Corona; Tanzania wagonjwa waongezeka kufikia 22

Corona; Tanzania wagonjwa waongezeka kufikia 22

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imetangaza kupata wagonjwa 2 wenye maambukizi ya Corona, hivyo kufanya jumla ya wagonjwa visiwani humo kufikia 7 hivyo jumla ya wagonjwa Tanzania kufikia 22.

Hii ni list ya maambukizi katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki hadi kufika SAA moja usiku Leo.

1) Kenya 142
2)Rwanda 102
3)Uganda 48
4)Tanzania 22
5)Burundi. 3
6)South Sudan 0

Mapambano yanaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imetangaza kupata wagonjwa 2 wenye maambukizi ya Corona, hivyo kufanya jumla ya wagonjwa visiwani humo kufikia 7 hivyo jumla ya wagonjwa Tanzania kufikia 22.

Hii ni list ya maambukizi katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki hadi kufika SAA moja usiku Leo.

1) Kenya 142
2)Rwanda 102
3)Uganda 48
4)Tanzania 22
5)Burundi. 3
6)South Sudan 0

Mapambano yanaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya mna wivu sana na Tz
 
Tz si watatu wamerecover ?
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imetangaza kupata wagonjwa 2 wenye maambukizi ya Corona, hivyo kufanya jumla ya wagonjwa visiwani humo kufikia 7 hivyo jumla ya wagonjwa Tanzania kufikia 22.

Hii ni list ya maambukizi katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki hadi kufika SAA moja usiku Leo.

1) Kenya 142
2)Rwanda 102
3)Uganda 48
4)Tanzania 22
5)Burundi. 3
6)South Sudan 0

Mapambano yanaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imetangaza kupata wagonjwa 2 wenye maambukizi ya Corona, hivyo kufanya jumla ya wagonjwa visiwani humo kufikia 7 hivyo jumla ya wagonjwa Tanzania kufikia 22.

Hii ni list ya maambukizi katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki hadi kufika SAA moja usiku Leo.

1) Kenya 142
2)Rwanda 102
3)Uganda 48
4)Tanzania 22
5)Burundi. 3
6)South Sudan 0

Mapambano yanaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ushindi ni lazima!
 
Tz si watatu wamerecover ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima utaje watu wote walioambukizwa hata kama amepona, ndio sababu linatumika neno " maambukizi", kumbuka kila mtu mmoja mwenye maambukizi nyuma yake kuna watu watano, kwahiyo ukitaja idadi ya maambukizi hata kama amepona, maana yake unazidisha kwa tano ili kupata " possible number of infections in the country ".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom