Corona: Mapungufu na madhahifu ya Magufuli katika Mapambano dhidi ya Corona

Corona: Mapungufu na madhahifu ya Magufuli katika Mapambano dhidi ya Corona

Jamaa hawakuweke hitimisho bali walihoji, na hoja zao ni tatizo kati ya reagents, swabs , mashine au wataalam. kati ya hapo angalau kimoja kinatatizo.

Reagents ku-react na compounds nyingine (mfano oil) inawezekana lakini hata binadamu wanabody chemistry tofauti tofauti. Ndiyo maana watu wengine wanamijasho inanuka hata aoge kila saa, wakati wengine hawanuki kabisa. kuna wanawake ukishafanya nae tendo hata ukioga bado "scent" yake itabaki kwako hata baada ya siku mbili na kuna wengine hawana "scent" kabisa.

Hivyo, kama reagents zitashindwa kufanya kazi, kutokana na aina fulani ya compounds, basi hiyo haifai. Tuchukulie wavuta sigara au wala ugoro, mtu ambaye ni chain smoker anakuwa na particles nyingi sana za moshi mdomoni. Kama swab samples zake zenye nicotine zitazuia reagents kufanya kazi, huoni kuna tatizo kwenye reagents?

Sasa hayo ndiyo maswali Mh. Rais alikuwa anataka watu wajiulize.
Kwenye mkono unapuliza au kupaka directly, hivyo kiasi kikubwa kinabaki mkononi, kabla ya kukauka. Unapopuliza hewani yale matone tone yote yanakuwa aerosolized, na ku vaporized at an infinitesimal time.
Reagents zimetengenezwa baada ya research na tests ya vitu kama hivyo ulivyoongelea, walizingatia yote hayo na wakaja na reagent ambayo ni optimised kwa composition na tabia ya binadam sio papai na mbuzi au oil. Kwaiyo ukitumia sample tofauti na ya binadam utapata false results. Mwana sayansi yeyote anatakiwa awe anfahamu basic info kama hiyo.
 
In that case alichokosea ni kupeleka "non applicable samples" ambayo ina discredit experiment nzima. Tatizo kubwa naona ni lack of capacity. Lab ya kupima ni moja zingekua kadhaa angepeleka sample kutoka kwa mtu mmoja maabara hata tata alafu akalinganisha matokeo lakini kwa vile lab ni moja, na hawawezi kua na uhakika wachukue sample ya nani na watajuaje status yake, wakaona wachukue sample ambazo ni uhakika ni negative.
Kwaiyo tatizo ni Lack of capacity.

"Research question" yake ni very suspect.
Ukiwa unapima watu wenye dalili za covid, you should expect test zote ziwe positive, as matter of fact unatakiwa kua na wasiwasi zaidi na negative ulizopata. Lakini kwetu ni kinyume chake! Something is just not right. Imekaa kisiasa zaidi.

A week later hakuna kiongozi aliefanya ujinga huo wa kupima papai na fenesi.
Sio kweli kuhusu kupeleka " non applicble samples", hivi kwanini wanasayansi huwa wanasema Virusi vya UKIMWI vinaweza kupatikana kwa wanyama aina ya Sokwe mtu lakini hauwezi kuathiri "Domestic animals and birds?', hiyo ni baada ya kuwapima hao wanyama na kugundua kwamba hata baada ya kuwaingiza Virusi vya Ukimwi lakini " Domestic animals and Birds" wanaendelea kuwa "Negative" lakini Sokwe mtu wanaonyesha Positive.

Aina ya sample haihathiri matokeo ya vipimo kwa sababu ili reaction ikamilike lazima kuwepo na Genetic materials ya virus(RNA).

Inaonekana wewe unazungumza kiushabiki zaidi. Magufuli hakufikia 'Conclusion" kwamba tatizo ni " testing kits", yeye amesema lazima uchunguzi ufanyike inawezekana ni " human errors, Sabotage, au testing kits, tayari baadhi ya wahusika waneshawekwa pembeni na jopo la wataalamu limeundwa ili kuchunguza na kupata ukweli, wewe tayari umeshapata majibu yako kwa kutumia kichwa chako kimoja, hapo ndio tofauti ya "Scientific way of solving problems, na hiyo njia yako ya kienyeji na ushabiki.

Baada ya hiki kitendo cha Magufuli kuonyesha hili tatizo, zaidi ya 80% ya watu wenye akili wamempongeza, wakiwemo wanasayansi wa Kenya wanaofanya research huko China, Gavana wa Machakosi, Alfred Mutua ameagiza watumishi wa Afya wafanye kama alivyofanya Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reagents zimetengenezwa baada ya research na tests ya vitu kama hivyo ulivyoongelea, walizingatia yote hayo na wakaja na reagent ambayo ni optimised kwa composition na tabia ya binadam sio papai na mbuzi au oil. Kwaiyo ukitumia sample tofauti na ya binadam utapata false results. Mwana sayansi yeyote anatakiwa awe anfahamu basic info kama hiyo.
Vipi kuhusu watu waliokuwa wamekula papai au fenesi siku ile? Chembe chembe ndogo za papai zilizobaki mdomoni na kuchukuliwa si zitaharibu matokeo? Huoni kuwa hoja yako haina mashiko?
 
Sio kweli kuhusu kupeleka " non applicble samples", hivi kwanini wanasayansi huwa wanasema Virusi vya UKIMWI vinaweza kupatikana kwa wanyama aina ya Sokwe mtu lakini hauwezi kuathiri "Domestic animals and birds?', hiyo ni baada ya kuwapima hao wanyama na kugundua kwamba hata baada ya kuwaingiza Virusi vya Ukimwi lakini " Domestic animals and Birds" wanaendelea kuwa "Negative" lakini Sokwe mtu wanaonyesha Positive.

Aina ya sample haihathiri matokeo ya vipimo kwa sababu ili reaction ikamilike lazima kuwepo na Genetic materials ya virus(RNA).
Ngoja niseme hivi, hawakutumia njia sahihi ya kupima papai, fenesi na oil. Walitakiwa kutumia reagents ambazo ni optimised kwa kupimia sampuli zitokanazo na mimea, oil za gari au hata wanyama wengine.

Inaonekana wewe unazungumza kiushabiki zaidi. Magufuli hakufikia 'Conclusion" kwamba tatizo ni " testing kits", yeye amesema lazima uchunguzi ufanyike inawezekana ni " human errors, Sabotage, au testing kits, tayari baadhi ya wahusika waneshawekwa pembeni na jopo la wataalamu limeundwa ili kuchunguza na kupata ukweli, wewe tayari umeshapata majibu yako kwa kutumia kichwa chako kimoja, hapo ndio tofauti ya "Scientific way of solving problems, na hiyo njia yako ya kienyeji na ushabiki.
human errors kwenye compromised experiment inakujaje?
Sabotage kivipi wakati experiment yako ni wrong from the onset?
Testing kits wakati umetumia reagents zisoendana na sample ulizochukua?
Lazima uanzie experiment sahihi kabla ya juuliza maswali ya design hii.

Baada ya hiki kitendo cha Magufuli kuonyesha hili tatizo, zaidi ya 80% ya watu wenye akili wamempongeza, wakiwemo wanasayansi wa Kenya wanaofanya research huko China, Gavana wa Machakosi, Alfred Mutua ameagiza watumishi wa Afya wafanye kama alivyofanya Magufuli.
Inawezekana ni sitution ya "tell a fool what he wants to hear" ume-consider posibility hiyo? Wiki saivi ishapita ushaskia mwingine katest papai? Viongozi wangapi wamesifia CVO ya Madagascar, wangapi wameagiza? Whos walking the talk?
 
Vipi kuhusu watu waliokuwa wamekula papai au fenesi siku ile? Chembe chembe ndogo za papai zilizobaki mdomoni na kuchukuliwa si zitaharibu matokeo? Huoni kuwa hoja yako haina mashiko?
C'mon hiyo ni very cheap argument! Kwani ni stomach content inapimwa?
Sample zinachukuliwa wapi? Kwanini zinachukuliwa mara mbili? (Up the nostril & back of the throat)
Haya kama oil walichukua kwenye filter na kwenye "sampo". Ya papai walichukua wapi na wapi? Je ya fenesi? Ya mbuzi? Unaona hii experiment ilivyokua compromised from the onset?
 
Ngoja niseme hivi, hawakutumia njia sahihi ya kupima papai, fenesi na oil. Walitakiwa kutumia reagents ambazo ni optimised kwa kupimia sampuli zitokanazo na mimea, oil za gari au hata wanyama wengine.


human errors kwenye compromised experiment inakujaje?
Sabotage kivipi wakati experiment yako ni wrong from the onset?
Testing kits wakati umetumia reagents zisoendana na sample ulizochukua?
Lazima uanzie experiment sahihi kabla ya juuliza maswali ya design hii.


Inawezekana ni sitution ya "tell a fool what he wants to hear" ume-consider posibility hiyo? Wiki saivi ishapita ushaskia mwingine katest papai? Viongozi wangapi wamesifia CVO ya Madagascar, wangapi wameagiza? Whos walking the talk?
Kwa hiyo hao international recognised researchers ealiosifia hiyo hatua hawajui kitu, ila wewe ndiye unayejua zaidi?.

Hivi ukichukua vipande vidogo vya chuma na kuvitumbukiza katika juice ya papai au ndani ya damu ya Mbuzi, kisha ukatumbukiza kipande cha sumaku (Magnet) hakutatokea "attraction" kwa sababu ya mazingira tofauti?.

Kama umesoma sayansi, hakuna tofauti yoyote inayoweza kuleta athari, kitu muhimu ni ukusanyaji, usafirishaji na uandaaji wa "sample" na upimaji, ndivyo vinavyoathiri matokeo, haijalishi sample imetoka wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo hao international recognised researchers ealiosifia hiyo hatua hawajui kitu, ila wewe ndiye unayejua zaidi?.

Hivi ukichukua vipande vidogo vya chuma na kuvitumbukiza katika juice ya papai au ndani ya damu ya Mbuzi, kisha ukatumbukiza kipande cha sumaku (Magnet) hakutatokea "attraction" kwa sababu ya mazingira tofauti?.
Juice ya papai na vipande vya chuma, really? Hii inaitwa pedestrian thinking.
Mi nawaza mfano kama kuonja chumvi kwenye solution ya maji. Alafu ongeza sukari kwenye hiyo solution alafu onja tena chumvi.

Kama umesoma sayansi, hakuna tofauti yoyote inayoweza kuleta athari, kitu muhimu ni ukusanyaji, usafirishaji na uandaaji wa "sample" na upimaji, ndivyo vinavyoathiri matokeo, haijalishi sample imetoka wapi.
Inachekesha kwamba unaongelea ukusanyaji, usafirishaji na uandaaji wa sample kutetea hoja yako! Hizo hatua zote ulizotaja kuna risk ya contamination, moja wapo ya contaminants ni pamoja na virus yenyewe na chemicals zingine ambazo hazikua anticipated kama oil ya gari na juice ya papai. Kuiweka kwa makusudi haifanyi isiwe contaminant. Its pure commonsense!
 
Waafrika tunafanya kosa kubwa sana kuhusisha dawa za kitaalamu zinazotumika Hospitalini na wazungu, hizi sio dawa za wazungu ila ni dawa za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti na watu wote wakiwemo wachina na wajapan japo wazungu ni wengi waliochangia na ndio waliozileta huku Africa kwa Mara ya kwanza.

Tofauti na hizi dawa zetu za asili ambazo Magufuli anazipigie debe ni kwamba hazifanyiwi utafiti wa kina, tunazitumia kienyeji mno, nilitegemea angeimarisha vitengo vya utafiti wa dawa zetu za asili ili ziweze kufanyiwa utafiti na kuboreshwa kabla ya kuzipigia debe.

Kwa kifupi Magufuli PhD yake, tena ya Sayansi haijamsaidia sana kumtoa katika mawazo ya kubahatisha maisha kwa kutegemea nguvu za kinadharia ambazo hazijathibitishwa ki-sayansi, kumbuka tupo katika karne ya sayansi na Teknolojia.

Kitendo cha Magufuli kwenda Loliondo na kushiriki kunywa kikombe cha babu ilikua dalili tosha ya kudhihirisha Mapungufu ya Magufuli katika eneo hilo la kuamini mambo ya hovyo.

Rais ni kiongozi wa nchi ambayo haina dini, kuna raia wenye kuamini dini na wasioamini dini, ni kosa kubwa kwa rais kusisitiza na kutenga siku maalumu za kumuomba Mungu, kazi ya kutangaza Mungu na dini angepaswa kuwaachia viongozi wa dini, mbona viongozi wa dini wanapozungumza siasa, Serikali inakataza na kusema wasichanganye dini na siasa, vipi yeye anachanganya uongozi na dini?.

Yeye lazima ajifunze kutofautisha imani yake na uongozi wa nchi, kuna watu ambao hawaamini Mungu, ukitaja Mungu wanasikia kichefuchefu, lakini katiba inawapa haki ya kutobughudhiwa, vipi rais anakuwa chanzo cha kuwabughudhi kwa kutajataja Mungu kila Mara?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hujui dawa zote za Hospitali zinatengenezwa na mimea ambayo sie washamba tunaita mitishamba, pia hujui Tanzania inatengeneza Aspirin, Chloroquine na Kwinini ya mitishamba, pia hujui TZ inafanya utafiti wa dawa zake zote za asili zinazouzwa na waganga wa asili. Uko nyuma kujua yote haya.

Unafikiri Afrika haina uwezo wa kutengeneza dawa? Tulitumia nini kabla ya ukoloni? Jifunze kwanza.
 
Sasa kama wanakufa ulitaka nifanyeje?, wacha ujinga na uanze kujadili mada husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mada husika ni utoto mtupu na sera ya magufulu ni kijufukiza. kanunue matawi yako uingie jikoni!!!
ohn Pambalu

@JPambalu


Kuna wabunge ukimsikiliza tu ama kutazama vituko vyake utajua tu this is CCM material. Mbunge mwingine naye ajitokeza akionyesha umahiri wake katika kupikwa NYUNGU/Kujifukiza. Mtawafanya wengi wapuuze kuchukua tahadhari kuhusu Corona wakiamini Kujifukiza kumbe haijathibitishwa
Translate Tweet


Image

12:54 PM · May 1, 2020·Twitter for Android
 
Uzi ulikua mzuri until we kichaa ulipoingia, always mijadala inayohusu watanzania peke yao huwa na mantiki ya hali ya juu

Kuanzia lugha ya staha
Ukomavu wa hoja
Utimamu wa mantiki
Utulivu wa mawazo
Uzingatiaji wa kitovu
Urari wa michango
Uzalendo wa kijamaa
Bashasha za kiungwana
Mtiririko wa kimaadili

Ila wakenya wakiingia sasa! 😑
Ni kama disko kaingia mmang'ati na sime, vurugu, mizaa, uduanzi, utaahira, matapishi, kinyesi, jasho, miozo, minuko, harufu, shuruba, karaha na hadaha za kila namna, ziwe katika mfumo wa Kiswahili au English takataka ni takataka tu.

Wakenya mjifunze kujadili kama watanzania.
kujadiliana nini na mtz, anaishi bubble la uongo na uhaba wa habari au ni ujinga tu!!


Talanta Mhanga

@MhangaTalanta


Haya ndio matokeo ya chai ya Ikulu , sijui hawa watu huwa Wana patwa na nini? Wakienda ikulu. Ndio maana Mimi Ile clip ya gwajiboy , akila kondoo wake siku mtetea nilijua tuu ndio tabia yake.
@VitusNkuna

@JPambalu

@Twaha_Mwaipaya

@franklin_tissa

@MariaSTsehai

@fatma_karume
Translate Tweet

 
Back
Top Bottom