Corona; Tanzania wagonjwa waongezeka kufikia 22

Corona; Tanzania wagonjwa waongezeka kufikia 22

Serikali ya mapinduzi Zanzibar imetangaza kupata wagonjwa 2 wenye maambukizi ya Corona, hivyo kufanya jumla ya wagonjwa visiwani humo kufikia 7 hivyo jumla ya wagonjwa Tanzania kufikia 22.

Hii ni list ya maambukizi katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki hadi kufika SAA moja usiku Leo.

1) Kenya 142
2)Rwanda 102
3)Uganda 48
4)Tanzania 22
5)Burundi. 3
6)South Sudan 0

Mapambano yanaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
How come the poorest countries have the smallest numbers? I smell a rat. I think some countries don't have the capacity to test many people hence cases are being grossly underreported.
 
Kenya c ndio wanaotuongoza kwa kilakitu ndio maana hata korona wanaongoza
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imetangaza kupata wagonjwa 2 wenye maambukizi ya Corona, hivyo kufanya jumla ya wagonjwa visiwani humo kufikia 7 hivyo jumla ya wagonjwa Tanzania kufikia 22.

Hii ni list ya maambukizi katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki hadi kufika SAA moja usiku Leo.

1) Kenya 142
2)Rwanda 102
3)Uganda 48
4)Tanzania 22
5)Burundi. 3
6)South Sudan 0

Mapambano yanaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
How come the poorest countries have the smallest numbers? I smell a rat. I think some countries don't have the capacity to test many people hence cases are being grossly underreported.
Hahahaha, that is how failed mind think when it fails to find solutions for its problems.
Look here; in Europe Spain is among the poorest Nation. Japan is the 3rd richest Nation, but has the lowest number.

Do not look for excuses the same way you used when you failed to fight tribalism and Corruption.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naongezea picha hiyo
IMG-20200405-WA0002.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, that is how failed mind think when it fails to find solutions for its problems.
Look here; in Europe Spain is among the poorest Nation. Japan is the 3rd richest Nation, but has the lowest number.

Do not look for excuses the same way you used when you failed to fight tribalism and Corruption.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anyone who thinks Spain is among the poorest countries in Europe needs to go back to school. I'm not wasting my time arguing with him.
 
How come the poorest countries have the smallest numbers? I smell a rat. I think some countries don't have the capacity to test many people hence cases are being grossly underreported.

In which case, by now we could have had unbelievable numbers of sick people in our medical facilities, right? a very simple exercise in logic.

You cant hide such a disease.
 
Back
Top Bottom