Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Kwan una ndugu yako yeyote aliepatwa na korona au jiraniMajirani pasua kichwa hawana maana yoyote bora hata wasiwepo!
Mie ni mtz lakini nasema hv, Tz inafanya magumashi kwenye ishu ya korona, ni lazima jirani yoyote makini awe makini!
kamuulize mamako, mbona anamjua vzr.huyo mtz aliyekupa mimba alikwambia anatokea mkoa gani!!!!
Kwa kiswahili hiki. Nzige kula mazao yenu ni halali. Impact utaijua unga utakapopanda bei huko kwenuinajijua yenyewe namna ilivyoingia...kawaulize vzr wanaokutuma.
Hili ndio tatizo la pesa za masharti ni kama kuoa au kuolewa.Unafikiri watafanyaje na pesa za IMF za kupambana na Corona walishavuta?
Lazima kelele ziwe mobu kuonyesha wanafanyia kitu hizo pesa.
Hawa watu tuliwalea. Hata parliament yao ya kwanza ilikuwa na vikao vyake Kenya kwa sababu ya usalama. Ni vituko tu. 😀😀Rais wa Somalia alishaondoka Kenya?
Roho chafu hii ni ya nini?Ethiopia wawasaidie kuzidungua..wakijifanya vichwa ngumu
Nyie si nyoka..dawa yenu kuwagonga vichwaRoho chafu hii ni ya nini?
Siyo mtz Huyo...Ni imposterUsiposema hayo magumashi yanayofanyika,basi maneno yako ndo yatakua magumashi.
Mzee kila siku television zinatangaza namna ya kuchukua tahadhari na kujilinda na corona,radio zinatangaza,magazeti hadi ya udaku yanaandika,makampuni ya simu yanatuma ujumbe wa namna ya kujilinda,we hufuatilii,hutembea hata na kitakasa mikono,huvai barakoa,kutwa nzima wazunguka hata katika mambo yasiyo kuwa ya muhimu,unategemea nini hapo.
Hebu fuata maelekezo unayopewa.
Haya mengine yta vifo na nini hutokea tu kwa sababu hata WHO na wanasayansi wanakiri huu ugonjwa unachanganya akili na bado haueleweki.
Chukua tahadhari unazoelekezwa.
Ndiyo maana unawapenda wazazi wa marafiki zako zaidi ya wazazi wako.Majirani pasua kichwa hawana maana yoyote bora hata wasiwepo!
Mie ni mtz lakini nasema hv, Tz inafanya magumashi kwenye ishu ya korona, ni lazima jirani yoyote makini awe makini!
siendekezi ujinga kwa kivuli cha uzalendoNdiyo maana unawapenda wazazi wa marafiki zako zaidi ya wazazi wako.
Ur an impostersiendekezi ujinga kwa kivuli cha uzalendo
Middle income ana ndege ambazo kazi yake kubwa ni kusambaza mirungi, ni aheri muanze kama taifa kuuza cocaine ili mpate pesa za kutosha.ha ha ha... LDC nations threatening us now???
kaza kamba mlingoti usimameMiddle income ana ndege ambazo kazi yake kubwa ni kusambaza mirungi, ni aheri muanze kama taifa kuuza cocaine ili mpate pesa za kutosha.
Huna tofauti na Mwanamke Malaya aliyeolewa tena kwa ndoa,lakini kwa Umalaya wake bado anatamani amiliki Dushelele za waume wa majirani zake mwisho wa siku wanampasua kizazi.Ndiyo wewe bwege.Hamia kwaoinajijua yenyewe namna ilivyoingia...kawaulize vzr wanaokutuma.