Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuanzia mwanzo ulikua unalilia lockdown mpaka sasa umeshafeli vibaya maana chuma kimekaza. pole sana mzee kama ulitaka lockdown ukaenjoy na shemeji vizuri ushafeli vibaya mno unataka lockdown unauwezo wa kuwalisha wa tz 50m unaona wenzako uganda na lockdown bado watu wanapata corona na mpka M7 anawapangia kula gram 60 kwa siku sababu hamna msosiHakuna lolote mkuu. Zanzibar je siyo kisiwa?
New Zealand wanaondoa lockdown sasa shughuli zote zinarejea rasmi. Mipaka bado inaendelea kufungwa. International flights zote zinaendelea kusimama.
Kwetu hukumwona Kigwangala akihanja hanja airport kupokea dege la kimataifa hali Corona bado ipo huru na bwerere?
Tusimlaumu dobi mkuu, kaniki mbona ni rangi yake? Mkuu hata ingekuwa je hali yetu ingekuwa hii hii tu.
Tuko kama tumerogwa au kupagawa hivi.
Nimegundua kwanin kwenye ukoo muangea pumba upenda kulukia lukia kila madaa
Ali implement WHO recommendation on combating the spread of coronavirus! It is no miracle! Just Science!
kuanzia mwanzo ulikua unalilia lockdown mpaka sasa umeshafeli vibaya maana chuma kimekaza. pole sana mzee kama ulitaka lockdown ukaenjoy na shemeji vizuri ushafeli vibaya mno unataka lockdown unauwezo wa kuwalisha wa tz 50m unaona wenzako uganda na lockdown bado watu wanapata corona na mpka M7 anawapangia kula gram 60 kwa siku sababu hamna msosi