CORONA: Nimempenda sana huyu Mkenya amechoma Sindano ya moto kwa wanasiasa (viongozi) wa Africa katika hii Video

Ndio wale wale, yeye ni kiongozi sio Mkenya wa kawaida, hana jipya huyo. Ni kama haya maneno yatamkwe na Makonda. Maneno matamu ya kisiasa tu, sema ana point nzuri.
Mkuu anaitwa nani huyu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…