#COVID19 Corona ni siasa: Mama Samia kuwa nayo makini

#COVID19 Corona ni siasa: Mama Samia kuwa nayo makini

Benson Mramba

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
648
Reaction score
1,485
Mwaka jana 2020 tuliona Corona ilivyowasumbua marais wengi duniani kisiasa. Championi wa Corona alikuwa Donald Trump's na Dr Magufuli.

Trump alipoteza Urais baada ya wapinzani kumzidi nguvu kuhusu Corona. Dr Magufuli aliwashinda wapinzani katika mapambano ya siasa ya Corona leo Mbowe hata barakoa havai na mikusanyiko kwake ni kawaida tu.

Sasa naona siasa kati ya Askofu Gwajima na sisi wafuasi wake KIMTAZAMO kuhusu Corona dhidi ya Mama na wafuasi wake.

Tuone tutaendaje mbele.
 
Mama hawajui vizuri Watanzania, wale wale waliompa JK ushindi wa ya 80& ndo haohao walimkataa yeye na chama chake Magufuli akakiokoa mdomoni mwa Simba.

Kujitenga na msimamo wa JPM ni kujitenga na CCM mpya iliyozaliwa na Magufuli,na kurudisha CCM ya Kikwete.

2025 majibu yatatoka.
 
Mama hawajui vizuri Watanzania,wale wale waliompa JK ushindi wa ya 80& ndo haohao walimkataa yeye na chama chake Magufuli akakiokoa mdomoni mwa Simba.

Kujitenga na msimamo wa JPM ni kujitenga na CCM mpya iliyozaliwa na Magufuli,na kurudisha CCM ya Kikwete.
2025 majibu yatatoka.
Tunasikia JPM alikuwa kichaa,sijui ni kweli au ni siasa tu. Ila kwa vituko vyake atakuwa kweli alikuwa na shida kwenye akili zake.
 
Makampuni ya mabeberu yaliingia kichwa kichwa kuchukua dili la chanjo za korona bila kuitisha kongamano la wataalamu wa tiba na wanasayansi duniani kufanya debate na ku-present data za majaribio kwa wanyama hasa kuhusu teknolojia mpya ya mRNA ya kuzalisha chanjo....tamaa ilimshinda fisi. Hata teknolojia ya kutumia nano-particles/molecules kama delivery mechanism ya dawa na chanjo katika mwili wa binadamu sidhani na yenyewe imeshafanyiwa majaribio ya kuridhisha.....
 
Mwaka jana 2020 tuliona Corona ilivyowasumbua marais wengi duniani kisiasa. Championi wa Corona alikuwa Donald Trump's na Dr Magufuli.

Trump alipoteza Urais baada ya wapinzani kumzidi nguvu kuhusu Corona. Dr Magufuli aliwashinda wapinzani katika mapambano ya siasa ya Corona leo Mbowe hata barakoa havai na mikusanyiko kwake ni kawaida tu.

Sasa naona siasa kati ya Askofu Gwajima na sisi wafuasi wake KIMTAZAMO kuhusu Corona dhidi ya Mama na wafuasi wake.

Tuone tutaendaje mbele
Wewe ni mpuuzi Na ni mwendawazimu! Mbowe anaingiaje hapa? Jenga hoja yako acha upuuzi
 
Makampuni ya mabeberu yaliingia kichwa kichwa kuchukua dili la chanjo za korona bila kuitisha kongamano la wataalamu wa tiba na wanasayansi duniani kufanya debate na ku-present data za majaribio kwa wanyama hasa kuhusu teknolojia mpya ya mRNA ya kuzalisha chanjo....tamaa ilimshinda fisi. Hata teknolojia ya kutumia nano-particles/molecules kama delivery mechanism ya dawa na chanjo sidhani na yenyewe imeshafanyiwa majaribio ya kuridhisha.....
Hizo chanjo 1m.watakaa nazo mpaka watatafuta namna ya kumhadaa mzungu kwamba zilishatumika.
 
Tunasikia JPM alikuwa kichaa,sijui ni kweli au ni siasa tu. Ila kwa vituko vyake atakuwa kweli alikuwa na shida kwenye akili zake.
Ila Tanzania bwana😂, huenda hapo ulipo huna lolote la maana na pengine labda hata kwenye ukoo wako ni mtu unaetumwa kunawisha watu mikono wakati wa vikao, ila upo hapa kuandika ukichaa wa mtu ambae mpaka unakufa huwezi kuingilia legacy yake.

Kwa level kubwa aliyokuwa amefikia ndani ya hilo Taifa,kamakweli alikuwa na kichaa Basi wewe ni Tutusa,kiazi,tahira,mavi kabisa.
 
Mwaka jana 2020 tuliona Corona ilivyowasumbua marais wengi duniani kisiasa. Championi wa Corona alikuwa Donald Trump's na Dr Magufuli.

Trump alipoteza Urais baada ya wapinzani kumzidi nguvu kuhusu Corona. Dr Magufuli aliwashinda wapinzani katika mapambano ya siasa ya Corona leo Mbowe hata barakoa havai na mikusanyiko kwake ni kawaida tu.

Sasa naona siasa kati ya Askofu Gwajima na sisi wafuasi wake KIMTAZAMO kuhusu Corona dhidi ya Mama na wafuasi wake.

Tuone tutaendaje mbele.

ICU Dar, za hospitali kubwa zote zimejaa wagonjwa wa Covid 19, kiasi kwamba sasa hivi wagonjwa waliostahili kuwa ICU wanawekwa wodi za kawaida. Hali ni hiyo hiyo kwenye hospitali za rufaa za Mbeya, KCMC na Bugando.

Idadi ya wanaofariki kwa Covid 19 inazidi kupaa, halafu wewe kwa ujinga tu unasema eti Covid 19 ni siasa. Tuna watu wanaojua tu kusoma, kuandika na kuhesabu, lakini obervation, analysis ni zero.
 
Hata ukimwi, maralia na TB ni siasa, hakuna kitu kinachogusa maisha ya mwanadamu ambacho hakina siasa. Una ushauri mwingine ?🐒
 
Mama hawajui vizuri Watanzania, wale wale waliompa JK ushindi wa ya 80& ndo haohao walimkataa yeye na chama chake Magufuli akakiokoa mdomoni mwa Simba.

Kujitenga na msimamo wa JPM ni kujitenga na CCM mpya iliyozaliwa na Magufuli,na kurudisha CCM ya Kikwete.

2025 majibu yatatoka.
Aisee, inamaana ccm ijiandae kukabidhi ikulu 2025 yaani. Kazi ipo.
 
ICU Dar, za hospitali kubwa zote zimejaa wagonjwa wa Covid 19, kiasi kwamba sasa hivi wagonjwa waliostahili kuwa ICU wanawekwa wodi za kawaida. Hali ni hiyo hiyo kwenye hospitali za rufaa za Mbeya, KCMC na Bugando.

Idadi ya wanaofariki kwa Covid 19 inazidi kupaa, halafu wewe kwa ujinga tu unasema eti Covid 19 ni siasa. Tuna watu wanaojua tu kusoma, kuandika na kuhesabu, lakini obervation, analysis ni zero.
Unaongelea Bugando ya wapi? Acheni kupotosha watu!
 
ICU Dar, za hospitali kubwa zote zimejaa wagonjwa wa Covid 19, kiasi kwamba sasa hivi wagonjwa waliostahili kuwa ICU wanawekwa wodi za kawaida. Hali ni hiyo hiyo kwenye hospitali za rufaa za Mbeya, KCMC na Bugando.

Idadi ya wanaofariki kwa Covid 19 inazidi kupaa, halafu wewe kwa ujinga tu unasema eti Covid 19 ni siasa. Tuna watu wanaojua tu kusoma, kuandika na kuhesabu, lakini obervation, analysis ni zero.
Huyo kibaka ana akili za kwendea chooni na kuvukia barabara tu si zaidi ya hapo.
 
Back
Top Bottom