joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #21
Airspace inafunguliwa kuanzia 17th May 2020, ndege zote zitaruhusiwa kutua JKIA, wacha kujaribu kupindisha ili kuficha aibu yenu baada ya kushindikana kwa mikakati yenu ya kujifungia ndani.Si kwamba tunafungua airspace Kesho na kuanza kupokea wageni ni ile hali ya kujiandaa. Baada ya korona namna watu husafiri itabadilika sana kwa hivyo lazima mashirika ya usafiri ya anze kujiandaa mapema.
Sasa Airspace wanategemea kufungua wiki ijayo tarehe 17 May, hiyo mipangokazi imeshakamilika, maambukizi yamedhibitiwa?, Curfew zimekwisha?, Nairobi, Mombasa na sehemu zingine zilizopo chini ya Partial lockdown zimeshafunguliwa?Wewe ndye umechanganikiwa huelewi nini maana ya lockdown na inawezekana hata lugha huelewi vizuri. Wanazungumzia mipango kazi jinsi watakavyo fungua huduma za ndege. Wewe unasema wamechanganikiwa. Du huu si mweu anamcheka kichaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, wameshaanza kuogopa, ukiwa mtu muhimu ni raha sana, hata ukiamua kuwa kimya tu, watu wanatetemeka.
Muite anapewa vitasa live!Hahahaha, wameshaanza kuogopa, ukiwa mtu muhimu ni raha sana, hata ukiamua kuwa kimya tu, watu wanatetemeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikulu ya Kenya huko chupi zinabana, hawajui Magufuli atatokatokaje toka Mafichoni, alivyomropokaji si ajabu kusikia anasema "Kuanzia Leo hakuna Chakula wala biashara yoyote kati ya Kenya na Tanzania, mipaka yote imefungwa rasmi".Muite anapewa vitasa live!