#COVID19 CORONA toka India, tuchukue tahadhari kubwa!

#COVID19 CORONA toka India, tuchukue tahadhari kubwa!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Kumbumbu zangu zinasema CORONA iliingia kwa nguvu toka India mwaka jana, baada ya kuwepo tamasha la Diwali lililoalika watu toka India kwa wingi.

Tanzania na India tuna mahusiano makubwa ya kibiashara na watu wengi huja na wengine kwenda India.

Sasa hivi gonjwa la covid linatesa huko India.

Tunaomba serikali kuchukua tahadhari za makusudi ili kuzuia maambukizi kuingia nchini kwa wingi.
 
Mipaka iko wazi watakuja tu wahindi. Muhimu tuendelee kuchukua tahadhari kubwa. Naona tumejiachia kama vile Korona imeisha. Bado ipo japo siyo kwa wingi kama Jan mpaka March.
 
Kumbumbu zangu zinasema CORONA iliingia kwa nguvu toka India mwaka jana, baada ya kuwepo tamasha la Diwali lililoalika watu toka India kwa wingi.

Tanzania na India tuna mahusiano makubwa ya kibiashara na watu wengi huja na wengine kwenda India.

Sasa hivi gonjwa la covid linatesa huko India.

Tunaomba serikali kuchukua tahadhari za makusudi ili kuzuia maambukizi kuingia nchini kwa wingi.
Wahindi walikuwa na sherehe zao za kila mwaka huwa wanakutana karibu nchi nzima wakifanya matambiko na mwezi wa NNE mwanzoni walifanya licha ya covid sasa manalia tu
 
Mipaka iko wazi watakuja tu wahindi. Muhimu tuendelee kuchukua tahadhari kubwa. Naona tumejiachia kama vile Korona imeisha. Bado ipo japo siyo kwa wingi kama Jan mpaka March
Kweli mwanzoni mwa mwaka wamekufa watu wengi kwa corona.

Bora tuchukue tahadhari sasa na tishio hili toka India.
 
Back
Top Bottom