Wewe jamaa,hivi hujui ARV zinazotumia Tz zinadhaminiwa na hawa jamaa,? Wangekuwa na hiyo nia wangekata msaada yao halafu watu wafe kama kukuWaungwana jitahidini kutafuta kilichopo nyuma ya Melinda &Billy Gate Foundation,kuhusu depopulation hasa Afrika!!!
Jaribuni kumtafuta (search) Dr Rashid A Butter kafunguka sana ,na bado anaendelea kufunguka zaidi.
Mtafuteni sana elimu.
Msione usoni wanacheka ,moyoni wananuna.
Ventilators zinunuliwe za kutosha Tanzania, zisambazwe hadi hospitali za wilaya na vituo vya afya.
Tusipuuze maonyo yanayotolewa na tusifiche taarifa ee Tanzania.
Tanzania ni nchi tajiriKwamba zisambazwe kila kituo cha afya au siyo!!
Mind you setup ya ICU ventilator moja ni karibu dola 40,000 badilisha kwa pesa za madafu
Sent using Jamii Forums mobile app
ACha kukaza mindMkuu ukiwaza kwa kina unaona kabisa yaliyosemwa ni kwel ..
Za bei ya juu zipo mpaka Dola 20,000.Umejaribu kufuatilia na kujua ventilator moja inauzwa bei gani?
weka links mkuu kurahisisha mamboWaungwana jitahidini kutafuta kilichopo nyuma ya Melinda &Billy Gate Foundation,kuhusu depopulation hasa Afrika!!!
Jaribuni kumtafuta (search) Dr Rashid A Butter kafunguka sana ,na bado anaendelea kufunguka zaidi.
Mtafuteni sana elimu.
Msione usoni wanacheka ,moyoni wananuna.
Yani ingemng'oa na Bulembo ingekuwa poa sanaCorona imenifurahisha sana kumuua lwakatare kwa kutaka Zitto auawe
Unayafahamu madhara ya hizo ARV?Wewe jamaa,hivi hujui ARV zinazotumia Tz zinadhaminiwa na hawa jamaa,? Wangekuwa na hiyo nia wangekata msaada yao halafu watu wafe kama kuku
Sent using Jamii Forums mobile app
ASKDRBUTTAR.COM/NNNweka links mkuu kurahisisha mambo
ukimfuata ya huyu jamaa unaweza kuwa deadly soon.ASKDRBUTTAR.COM/NNN