joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Mtoto wa miaka 6 aliyekufa kwa Corona Kenya Leo, alikua amelazwa katika ICU pamoja na wagonjwa wengine wa kawaida na kuhudumiwa na madaktari wa kawaida bila kujua kwamba alikua na maambukizi ya Corona hadi alipofariki.
Hali hii imesababisha madaktari na wauguzi wote waliomuhudumia kuwekwa chini ya karantini, na wagonjwa wote kuhamishiwa kwengine.
Huu ulegevu wa wakenya, ndio unaosababisha maambukizi kupanda sana na idadi ya vifo kuongezeka Kenya ukilinganisha na nchi Jirani. Swali la kujiuliza ni "Je kama madaktari wameshindwa kumgundua mgonjwa mwenye dalili zote akiwa Hospitalini, wanauwezo na weledi wa kupambana na hili janga?
Sent using Jamii Forums mobile app