Uhuru n Umoja
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,160
- 2,224
Ukishaingiza neno la chini kwa chini, unatoa nafasi ya mtu kuzungumza lolote na utashindwa kumuomba akupe ushahidi, kwa sababu atakimbilia kujificha katika kichaka cha "chini kwa chini".
Sent using Jamii Forums mobile app
Maadui ni lazima hasa kwenye sistim ambayo ilikua ya upigaji.
Kwenye taasisi ya urais, mtu mwenye kupata all sort of inteligensia ripoti kila kukicha, kumuita mropokaji sidhani ni sahihi.
Naamini, yapo mengi sana nyuma ya pazia ambayo hayawezi semwa hadharani.
Kwamfano: Rais ana maongezi ya ana-kwa-ana na Rais wa China inayoshutumiwa vikali. Unajua maongezi ya kiintelijensia kati ta serikali hizi, nini China inasema kuhusu huu ugonjwa na misimamo yake?
USA wamekazana kua huu ugonjwa umetoka Laboratory China, yes or not - ila huu ni ugonjwa wa kupika.
Kuna mengi nyuma ya pazia.
Ansbert NgurumoNi ukweli kwamba jina la Magufuli limezidi kufahamika zaidi duniani tangu ulipozuka ugonjwa wa Corona na kuingia hapa Africa na hususan Tanzania. Magufuli aligonga vichwa vya habari duniani kwa uzuri na ubaya katika viwango vyenye kukaribiana.
Mwanzoni tu ugonjwa ulipoingia Tanzania, Magufuli alianza kupata shutuma na kurushiwa kila aina ya kebehi na matusi pale alipoamua kuruhusu ibada na kukataa kufunga mipaka ya ndani na nje ya nchi yake.
Kikomo cha kukashifiwa kilifika kileleni pale Magufuli alipokwenda kanisani na kurudia kusema kwamba, hatozuia wala kufunga nyumba za ibada kwa sababu anaamini virusi haviwezi kuishi na kuwadhuru watu Mungu.
Mara tu ya kumaliza kusema hivyo, dunia nzima ilimshukia na kumlaani Magufuli kwa kuchukua misimamo tofauti na nchi zote duniani, kwa kweli haikua rahisi sana kuvumilia kwa jinsi dunia ilivyomgeukia Magufuli, inahitaji mtu mwenye ujasiri wa pekee kuvuka bila kubadilisha msimamo baada ya kulaaniwa na dunia nzima.
Wakati dunia haijamaliza kulaani misimamo ya Magufuli ya kuruhusu nyumba za ibada na kutofunga mipaka ya nchi, Magufuli akaibuka na hili la kutilia shaka kuhusu vipimo vya Corona, ghafla jina lake likazidi kuwa gumzo duniani kote, ila safari hii sio kwa kukashifiwa na kukejeliwa, ila kwa kusifiwa na kupongezwa, sasa nchi, watu na makundi mbalimbali yamesahau jinsi yalivyomkashifu na kumuona mtu wa ajabu, sasa wanamuita ni mtu jasiri, makini na mwenye misimamo isiyoyumbishwa.
"Negative Energy"
Vyovyote vile iwavyo, ama kwa kusifiwa au kwa kupongezwa, kwangu ninahisi hayo yote aliyofanya Magufuli ni Mapungufu zaidi katika mapambano dhidi ya Corona kuliko kuimarisha na kuboresha mapambano.
1)Kuwaruhusu watu kuendelea kukusanyika katika Nyumba za ibada bila kutoa maelekezo na mifumo ya kufuatilia kuhakikisha kwamba maelekezo yanafuatwa, huo ni upungufu mkubwa has a ikizingatiwa kwamba, huko Rome na Makka kwenye vitovu vya dini hizi mbili, wamesitisha ibada baada ya kupoteza waumini wao.
2)Kitendo cha kuweka nguvu kubwa katika imani ya dini na dawa za asili na kutotilia mkazo katika maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, ni kosa na Mapungufu makubwa.
3)Kuzuia na kukejeli unyunyiziaji wa dawa mijini na sehemu mbalimbali zenye mikudanyiko kwa madai ya kwamba haziui Corona, sio sawa kwa sababu zilisaidia kuua Mbu wanaosababisha Malaria na Dengue, alipaswa kuwashauri waongeze dawa yenye kujua virusi vya Corona (Sabuni au Alcohol).
4)Kutafuta na kujua ukweli dhidi ya Mapungufu ya vipimo vinavyotumika kupima Corona bila kutoa maelekezo ya nini kifanyike katika hiki kipindi ambacho vyombo mbalimbali vinachunguza, ni kuiacha nchi hewani huku wananchi wakiwa hawaelewi hali ya maambukizi inavyokwenda nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ansbert NgurumoNi ukweli kwamba jina la Magufuli limezidi kufahamika zaidi duniani tangu ulipozuka ugonjwa wa Corona na kuingia hapa Africa na hususan Tanzania. Magufuli aligonga vichwa vya habari duniani kwa uzuri na ubaya katika viwango vyenye kukaribiana.
Mwanzoni tu ugonjwa ulipoingia Tanzania, Magufuli alianza kupata shutuma na kurushiwa kila aina ya kebehi na matusi pale alipoamua kuruhusu ibada na kukataa kufunga mipaka ya ndani na nje ya nchi yake.
Kikomo cha kukashifiwa kilifika kileleni pale Magufuli alipokwenda kanisani na kurudia kusema kwamba, hatozuia wala kufunga nyumba za ibada kwa sababu anaamini virusi haviwezi kuishi na kuwadhuru watu Mungu.
Mara tu ya kumaliza kusema hivyo, dunia nzima ilimshukia na kumlaani Magufuli kwa kuchukua misimamo tofauti na nchi zote duniani, kwa kweli haikua rahisi sana kuvumilia kwa jinsi dunia ilivyomgeukia Magufuli, inahitaji mtu mwenye ujasiri wa pekee kuvuka bila kubadilisha msimamo baada ya kulaaniwa na dunia nzima.
Wakati dunia haijamaliza kulaani misimamo ya Magufuli ya kuruhusu nyumba za ibada na kutofunga mipaka ya nchi, Magufuli akaibuka na hili la kutilia shaka kuhusu vipimo vya Corona, ghafla jina lake likazidi kuwa gumzo duniani kote, ila safari hii sio kwa kukashifiwa na kukejeliwa, ila kwa kusifiwa na kupongezwa, sasa nchi, watu na makundi mbalimbali yamesahau jinsi yalivyomkashifu na kumuona mtu wa ajabu, sasa wanamuita ni mtu jasiri, makini na mwenye misimamo isiyoyumbishwa.
"Negative Energy"
Vyovyote vile iwavyo, ama kwa kusifiwa au kwa kupongezwa, kwangu ninahisi hayo yote aliyofanya Magufuli ni Mapungufu zaidi katika mapambano dhidi ya Corona kuliko kuimarisha na kuboresha mapambano.
1)Kuwaruhusu watu kuendelea kukusanyika katika Nyumba za ibada bila kutoa maelekezo na mifumo ya kufuatilia kuhakikisha kwamba maelekezo yanafuatwa, huo ni upungufu mkubwa has a ikizingatiwa kwamba, huko Rome na Makka kwenye vitovu vya dini hizi mbili, wamesitisha ibada baada ya kupoteza waumini wao.
2)Kitendo cha kuweka nguvu kubwa katika imani ya dini na dawa za asili na kutotilia mkazo katika maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, ni kosa na Mapungufu makubwa.
3)Kuzuia na kukejeli unyunyiziaji wa dawa mijini na sehemu mbalimbali zenye mikudanyiko kwa madai ya kwamba haziui Corona, sio sawa kwa sababu zilisaidia kuua Mbu wanaosababisha Malaria na Dengue, alipaswa kuwashauri waongeze dawa yenye kujua virusi vya Corona (Sabuni au Alcohol).
4)Kutafuta na kujua ukweli dhidi ya Mapungufu ya vipimo vinavyotumika kupima Corona bila kutoa maelekezo ya nini kifanyike katika hiki kipindi ambacho vyombo mbalimbali vinachunguza, ni kuiacha nchi hewani huku wananchi wakiwa hawaelewi hali ya maambukizi inavyokwenda nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ukweli kwamba jina la Magufuli limezidi kufahamika zaidi duniani tangu ulipozuka ugonjwa wa Corona na kuingia hapa Africa na hususan Tanzania. Magufuli aligonga vichwa vya habari duniani kwa uzuri na ubaya katika viwango vyenye kukaribiana.
Mwanzoni tu ugonjwa ulipoingia Tanzania, Magufuli alianza kupata shutuma na kurushiwa kila aina ya kebehi na matusi pale alipoamua kuruhusu ibada na kukataa kufunga mipaka ya ndani na nje ya nchi yake.
Kikomo cha kukashifiwa kilifika kileleni pale Magufuli alipokwenda kanisani na kurudia kusema kwamba, hatozuia wala kufunga nyumba za ibada kwa sababu anaamini virusi haviwezi kuishi na kuwadhuru watu Mungu.
Mara tu ya kumaliza kusema hivyo, dunia nzima ilimshukia na kumlaani Magufuli kwa kuchukua misimamo tofauti na nchi zote duniani, kwa kweli haikua rahisi sana kuvumilia kwa jinsi dunia ilivyomgeukia Magufuli, inahitaji mtu mwenye ujasiri wa pekee kuvuka bila kubadilisha msimamo baada ya kulaaniwa na dunia nzima.
Wakati dunia haijamaliza kulaani misimamo ya Magufuli ya kuruhusu nyumba za ibada na kutofunga mipaka ya nchi, Magufuli akaibuka na hili la kutilia shaka kuhusu vipimo vya Corona, ghafla jina lake likazidi kuwa gumzo duniani kote, ila safari hii sio kwa kukashifiwa na kukejeliwa, ila kwa kusifiwa na kupongezwa, sasa nchi, watu na makundi mbalimbali yamesahau jinsi yalivyomkashifu na kumuona mtu wa ajabu, sasa wanamuita ni mtu jasiri, makini na mwenye misimamo isiyoyumbishwa.
"Negative Energy"
Vyovyote vile iwavyo, ama kwa kusifiwa au kwa kupongezwa, kwangu ninahisi hayo yote aliyofanya Magufuli ni Mapungufu zaidi katika mapambano dhidi ya Corona kuliko kuimarisha na kuboresha mapambano.
1)Kuwaruhusu watu kuendelea kukusanyika katika Nyumba za ibada bila kutoa maelekezo na mifumo ya kufuatilia kuhakikisha kwamba maelekezo yanafuatwa, huo ni upungufu mkubwa has a ikizingatiwa kwamba, huko Rome na Makka kwenye vitovu vya dini hizi mbili, wamesitisha ibada baada ya kupoteza waumini wao.
2)Kitendo cha kuweka nguvu kubwa katika imani ya dini na dawa za asili na kutotilia mkazo katika maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, ni kosa na Mapungufu makubwa.
3)Kuzuia na kukejeli unyunyiziaji wa dawa mijini na sehemu mbalimbali zenye mikudanyiko kwa madai ya kwamba haziui Corona, sio sawa kwa sababu zilisaidia kuua Mbu wanaosababisha Malaria na Dengue, alipaswa kuwashauri waongeze dawa yenye kujua virusi vya Corona (Sabuni au Alcohol).
4)Kutafuta na kujua ukweli dhidi ya Mapungufu ya vipimo vinavyotumika kupima Corona bila kutoa maelekezo ya nini kifanyike katika hiki kipindi ambacho vyombo mbalimbali vinachunguza, ni kuiacha nchi hewani huku wananchi wakiwa hawaelewi hali ya maambukizi inavyokwenda nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wiki ya pili ukisambaza hizi tweet au ndio silaha yako uliyobakiza!Ansbert Ngurumo
@ngurumo
Hapa ni makaburini Ununio. Hii ni jana siku saa tatu, 25 April 2020. Ni mazishi ya siri, ya chap chap, tunayofichwa. Tafakari. Jiongeze. Jilinde. Linda wengine
Interesting: in Tanzania, a number of opposition MPs have boycotted parliamentary meetings in Dodoma due to the spread of Covid-19. Now Regional Commissioner for Dar es Salaam, Paul Makonda says all MPs must return to parliament in Dodoma- threatens to arrest those that don’t.Ni ukweli kwamba jina la Magufuli limezidi kufahamika zaidi duniani tangu ulipozuka ugonjwa wa Corona na kuingia hapa Africa na hususan Tanzania. Magufuli aligonga vichwa vya habari duniani kwa uzuri na ubaya katika viwango vyenye kukaribiana.
Mwanzoni tu ugonjwa ulipoingia Tanzania, Magufuli alianza kupata shutuma na kurushiwa kila aina ya kebehi na matusi pale alipoamua kuruhusu ibada na kukataa kufunga mipaka ya ndani na nje ya nchi yake.
Kikomo cha kukashifiwa kilifika kileleni pale Magufuli alipokwenda kanisani na kurudia kusema kwamba, hatozuia wala kufunga nyumba za ibada kwa sababu anaamini virusi haviwezi kuishi na kuwadhuru watu Mungu.
Mara tu ya kumaliza kusema hivyo, dunia nzima ilimshukia na kumlaani Magufuli kwa kuchukua misimamo tofauti na nchi zote duniani, kwa kweli haikua rahisi sana kuvumilia kwa jinsi dunia ilivyomgeukia Magufuli, inahitaji mtu mwenye ujasiri wa pekee kuvuka bila kubadilisha msimamo baada ya kulaaniwa na dunia nzima.
Wakati dunia haijamaliza kulaani misimamo ya Magufuli ya kuruhusu nyumba za ibada na kutofunga mipaka ya nchi, Magufuli akaibuka na hili la kutilia shaka kuhusu vipimo vya Corona, ghafla jina lake likazidi kuwa gumzo duniani kote, ila safari hii sio kwa kukashifiwa na kukejeliwa, ila kwa kusifiwa na kupongezwa, sasa nchi, watu na makundi mbalimbali yamesahau jinsi yalivyomkashifu na kumuona mtu wa ajabu, sasa wanamuita ni mtu jasiri, makini na mwenye misimamo isiyoyumbishwa.
"Negative Energy"
Vyovyote vile iwavyo, ama kwa kusifiwa au kwa kupongezwa, kwangu ninahisi hayo yote aliyofanya Magufuli ni Mapungufu zaidi katika mapambano dhidi ya Corona kuliko kuimarisha na kuboresha mapambano.
1)Kuwaruhusu watu kuendelea kukusanyika katika Nyumba za ibada bila kutoa maelekezo na mifumo ya kufuatilia kuhakikisha kwamba maelekezo yanafuatwa, huo ni upungufu mkubwa has a ikizingatiwa kwamba, huko Rome na Makka kwenye vitovu vya dini hizi mbili, wamesitisha ibada baada ya kupoteza waumini wao.
2)Kitendo cha kuweka nguvu kubwa katika imani ya dini na dawa za asili na kutotilia mkazo katika maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, ni kosa na Mapungufu makubwa.
3)Kuzuia na kukejeli unyunyiziaji wa dawa mijini na sehemu mbalimbali zenye mikudanyiko kwa madai ya kwamba haziui Corona, sio sawa kwa sababu zilisaidia kuua Mbu wanaosababisha Malaria na Dengue, alipaswa kuwashauri waongeze dawa yenye kujua virusi vya Corona (Sabuni au Alcohol).
4)Kutafuta na kujua ukweli dhidi ya Mapungufu ya vipimo vinavyotumika kupima Corona bila kutoa maelekezo ya nini kifanyike katika hiki kipindi ambacho vyombo mbalimbali vinachunguza, ni kuiacha nchi hewani huku wananchi wakiwa hawaelewi hali ya maambukizi inavyokwenda nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu Uzi ni mzuri kwa kufanya tathmini, wewe unaleta mambo yasiyokua na maana yoyote, punguza utoto
Nakubaliana na wewe kila ulichosema isipokuwa hili,-Ni ukweli kwamba jina la Magufuli limezidi kufahamika zaidi duniani tangu ulipozuka ugonjwa wa Corona na kuingia hapa Africa na hususan Tanzania. Magufuli aligonga vichwa vya habari duniani kwa uzuri na ubaya katika viwango vyenye kukaribiana.
Mwanzoni tu ugonjwa ulipoingia Tanzania, Magufuli alianza kupata shutuma na kurushiwa kila aina ya kebehi na matusi pale alipoamua kuruhusu ibada na kukataa kufunga mipaka ya ndani na nje ya nchi yake.
Kikomo cha kukashifiwa kilifika kileleni pale Magufuli alipokwenda kanisani na kurudia kusema kwamba, hatozuia wala kufunga nyumba za ibada kwa sababu anaamini virusi haviwezi kuishi na kuwadhuru watu Mungu.
Mara tu ya kumaliza kusema hivyo, dunia nzima ilimshukia na kumlaani Magufuli kwa kuchukua misimamo tofauti na nchi zote duniani, kwa kweli haikua rahisi sana kuvumilia kwa jinsi dunia ilivyomgeukia Magufuli, inahitaji mtu mwenye ujasiri wa pekee kuvuka bila kubadilisha msimamo baada ya kulaaniwa na dunia nzima.
Wakati dunia haijamaliza kulaani misimamo ya Magufuli ya kuruhusu nyumba za ibada na kutofunga mipaka ya nchi, Magufuli akaibuka na hili la kutilia shaka kuhusu vipimo vya Corona, ghafla jina lake likazidi kuwa gumzo duniani kote, ila safari hii sio kwa kukashifiwa na kukejeliwa, ila kwa kusifiwa na kupongezwa, sasa nchi, watu na makundi mbalimbali yamesahau jinsi yalivyomkashifu na kumuona mtu wa ajabu, sasa wanamuita ni mtu jasiri, makini na mwenye misimamo isiyoyumbishwa.
"Negative Energy"
Vyovyote vile iwavyo, ama kwa kusifiwa au kwa kupongezwa, kwangu ninahisi hayo yote aliyofanya Magufuli ni Mapungufu zaidi katika mapambano dhidi ya Corona kuliko kuimarisha na kuboresha mapambano.
1)Kuwaruhusu watu kuendelea kukusanyika katika Nyumba za ibada bila kutoa maelekezo na mifumo ya kufuatilia kuhakikisha kwamba maelekezo yanafuatwa, huo ni upungufu mkubwa has a ikizingatiwa kwamba, huko Rome na Makka kwenye vitovu vya dini hizi mbili, wamesitisha ibada baada ya kupoteza waumini wao.
2)Kitendo cha kuweka nguvu kubwa katika imani ya dini na dawa za asili na kutotilia mkazo katika maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, ni kosa na Mapungufu makubwa.
3)Kuzuia na kukejeli unyunyiziaji wa dawa mijini na sehemu mbalimbali zenye mikudanyiko kwa madai ya kwamba haziui Corona, sio sawa kwa sababu zilisaidia kuua Mbu wanaosababisha Malaria na Dengue, alipaswa kuwashauri waongeze dawa yenye kujua virusi vya Corona (Sabuni au Alcohol).
4)Kutafuta na kujua ukweli dhidi ya Mapungufu ya vipimo vinavyotumika kupima Corona bila kutoa maelekezo ya nini kifanyike katika hiki kipindi ambacho vyombo mbalimbali vinachunguza, ni kuiacha nchi hewani huku wananchi wakiwa hawaelewi hali ya maambukizi inavyokwenda nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Actually you didn't understand coz my focus was on leadership not the actual spraying chlorine or alchohol. Anyway from what I and lots of other people (scientists) are of the view that its an all round approach coz we are not living in an ideal world. Tell us more, what was the result? And how do you attribute that result to ONLY spraying the disinfectant?Nimekuelewa sana kule Dubai walipopuliza alcohol disinfectanct what's the result? To fight huu ugonjwa, it has to do with behavioral approaches! Short of that hamna kitu!
Hapa ulikua unajaribu kusema nini exactly?We hujitambui
Jibu positive kwa oil ya gari inashindikana vipi kuwa positive kwenye sample ambayo ni negative.!!??
Hivi ndo mnavoendesha propaganda, watu wamefikisha malengo yao (flattening the curve) ndo maana wanaanza kufungua uchumi taratibu sio kwamba wameshindwa lockdownBado hatujawa na hoja ya msingi ya kuita corona ni ugonjwa mkubwa kwa afrika,labda ulaya huko,napo kwa sasa si tishio tena,kila mmoja anatamani mipaka ifunguliwe waishi kama awali yaani kama alivyofanya magufuli tu,
Mmefumba macho mnajiambia kuna giza! Idadi probably ilishapita. Media za nje ziliripoti vifo hamsini kwa siku bado unasema haijafika?kwa sababu mmekuwa mkitupa wiki 2 tangu mwezi wa tatu,na hadi leo ni wiki takribani 5 ile idadi yenu ya vifo mlivyokadiria hamjaipata hata robo,ni kiasi gani mmekosa weredi kama hivyo vifaa vyenu,kwa bahati mbaya mko mnakosoa mtu aliye sahihi,poleni sana!ukweli haufichiki,unajidhihirisha wenyewe
Au mnatupa wiki 2 nyingine????
Wanapofanya testing hizi wanaweka samples kwenye reagents zinazo react na RNA, kama hakuna RNA wa covid -19 kwenye samples reaction haitokei, na hivyo test inakuwa -ve. Kupata +ve kwenye sample ya papai inamaana kulikuwa na virus na kama kweli virus wamekuwepo kwenye mapapai na fenesi basi tungeshakuwa na corona toka zamani. Sasa hayo ndiyo maswali timu ya Rais imeyaweka mezani ili dunia ijiulize, badala ya kukubali kupelekeshwa puta kama gari bovu.Tatu, kuhusu testing kits mi binafsi nimeona confusion, japokuwa tests kits za kutoka Uchina ziko proven kuwa na defaults, approach aliyotumia is too shallow and revealed of politics at play kulinda serikali yake. Kama unafuata scientific protocols katika kufanya any test analysis basi methods na procedure alizotumia, pili investigation/evaluation ya Result na mwisho conclusion yake would have counted him out.Truth to be told, they had to be more scientific explanation out those tests he conducted n he should have used experts at his disposal before coming out in the media like that! In science false positives are always possible in any laboratory test/experiment depending on methods/procedures used, a reason there r always written procedures/methods/guidelines to test anything in labs short of that the results though positive/negative will turn out to be invalid!
Kweli Dr. Nyambura yuko vizuri lakini pia huwezi kujua yaliyochini. Unakumbuka Dr. Mwele aliyesema tuna wagonjwa wa zika, iko wapi? Juzi huyo huyo Dr. Mwele kaibuka tena kutoka huko alikokuwa kumpinga Magu na tweet zake calibration?Mwisho, i would be happy kama angepunguza mihemko na tabia ya ku-discredit vitu out of no valid basis! Kwa mfano kutumia cheap jabs kama kutumwa na mabeberu inamfanya kuonekana yupo undiplomati, shallow na hana exposure. Pili sihafiki kusimamishwa ama kufukuzwa kazi kwa Dr. Nyambura Moremi, she more than qualified kuendelea kuongoza taasisi ile na kama kuna matatizo na kits basi makose ni ya waliozinunua (i guess MSD). Na kwa namna alivyo-deal na Dr. Nyambura sidhani kama anayemfuata atatoa matokeo halali, in short she has been treated unfairly and Magufuli decision lacks merit and is unethical one!
Alcohol ina evaporate haraka kwenye air na hivyo haiwezi kuwa effective.Kiongozi ni mtu wa kutoa solutions sio kupoint out shortfalls. Sawa chlorine ni upuuzi mtupu basi avail resources za kutumia hiyo alcohol.
mtoto ni wewe unaanzisha nyuzi za kupusikuvuna na huo huo upuuzi!!!! watu wanakufa tanzania kama nzige huku unaleta mada za kizushi tu!Huu Uzi ni mzuri kwa kufanya tathmini, wewe unaleta mambo yasiyokua na maana yoyote, punguza utoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama wanakufa ulitaka nifanyeje?, wacha ujinga na uanze kujadili mada husika.mtoto ni wewe unaanzisha nyuzi za kupusikuvuna na huo huo upuuzi!!!! watu wanakufa tanzania kama nzige huku unaleta mada za kizushi tu!
View attachment 1443241
Uzi ulikua mzuri until we kichaa ulipoingia, always mijadala inayohusu watanzania peke yao huwa na mantiki ya hali ya juumtoto ni wewe unaanzisha nyuzi za kupusikuvuna na huo huo upuuzi!!!! watu wanakufa tanzania kama nzige huku unaleta mada za kizushi tu!
View attachment 1443241
Waafrika tunafanya kosa kubwa sana kuhusisha dawa za kitaalamu zinazotumika Hospitalini na wazungu, hizi sio dawa za wazungu ila ni dawa za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti na watu wote wakiwemo wachina na wajapan japo wazungu ni wengi waliochangia na ndio waliozileta huku Africa kwa Mara ya kwanza.Nakubaliana na wewe kila ulichosema isipokuwa hili,-
2)Kitendo cha kuweka nguvu kubwa katika imani ya dini na dawa za asili na kutotilia mkazo katika maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, ni kosa na Mapungufu makubwa.
Nakubalina na hatii mkazo kwenye mapambano ya maambukizi ila kuhusu kutumia dawa za asili sio kosa ni busara. Wazungu hawana dawa, wana bahatisha na dawa mbalimbali za mafua hata malaria, wanawalaza watu hospitali bila kuwapa dawa wote ila wachache, wanasema kama una dalili za korona jifungie ndani ya nyumba kwa siku 14 bila dawa na kama huna ndugu wakukuletea chakula ina maana bila chakula pia.
Kwa nini sie tusubiri dawa toka Ulaya wakati tunatibu magonjwa mengine mengi na dawa za asili kama China ambazo hazija thibitishwa na WHO?
Nakubaliana pia anafanya ujinga kutofunga mikusanyiko ya ibada ila ya aina yeyote nyingine.
Naona you bought the propaganda.Wanapofanya testing hizi wanaweka samples kwenye reagents zinazo react na RNA, kama hakuna RNA wa covid -19 kwenye samples reaction haitokei, na hivyo test inakuwa -ve. Kupata +ve kwenye sample ya papai inamaana kulikuwa na virus na kama kweli virus wamekuwepo kwenye mapapai na fenesi basi tungeshakuwa na corona toka zamani. Sasa hayo ndiyo maswali timu ya Rais imeyaweka mezani ili dunia ijiulize, badala ya kukubali kupelekeshwa puta kama gari bovu.
Unaongea kama umefanya research vile, mbona mkononi inaevaporate haraka but ni effective? au unahitaji exposure ya mda gani ambayo kwa kuspray huwezi ku-achieve?Alcohol ina evaporate haraka kwenye air na hivyo haiwezi kuwa effective.
Hapo ndio mnaposhindwa kupata "Concept", ama mnafanya ushabiki au hamuelewi mbachozungumza. Magufuli alipeleka "sample" ambazo hazina Corona, kwa hiyo alitegemea kupata "Negative results", matokeo yake alipata " positives", katika utafiti wake, hawezi kuzungumzia Negative kwa sababu " sample"alizopeleka alitegemea Negative.Naona you bought the propaganda.
Reajents zinatengenezwa kwa matumizi specific kulingana na inapoenda kutumika (host) just because ina react na RNA haimaanishi haiwezi kua affected na kitu kingine. Na ndo maana hata sample zinachukuliwa kwa swab maalum na sio pamba yoyote ile.
Alafu jiulize nchi zilizolalamikia kits zililalamikia low sensitivity ie. Zinatoa negative kwa walio positive, Magufuli analalamikia positive zimekua nyingi hata maramoja hakuhoji zilizotoka negative kwa lugha nyingine hizo kits hazimpi majibu anayotaka. Hiyo ndo basis yake ya kuhoji ubora wa kits.
Kingine, tumepima watu wachache coz tunapima walioonyeshe dalili sasa iweje tena uwe na shida positive kua nyingi wakati unapima walioonyesha dalili za ugonjwa? Am not buying!!
Unaongea kama umefanya research vile, mbona mkononi inaevaporate haraka but ni effective? au unahitaji exposure ya mda gani ambayo kwa kuspray huwezi ku-achieve?
Jamaa hawakuweke hitimisho bali walihoji, na hoja zao ni tatizo kati ya reagents, swabs , mashine au wataalam. kati ya hapo angalau kimoja kinatatizo.Naona you bought the propaganda.
Reajents zinatengenezwa kwa matumizi specific kulingana na inapoenda kutumika (host) just because ina react na RNA haimaanishi haiwezi kua affected na kitu kingine. Na ndo maana hata sample zinachukuliwa kwa swab maalum na sio pamba yoyote ile.
Alafu jiulize nchi zilizolalamikia kits zililalamikia low sensitivity ie. Zinatoa negative kwa walio positive, Magufuli analalamikia positive zimekua nyingi hata maramoja hakuhoji zilizotoka negative kwa lugha nyingine hizo kits hazimpi majibu anayotaka. Hiyo ndo basis yake ya kuhoji ubora wa kits.
Kingine, tumepima watu wachache coz tunapima walioonyeshe dalili sasa iweje tena uwe na shida positive kua nyingi wakati unapima walioonyesha dalili za ugonjwa? Am not buying!!
Kwenye mkono unapuliza au kupaka directly, hivyo kiasi kikubwa kinabaki mkononi, kabla ya kukauka. Unapopuliza hewani yale matone tone yote yanakuwa aerosolized, na ku vaporized at an infinitesimal time.Unaongea kama umefanya research vile, mbona mkononi inaevaporate haraka but ni effective? au unahitaji exposure ya mda gani ambayo kwa kuspray huwezi ku-achieve?
In that case alichokosea ni kupeleka "non applicable samples" ambayo ina discredit experiment nzima. Tatizo kubwa naona ni lack of capacity. Lab ya kupima ni moja zingekua kadhaa angepeleka sample kutoka kwa mtu mmoja maabara hata tatu alafu akalinganisha matokeo lakini kwa vile lab ni moja, na hawawezi kua na uhakika wachukue sample ya nani na watajuaje status yake, wakaona wachukue sample ambazo ni uhakika ni negative.Hapo ndio mnaposhindwa kupata "Concept", ama mnafanya ushabiki au hamuelewi mbachozungumza. Magufuli alipeleka "sample" ambazo hazina Corona, kwa hiyo alitegemea kupata "Negative results", matokeo yake alipata " positives", katika utafiti wake, hawezi kuzungumzia Negative kwa sababu " sample"alizopeleka alitegemea Negative.
"Research question" yake ni very suspect.Hao wengine walifanya tofauti na Magufuli, wao walitumia" samples" ambazo ni positive baada ya kuona watu wengi ambao ni positive wanaonekana hawana virusi. Kila research lazima iwe na lengo" research question ", sasa ulitaka lazima Magufuli afanane na hao wengine hata kama " Concern " yake ni tofauti na wao?.
A week later hakuna kiongozi aliefanya ujinga huo wa kupima papai na fenesi.Jambo muhimu ni kwamba, ameziomba nchi zingine nazo kujaribu kuchunguza kama watapa hilo tatizo, inawezekana tatizo ni wafanyakazi wa maabara hawakuwa makini, badala ya kufuatilia upande wenu ili kujiridhisha, mnaanza kutoa hoja dhahifu za kupinga bila research.
Sent using Jamii Forums mobile app