moj6
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 3,354
- 4,985
Wewe jamaa,hivi hujui ARV zinazotumia Tz zinadhaminiwa na hawa jamaa,? Wangekuwa na hiyo nia wangekata msaada yao halafu watu wafe kama kukuWaungwana jitahidini kutafuta kilichopo nyuma ya Melinda &Billy Gate Foundation,kuhusu depopulation hasa Afrika!!!
Jaribuni kumtafuta (search) Dr Rashid A Butter kafunguka sana ,na bado anaendelea kufunguka zaidi.
Mtafuteni sana elimu.
Msione usoni wanacheka ,moyoni wananuna.
Sent using Jamii Forums mobile app