bwana wa legacy.
Wale wa yule jamaa wa legacy sehemu kubwa ni machinga, wapiga debe, vibaka, sungu sungu nk. Pamoja na kuwa na elimu duni, ni brainwashed hawajui wanataka nini au hawataki nini.
Kufanikisha agenda zao za kupinga vita ya Corona na/au katiba mpya wanatumia sababu na mbinu zozote hata kama ni za kijinga au hata kipumbavu tu.
Hawa ni wa ku face head on.
Vita dhidi ya Corona ni priority. Katiba mpya ni next.
Hivyi ni nchi gani imepona Sasa baada ya kutumia njia za kitaalamu mnazotolea mapovu?
Mnajua maambukizi ya UK ya Jana pamoja na kuchanjwa? Au kubwabwaja tu.
Hivyi ni nchi gani imepona Sasa baada ya kutumia njia za kitaalamu mnazotolea mapovu?
Mnajua maambukizi ya UK ya Jana pamoja na kuchanjwa? Au kubwabwaja tu.
Kama wakati ule wa uchaguzi 2020 priority ilikuwa ni Lissu kuingia Ikulu bila kujali kuhatarisha uhai wetu basi nadhani hata sasa inawezekana pia priority ikawa ni katiba kwanza kisha inafuata corona. Nadhani Katiba ikipatikana kila kitu kitakaa sawa maana matumaini yetu yote na shida zetu zote suluhisho ni katiba mpya.