Hali ni mbaya sana Sudani Kusini kuhusiana na huu ugonjwa. Kama ilivyokuwa kwetu na kugongelewa vilivyo na Mh. Makonda: "Watu huko wanapukutika kweli kweli." Hii siyo siri ya kuficha tena.
Ndani ya mwezi mmoja tu hali iko hivi:
Horror as South Sudan Loses 35 Generals, Senior Officials in one Month
Sembuse kina ka*amba nani wa huko?
Kama ilivyo ada, wale wenye kubarikiwa mioyo ya ajabu hakuna kinachoweza kuwastua. Lakini ni wazi kuwa hali hizi si za kawaida.
Kwa vile stage hii tulishakuwemo na hatimaye kuipita salama, ni wazi kuwa tunao uzoefu wa kugawana na hawa wenzetu. Hawa ni wa matumbi tu na ndugu zetu wa damu.
Kutoa ni moyo si utajiri.
Tungeweza kuwakaribisha wagonjwa wao ili kuwapigisha nyungu vilivyo. Ikibidi, tungeweza kuwazukia huko huko juu kwa juu na kwenda kuwafanzia yale mambo yetu.
Kuwatelekeza wenzetu katikati ya janga kama hivi wakati sisi dawa tunayo haitakuwa sawa. Tukumbuke kuwa japo tulikuja kuwa na mashaka, Madagascar walikuwa tayari kutusaidia dawa iliyokuwa imethibitishwa vilivyo.
Mungu ibariki Afrika.
Ndani ya mwezi mmoja tu hali iko hivi:
Horror as South Sudan Loses 35 Generals, Senior Officials in one Month
Sembuse kina ka*amba nani wa huko?
Kama ilivyo ada, wale wenye kubarikiwa mioyo ya ajabu hakuna kinachoweza kuwastua. Lakini ni wazi kuwa hali hizi si za kawaida.
Kwa vile stage hii tulishakuwemo na hatimaye kuipita salama, ni wazi kuwa tunao uzoefu wa kugawana na hawa wenzetu. Hawa ni wa matumbi tu na ndugu zetu wa damu.
Kutoa ni moyo si utajiri.
Tungeweza kuwakaribisha wagonjwa wao ili kuwapigisha nyungu vilivyo. Ikibidi, tungeweza kuwazukia huko huko juu kwa juu na kwenda kuwafanzia yale mambo yetu.
Kuwatelekeza wenzetu katikati ya janga kama hivi wakati sisi dawa tunayo haitakuwa sawa. Tukumbuke kuwa japo tulikuja kuwa na mashaka, Madagascar walikuwa tayari kutusaidia dawa iliyokuwa imethibitishwa vilivyo.
Mungu ibariki Afrika.