joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #21
Airspace inafunguliwa kuanzia 17th May 2020, ndege zote zitaruhusiwa kutua JKIA, wacha kujaribu kupindisha ili kuficha aibu yenu baada ya kushindikana kwa mikakati yenu ya kujifungia ndani.Si kwamba tunafungua airspace Kesho na kuanza kupokea wageni ni ile hali ya kujiandaa. Baada ya korona namna watu husafiri itabadilika sana kwa hivyo lazima mashirika ya usafiri ya anze kujiandaa mapema.
JKIA to resume passanger flights
Sent using Jamii Forums mobile app