NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
How come the poorest countries have the smallest numbers? I smell a rat. I think some countries don't have the capacity to test many people hence cases are being grossly underreported.Serikali ya mapinduzi Zanzibar imetangaza kupata wagonjwa 2 wenye maambukizi ya Corona, hivyo kufanya jumla ya wagonjwa visiwani humo kufikia 7 hivyo jumla ya wagonjwa Tanzania kufikia 22.
Hii ni list ya maambukizi katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki hadi kufika SAA moja usiku Leo.
1) Kenya 142
2)Rwanda 102
3)Uganda 48
4)Tanzania 22
5)Burundi. 3
6)South Sudan 0
Mapambano yanaendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app