Corona: Somalia nayo yajibu mapigo, yafuta vibali vya baadhi ya ndege za Kenya kuingia Somalia

Corona: Somalia nayo yajibu mapigo, yafuta vibali vya baadhi ya ndege za Kenya kuingia Somalia

Majirani pasua kichwa hawana maana yoyote bora hata wasiwepo!

Mie ni mtz lakini nasema hv, Tz inafanya magumashi kwenye ishu ya korona, ni lazima jirani yoyote makini awe makini!
Kwan una ndugu yako yeyote aliepatwa na korona au jirani
 
Usiposema hayo magumashi yanayofanyika,basi maneno yako ndo yatakua magumashi.
Mzee kila siku television zinatangaza namna ya kuchukua tahadhari na kujilinda na corona,radio zinatangaza,magazeti hadi ya udaku yanaandika,makampuni ya simu yanatuma ujumbe wa namna ya kujilinda,we hufuatilii,hutembea hata na kitakasa mikono,huvai barakoa,kutwa nzima wazunguka hata katika mambo yasiyo kuwa ya muhimu,unategemea nini hapo.
Hebu fuata maelekezo unayopewa.
Haya mengine yta vifo na nini hutokea tu kwa sababu hata WHO na wanasayansi wanakiri huu ugonjwa unachanganya akili na bado haueleweki.
Chukua tahadhari unazoelekezwa.
Siyo mtz Huyo...Ni imposter
 
Majirani pasua kichwa hawana maana yoyote bora hata wasiwepo!

Mie ni mtz lakini nasema hv, Tz inafanya magumashi kwenye ishu ya korona, ni lazima jirani yoyote makini awe makini!
Ndiyo maana unawapenda wazazi wa marafiki zako zaidi ya wazazi wako.
 
ha ha ha... LDC nations threatening us now???
Middle income ana ndege ambazo kazi yake kubwa ni kusambaza mirungi, ni aheri muanze kama taifa kuuza cocaine ili mpate pesa za kutosha.
 
inajijua yenyewe namna ilivyoingia...kawaulize vzr wanaokutuma.
Huna tofauti na Mwanamke Malaya aliyeolewa tena kwa ndoa,lakini kwa Umalaya wake bado anatamani amiliki Dushelele za waume wa majirani zake mwisho wa siku wanampasua kizazi.Ndiyo wewe bwege.Hamia kwao
 
Back
Top Bottom