Corona ni futa ukijifukiza linapasuka, akili za kijinga zilizopandikizwa kwa watanzania

Corona ni futa ukijifukiza linapasuka, akili za kijinga zilizopandikizwa kwa watanzania

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
kama sikosei hii kauli aliizungumza cyprian mulaga musiba, wakati ule taifa linapinga katakata uingizaji wa chanjo kwa amri kutoka juu,

watu wengi waliamini katika hili lakini kiuhalisia iyo ilikua ni elimu ya kijinga inayopanddikizwa kwa watanzania na matokeo yake ni haya tunayaona leo, watanzania wamegomea kata kata kuchanjwa chanjo sababu kubwa ni kwamba fulani alikataa

sasahivi zinapandikizwa akili nyingine kwamba chanjo ni mpango wa kutupunguza duniani

hii ni hatari kwa usalama wa nchi, korona ya sasaivi inafyeka kimya kimya

mkitaka kujua chanjo inaufanisi hebu fatilieni takwimu ni watu wangapi wanakufa kwa kovid huko duniani ukilinganisha na siku za nyuma?

narudia tena fateni ushauri wa wataalamu mtakufa kijinga,
vaccine inakuongezea kinga mwili ya kupambana na kirusi,

au labda mnaopinga hii chanjo tunaombeni njia nyingine mbadala ya kumaliza hili gonjwa


over
 
Watu wanataka kujua iwapo hiyo kinga haina madhara, sawa!??? Punguza hekaheka za bure!!!
 
Kuchanjwa Ni Hiari
Serikali Isambaze Johnson And Johnson Mpango Wa Covax
Halafu Watu Wataamua Wenyewe Kuchanjwa Ama Laa !


Tuepuke Kauli Tata Kama Kulazimisha Watu 😂😁😀😀😃😂
 
Acha ngebe na ujinga!
.
Beba ukoo wako mkachanjwe mtulie kimya! Usitupigie makelele sisi!
 
IMG_20210731_161708.jpg
 
wameshaambiwa haina madhara kazi ni kwao kuthibitisha kwamba ina madhara
Hiari haihimizwi. Chanjo imeletwa, ni hiari yangu kwenda kuchanja au kutoenda.

Chema chajiuza na kibaya kinajitembeza. Ukiona kinajitembeza, jiulize maswali na tafuta majibu kwa umakini wa hali ya juu.
 
kama sikosei hii kauli aliizungumza cyprian mulaga musiba, wakati ule taifa linapinga katakata uingizaji wa chanjo kwa amri kutoka juu,

watu wengi waliamini katika hili lakini kiuhalisia iyo ilikua ni elimu ya kijinga inayopanddikizwa kwa watanzania na matokeo yake ni haya tunayaona leo, watanzania wamegomea kata kata kuchanjwa chanjo sababu kubwa ni kwamba fulani alikataa

sasahivi zinapandikizwa akili nyingine kwamba chanjo ni mpango wa kutupunguza duniani

hii ni hatari kwa usalama wa nchi, korona ya sasaivi inafyeka kimya kimya

mkitaka kujua chanjo inaufanisi hebu fatilieni takwimu ni watu wangapi wanakufa kwa kovid huko duniani ukilinganisha na siku za nyuma?

narudia tena fateni ushauri wa wataalamu mtakufa kijinga,
vaccine inakuongezea kinga mwili ya kupambana na kirusi,

au labda mnaopinga hii chanjo tunaombeni njia nyingine mbadala ya kumaliza hili gonjwa


over
Kasome report ya CDC juu ya Chanjo na corona.

Wameitoa leo.
 
wameshaambiwa haina madhara kazi ni kwao kuthibitisha kwamba ina madhara
Aiseeee!!! ^Wameshaambiwa^!???

Hoja za Bi Mkubwa:
1. Mimi ni mama
2. Mimi ni mwanamke
3. Mimi ni mama wa familia
4. Mimi ni bibi wa wajukuu kadhaa
5. Mimi ni kiongozi na mkuu wa nchi na rais
6. Mimi ni amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya JMT
7. Nilishawahi kupewa chanjo nikiwa mdogo
8. Tuwaonee huruma ambao wamekumbwa na kuguswa na janga la korona

Kwa hiyo, chanjo ya Johnson & Johnson ni salama kabisa!!! 🙂 🙂 🙂
 
Magu aliwahi kusema barakoa inafanana na titi la mwanamke lililokatwa. wajinga walikuwa na kiongozi wak
 
Back
Top Bottom