CORONA: Nimempenda sana huyu Mkenya amechoma Sindano ya moto kwa wanasiasa (viongozi) wa Africa katika hii Video

CORONA: Nimempenda sana huyu Mkenya amechoma Sindano ya moto kwa wanasiasa (viongozi) wa Africa katika hii Video

Ndio wale wale, yeye ni kiongozi sio Mkenya wa kawaida, hana jipya huyo. Ni kama haya maneno yatamkwe na Makonda. Maneno matamu ya kisiasa tu, sema ana point nzuri.
Mkuu anaitwa nani huyu?
 
Back
Top Bottom